Ushauri kwa waliochaguliwa UDOM

Ushauri kwa waliochaguliwa UDOM

Aiseee me chakula cha wajasi huku humanities kilinishinda mapema.....
Kwanza mbali kweli kutoka blocks yani ukila huko mpaka urud block chakula kimeisha....
Then hali ya usafi wa huko
Na pia hakuna tofaut sana na cafeteria so nikaona bora niwe member wa cafeteria
 
Ushauri naitaj..nmepata nafas ya kujiunga na open university kusomea masters of science in economics by executive module..ila baadhi wanaponda elim ya OUT.so kwa mwenye uelewa wa kiusomi..naomba anipe ushaur.
 
VP huko kuna kozi za Executive Kwa upande wa Education Stashahada Na Shahada?
 
Asante mkuu .je naruhusiwa kumiliki photocoping machine hostel?
 
Kumbe kupiga business ya kupiga coppy kama kawa? hawapigi mkwala?

Karatasi zipo zinasema hauruhusiwi kufanya biashara room. .ila copy na ku print zinafanyika sana...na pia hawafatilii
 
Uzi huu mi nimeupenda sana kwani licha ya kusaidia UDOM umesaidia hata waendao vyuo vingine angalau kwa picha, kwani wengi walikua wanaogopa sasa uoga unakwisha. kama mimi kwenye suala la vipindi nilizani toka monie to jion .kumbe inategemea na unachosoma kuna siku waweza kutokua na kipindi. dah ama kwel bidii yako tu.
 
Uzi huu mi nimeupenda sana kwani licha ya kusaidia UDOM umesaidia hata waendao vyuo vingine angalau kwa picha, kwani wengi walikua wanaogopa sasa uoga unakwisha. kama mimi kwenye suala la vipindi nilizani toka monie to jion .kumbe inategemea na unachosoma kuna siku waweza kutokua na kipindi. dah ama kwel bidii yako tu.


Kabisa...a very good thread. ..
 
Mambo kidogo yamebadilika lakini nina imani huu uzi utakuwa useful sana kwa mwaka wa kwanza tarajali

Nimeupdate makusudi ili muone huyu bwana MAKOLE alielezea kiundani zaidi

Ahsanteni
 
Last edited by a moderator:
wakuu vp kwa wale direct special diploma udom mbona hawatoi utaratbu wa kuaply mkopo mweny kujua msaada?
 
Back
Top Bottom