JAY MTAALAM
JF-Expert Member
- Oct 5, 2014
- 1,595
- 1,392
Nijuzeni wana udom medical capitation fee kwa wenye bima(NHIF n.k) tutalazimika kuchangia/kuilipa?
hahahaaa siku ya kuwasili wanagawa zabibu chuoniiUDOM tamu jamaniiiii asikuambie mtuuuuu
hahahaaa siku ya kuwasili wanagawa zabibu chuonii
Jamani ..mbona sielewi huu utaratibu.. jina lipo orodha ya Tcu. BSc in phy UDOM..nimefika chuoni naambiwa jina limerudishwa tcu..HAKUNA NOTIFICATION yoyote tcu bado inanionesha SELECTED
Unashukia info ya pili kaka...Msaada jama college ya earth science nkipanda kihice ntasema nashukia wa
Nahtaji watu walochaguliwa social science
huo ni uzushi mtupu udom nimoja kati ya vyuo vtatu vyakwanza kupata mkopo yaan wakshapata udsm bax udom knafata na hostel n full miaka yote hata kama unataka rum ya pekee ako.Vp kuhusu kukaa hostel adi unamilaza ni kweli? na pia nasikia wanafunz wa udom huwa wanacheleshewa mikopo sanaaaaa! ufafanuz mkuu.