Ushauri kwa waliochaguliwa UDOM

Ushauri kwa waliochaguliwa UDOM

Wa msaada njoon hapa tusaidizane chuo dunia nyingne mi kk yenu mwaka wa mwisho hapo
 
Hongereni Nyote Mliochaguliwa Udom!!Me niko Mwaka Wa Pili Baed!Akati Najiunga nilikuja Hapa Hapa Nikauliza Maswali Nikaelekezwa Sasa Nimekuwa Fundi
 
wakuu msaada,,,..naomba mnisaidie ..kuna taratibu gani za kuhama kozi pale udom???

Utaenda utawala Mkuu pale mtafute mtu anaitwa Pro Msofe director wa undergraduate.Mueleze anaweza kukusaidia ila itategemea anaweza kukataa tu na wala usimfanye kitu na kama una boom na una hamia coz ambayo haipo allocated ndio tabu kabsa.
 
Ushauri naitaj..nmepata nafas ya kujiunga na open university kusomea masters of science in economics by executive module..ila baadhi wanaponda elim ya OUT.so kwa mwenye uelewa wa kiusomi..naomba anipe ushaur.

wengine wanaita degree ya 'uchochoroni'
 
kaka me nmechaguliwa bachelor of education in early childhood education.Hivi nitapata mkopo?na je kuna access ya ajir?.........naomba msaada mkuu
 
kaka me nmechaguliwa bachelor of education in early childhood education.Hivi nitapata mkopo?na je kuna access ya ajir?.........naomba msaada mkuu

Kwanza nikupongeze Jacob kasanga umepata Bahati ya kusoma coz nzur swala la ajla kwako ni la kufkia tu,unatakiwa ufundishe vyuo vya ualimu wa waalimu wa watoto ila kwa Tanzania yetu nadhan utaishia kufundsha secondary ila sio mbaya bado una nafasi nzur,swala la mkopo ni kuomba Mungu Mr Jacob ila Nina iman utapata kuna watu nawajua wamesoma hyo coz na walipewa mkopo
 
mi nimechaguliwa udom education with ICT naomba ushauri wenu ni mambo gani ya kuwanayo pia vip habari ya registration Lakini ukiweza waweza nipa ushauri wakunisaidia ahsante. email ni evangelistemygidiusgeorge@gmail.com kwa personal advice.

Kuwa specific kaka George unataka ushaul haswa kwenye upande gani kwa maana yapo meng sana ya kukusaidia na yote yana maana
 
Back
Top Bottom