Tetesi: UDOM kupunguza programme degree za ualimu, sasa zitabakia nne tu

Tetesi: UDOM kupunguza programme degree za ualimu, sasa zitabakia nne tu

Its Pancho

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2018
Posts
16,775
Reaction score
28,222
I salute you kinsmen.
Mara baada ya UDOM kuwa na mkuu mpya chuo kuna mabadiliko makubwa kwa wadogo zetu wanafunzi wa ualimu ndaki ya elimu (college of education)

Inaonekana ni mapendekezo ya serikali katika kupunguza idadi ya walimu kwa madai wamekuwa wengi nchini na hawana ajira, hivyo kulimit idadi ya wanafunzi vyuo visizidi kuzalisha wasomi wasioweza kuwaajiri..

Kwanzia mwakani College of education UDOM wana mpango wa kufuta takribani degree programme sio chini ya 7 ili ziweze kubali nne tu, lengo likiwa ni kupunguza wingi wa walimu .

Ifahamike kuwa jumla ya degree programme za elimu zinazopatikana COED ni hizi

1:Bachelor of education in policy planning and management (BED,ppm)

2: Bachelor of education in adult education (BED, adec)

3: Bachelor of education in psychology (BED,Psy)

4: Bachelor of education with art (BED art)

5:Bachelor of education with science Ict (BED science Ict)

6:Bachelor of education in early childhood education( BED, ece)

7:Bachelor of education in administration and management (BED, adman)

8: Bachelor of education in special needs (BED,spen)

9:Bachelor of education in guidance and counseling (BED, Guco)

Na mwakani zitabaki programme nne tu.
BED, Spen (50 tu)
BED, Ece ( wanatakiwa wanafunzi wasizidi 50)
BED,science ICT (150 tu)
BED, art (150 tu)

Huku hizo zilizobaki zitafutwa na haya ni maagizo kutoka wizard ya elimu na tusubiri utekelezaji mwakani kwa watoto ambao ni zaidi ya maelfu kupunguzwa

My take; acha inyeshe tuone panapovuja.

Cc Tate Mkuu
 
Nini maoni kuhusu mpango huu wa wizara ya elimu?
Mkuu ulisoma pale au unasoma hapo?

Halafu ndaki ya elimu itakuwa na wanafunzi wangapi?

Kumbuka ndaki ya elimu ni bonge la ndaki na ina mjengo mengi ya hostels na venue za kusomea na hesabu zako zinaonesha kuwa watakaosoma ualimu hawatazidi 2000.

Cc Poor Brain
 
Mkuu ulisoma pale au unasoma hapo?

Halafu ndaki ya elimu itakuwa na wanafunzi wangapi?

Kumbuka ndaki ya elimu ni bonge la ndaki na ina mjengo mengi ya hostels na venue za kusomea na hesabu zako zinaonesha kuwa watakaosoma ualimu hawatazidi 2000.

Cc Poor Brain
Mimi nilisomaga hapo mkuu

Napajua vizuri sana nilishasomaga hapo wayback
Kuna block A mpaka T hostel na nyingine hapo bado hazijajaa wanafunzi nyingine room empty,

Kuhusu venue kuna theatre 1 to 4 na kuna lecture rooms 1 to 7 kama nakumbuka kwahiyo ni college kubwa ndiyo ila tusubiri kama uamuzi huu utafanyiwa kazi .

Means pia wakufunzi nao watapunguzwa pia🙄

na kwa takwimu za sasa estimated CoEd ina wanafunzi zaid ya elfu 45 ukitoa hawa finalist wanaomaliza keshokutwa .

Kwahiyo swala sio wingi wa wanafunzi mkuu lengo ni kupunguza uwingi wa walimu mitaani

Na soon usishangae mwakani UDOM wakasema ili usome ualimu hapo uwe na division 1 tu yetu macho
 
Mimi nilisomaga hapo mkuu

Napajua vizuri sana nilishasomaga hapo wayback
Kuna block A mpaka T hostel na nyingine hapo bado hazijajaa wanafunzi nyingine room empty,

Kuhusu venue kuna theatre 1 to 4 na kuna lecture rooms 1 to 7 kama nakumbuka kwahiyo ni college kubwa ndiyo ila tusubiri kama uamuzi huu utafanyiwa kazi .

Means pia wakufunzi nao watapunguzwa pia🙄

na kwa takwimu za sasa estimated CoEd ina wanafunzi zaid ya elfu 45 ukitoa hawa finalist wanaomaliza keshokutwa .

Kwahiyo swala sio wingi wa wanafunzi mkuu lengo ni kupunguza uwingi wa walimu mitaani

Na soon usishangae mwakani UDOM wakasema ili usome ualimu hapo uwe na division 1 tu yetu macho
Kama ni hivyo nahisi wale wa social, humanity, CNMS, COBE etc watahamishiwa COED ili wakabukue kozi zao kule ng'hong'honha nyumbani kwa Nabii Tito.
 
Sawa tu , Bachelor of education in psychology alafu kuna watu wanasoma bachelor of education in guidance and counseling… mimi naona kitu ni kile kile
Ni kweli lakini nadhani kuna vijitofauti kwenye baadhi ya kozi wanazosoma ila vitu vinafanana kwa kiasi kikubwa sana mkuu

Kama hiyo guidance and counseling waachane nayo tu iwe moja tu hiyo psychology basi
 
Kama ni hivyo nahisi wale wa social, humanity, CNMS, COBE etc watahamishiwa COED ili wakabukue kozi zao kule ng'hong'honha nyumbani kwa Nabii Tito.
Bado na walimu wale wa BAED kule social na humanity nao pia sijui watataka kuwafanyia hivyo hivyo?

Ila COED ndio college yenye maradhi ya uhakika kabisa kwa Hostel ila kunguni sasa mzee alooh pale nilikoma hakika hadi nikazoea that time walikuwa sio wengi sana kama sikuhizi
 
Mkuu ulisoma pale au unasoma hapo?

Halafu ndaki ya elimu itakuwa na wanafunzi wangapi?

Kumbuka ndaki ya elimu ni bonge la ndaki na ina mjengo mengi ya hostels na venue za kusomea na hesabu zako zinaonesha kuwa watakaosoma ualimu hawatazidi 2000.

Cc Poor Brain
Kumbe kiswahili cha college ni ndaki.
Faculty ndio kitivo sio
 
Ila Ccm,kwahyo hapo ndo watakua wametatua tatzo la Ajira??
Na kwanzia mwaka wa kwanza watakaokuja watatakiwa kwenda field semester zote na zaidi watakapomaliza chuo watatakiwa kujitolea mwaka mzima na watafanya mtihani kabisa mwishoni ili kujua kama eti ameiva!
 
Bado na walimu wale wa BAED kule social na humanity nao pia sijui watataka kuwafanyia hivyo hivyo?

Ila COED ndio college yenye maradhi ya uhakika kabisa kwa Hostel ila kunguni sasa mzee alooh pale nilikoma hakika hadi nikazoea that time walikuwa sio wengi sana kama sikuhizi
Duh, umenikumbusha enzi zile nasoma pale, nilikuwa nalala college zote pale. Siku mmoja nilienda kulala COED, usiku kunguni walinibeba mzima mzima maana walikuwa wamenona ile mbaya 😂
 
Back
Top Bottom