KAGAMEE
JF-Expert Member
- Dec 20, 2013
- 3,967
- 4,671
ubalikiwe
vipi kuhusu ada wanabana sana ulipe unapoanza au hata kidogo kidogo?
Chuo kikuu siyo secondary ads huwa inalipwa kwa kila semester kulingana na kiwango unacholipiwa na HSLB
ubalikiwe
vipi kuhusu ada wanabana sana ulipe unapoanza au hata kidogo kidogo?
kuwa mpole, hawajaupload kwani ni kamchakato kanakohitaji uvumilivi wa wiki au zaidi
Dodomaaaa
My home place
Asante mh. Waziri wa fwedha natumai tutaonana white university
:thumbup::thumbup::thumbup::thumbup::thumbup:
ni waziri wa mikopo sio fedha Avatar mok
na makulu na kisasa Avatar mok
Nkonze nkuhungu uzunguni mvumi pamoja mkuu :beer::beer: :beer: :beer:
Je umechaguliwa UDOM kuna vitu vnaktatza uliza sasa college yoyote utapta majibu
.Vp kuhusu kukaa hostel adi unamilaza ni kweli? na pia nasikia wanafunz wa udom huwa wanacheleshewa mikopo sanaaaaa! ufafanuz mkuu.Je umechaguliwa UDOM kuna vitu vnaktatza uliza sasa college yoyote utapta majibu