Ushauri kwa Vijana mjini

Tena mwanamke anabadilika viabaya mnoo.
Chukulia mumeo hana kazi wewe unaingia kazini unamuacha home si utakonda ufe kwa stress.
Hii ni kweli kabisa kuna mama mmoja hapa mtaani kwangu anautembeza kwenda mbele kisa jamaa hana kazi
 
Kwaio ukifa ghafla watu wanajichukulia tu maana hakuna anepajua 😆
 
Kwaio ukifa ghafla watu wanajichukulia tu maana hakuna anepajua 😆
Kufa ni matokeo tu mzee.Alafu vya watu akini havipotei.

Majasusi wanajua wapi waache alama wapi wasiache alama
 
Hii ni kweli kabisa kuna mama mmoja hapa mtaani kwangu anautembeza kwenda mbele kisa jamaa hana kazi
Balaa hilo,hujafa tu kwa stress,lakini ukienda kijijini unachili ukipanga mambo yako bila stress.

Mjini lwa laki 2 hutoboi kwa mwezi lakini kijijini unatoboa
 
For sure ,Kupambana ni kuzuri sana ndugu yangu,ila kuna vitu mjini vinatakiwa uvipishe kidogo kutuliza akili.

Mke nae akikuona ona kila siku anakuchukulia poa.
 
Umenikumbusha kuna mdau mmoja hapa Town amefanya ivyo lakini YY nikila wkend wanaenda na fsmilia nje ya mji kabisa uko kunaitwa pemba mnazi hatari na iyo iko fukwe y bahari. Sio poa.
KAZI ni kipimo cha utu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…