Ushauri kwa waliochaguliwa UDOM

Tupo pamoja mkuu hata mm nakuja kupiga msuli hapo kwenye kozi ya maswala ya urubani so tuombeane uzima tu.
 
Dodomaaaa:cool::cool::cool::cool:
My home place ;);););););););)

Asante mh. Waziri wa fwedha natumai tutaonana white university


:thumbup::thumbup::thumbup::thumbup::thumbup:
 
Naomba nfahamishe kuhusu usaji paka uwe Tsh ngap mkubwa mm npo college of social sceince 1st year
 
Je umechaguliwa UDOM kuna vitu vnaktatza uliza sasa college yoyote utapta majibu
 
Back
Top Bottom