Ushauri kwa Rais kuhusu mashirika ya kibiashara ya Umma

fazili

JF-Expert Member
Jun 10, 2011
13,801
18,527
Pongezi nyingi kwa jitihada unazofanya za kuongoza nchi yetu na kurudisha hali nzuri ya mahusiano na uongozi wa kidemokrasia na kisheria. Najua una mambo mengi ila nitaandika kwa kifupi kabisa ushauri wangu walau kwa jambo moja tu kwa leo.

Ni kuhusu shirika la ndege ATCL. Ukweli unaojulikana na wachache kuwa hali ya ATCL sio nzuri. Shirika hili linaendeshwa kwa kulazimisha sana, shirika halina bussiness plan nzuri, wataalamu wazuri; watu wenye ujuzi, weledi na nia thabiti ya kufanya biashara. Wengi waliopo kwenye nafasi za uongozi au utendaji ATCL ni watu wa kuletwa au kwa maneno mengine ni wale waliopewa nafasi hizo kama zawadi. Hili jambo ni hatari mno kwa maendeleo ya shirika hili.

Ushauri: Mheshimiwa rais ni vigumu mno kuweza kuendesha ATCL ikawa na mafanikio wakati bado ATCL ni shirika linalomilikiwa na serikali 100%. Hili likiendelea, tutegemee hasara kila mwaka, na itafika mahali itakuwa kero kwako na utaishia kumbana CAG katika report zake kama ilivyokuwa awamu iliyopita, ukweli ulifichwa! Biashara ya ndege ni moja kati ya biashara ngumu sana duniani! Ninashauri ubinafsishe ATCL mara moja. Serikali imiliki share tu kwa ubia na mashirika na watu binafsi. Fanya ubia na wenzetu kutoka nchi zilizoendelea na zenye mafanikio katika sector ya usafiri wa anga.

Mashirika ya ndege kutoka nchi zilizoendelea kama British Airways, American Airlines, KLM, Lufthansa, South African Airways, etc yote ni ubia wa serikali na secta binafsi. Tena mara nyingi share za serikali ni chini ya 40%.

Ushauri wangu mheshimiwa rais, fanya kwa ATCL kama unavyotaka kufanya kwa Bandari, binafsisha ATCL Ili kuongeza ufanisi. Biashara ya ndege ni ngumu sana na inahitaji umakini na weledi mkubwa sana wa kiuongozi, management, utafutaji wa masoko, ujuzi mkuwa wa biashara, na uchukuaji wa maamuzi sahihi. Huwezi kuwapata watu hawa bila kushirikiana na watu kutoka nchi zilizofanikiwa katika secta ya usafiri wa anga. Kama tunavyohitaji ujuzi kutoka nje ya nchi katika kujenga madaraja makubwa, majumba makubwa, reli, bandari, mifumo ya mawasiliano, n.k., hivyo hivyo tunahitaji ujuzi kutoka nje ili tufanikiwe ATCL.

Pia mheshimiwa fikiria kubinafsisha mashirika mengine kama TTCL, TRC na mengineyo ili nayo yasife kibudu. Kwa wenzetu walioendelea kama Marekani, Ulaya, n.k. serikali imeacha uendeshaji wa biashara ufanywe kwa sehemu kubwa sana, >90% na secta binafsi. Hapa kwetu bado serikali inang'ang'ania kufanya biashara kwa hasara kwasababu ni rahisi kuendelea kubaki madarakani hata kama makosa yale yale yanajirudia kila mwaka.

TUSIPO BINAFSISHA ATCL AU KUSHIRIKIANA NA WALIOFANIKIWA KWENYE AVIATION INDUSTRY NINA UHAKIKA BAADA YA MIAKA MICHACHE VIWANJA VYETU VYA NDEGE VITAGEUKA KUWA PARKING LOTS ZA NDEGE MBOVU ZA ATCL NA NCHI ITAPATA HASARA YA MATRILIONI.

Ni matumaini yangu kuwa utafanyia kazi ushauri huu kwa ajili ya kuboresha utendaji na matokeo ya mashirika yetu ya Umma.

Asante.
 
Nauliza tu hivi Ethiopia Airlines wanafanya vizuri sana ni mali ya serikali ya Ethiopia au wana ubia na mashirika ya nje?

Kenya Airways na South African Airways wamepate hasara kubwa sana mwaka jana pamoja na kuwa wenye ubia!
 
Pongezi nyingi kwa jitihada unazofanya za kuongoza nchi yetu na kurudisha hali nzuri ya mahusiano na uongozi wa kidemokrasia na kisheria. Najua una mambo mengi ila nitaandika kwa kifupi kabisa ushauri wangu walau kwa jambo moja tu kwa leo.

Ni kuhusu shirika la ndege ATCL. Ukweli unaojulikana na wachache kuwa hali ya ATCL sio nzuri. Shirika hili linaendeshwa kwa kulazimisha sana, shirika halina bussiness plan nzuri, wataalamu wazuri; watu wenye ujuzi, weledi na nia thabiti ya kufanya biashara. Wengi waliopo kwenye nafasi za uongozi au utendaji ATCL ni watu wa kuletwa au kwa maneno mengine ni wale waliopewa nafasi hizo kama zawadi. Hili jambo ni hatari mno kwa maendeleo ya shirika hili.

Ushauri: Mheshimiwa rais ni vigumu mno kuweza kuendesha ATCL ikawa na mafanikio wakati bado ATCL ni shirika linalomilikiwa na serikali 100%. Hili likiendelea, tutegemee hasara kila mwaka, na itafika mahali itakuwa kero kwako na utaishia kumbana CAG katika report zake kama ilivyokuwa awamu iliyopita, ukweli ulifichwa! Biashara ya ndege ni moja kati ya biashara ngumu sana duniani! Ninashauri ubinafsishe ATCL mara moja. Serikali imiliki share tu kwa ubia na mashirika na watu binafsi. Fanya ubia na wenzetu kutoka nchi zilizoendelea na zenye mafanikio katika sector ya usafiri wa anga.

Mashirika ya ndege kutoka nchi zilizoendelea kama British Airways, American Airlines, KLM, Lufthansa, South African Airways, etc yote ni ubia wa serikali na secta binafsi. Tena mara nyingi share za serikali ni chini ya 40%.

Ushauri wangu mheshimiwa rais, fanya kwa ATCL kama unavyotaka kufanya kwa Bandari, binafsisha ATCL Ili kuongeza ufanisi. Biashara ya ndege ni ngumu sana na inahitaji umakini na weledi mkubwa sana wa kiuongozi, management, utafutaji wa masoko, ujuzi mkuwa wa biashara, na uchukuaji wa maamuzi sahihi. Huwezi kuwapata watu hawa bila kushirikiana na watu kutoka nchi zilizofanikiwa katika secta ya usafiri wa anga. Kama tunavyohitaji ujuzi kutoka nje ya nchi katika kujenga madaraja makubwa, majumba makubwa, reli, bandari, mifumo ya mawasiliano, n.k., hivyo hivyo tunahitaji ujuzi kutoka nje ili tufanikiwe ATCL.

Pia mheshimiwa fikiria kubinafsisha mashirika mengine kama TTCL, TRC na mengineyo ili nayo yasife kibudu. Kwa wenzetu walioendelea kama Marekani, Ulaya, n.k. serikali imeacha uendeshaji wa biashara ufanywe kwa sehemu kubwa sana, >90% na secta binafsi. Hapa kwetu bado serikali inang'ang'ania kufanya biashara kwa hasara kwasababu ni rahisi kuendelea kubaki madarakani hata kama makosa yale yale yanajirudia kila mwaka.

TUSIPO BINAFSISHA ATCL AU KUSHIRIKIANA NA WALIOFANIKIWA KWENYE AVIATION INDUSTRY NINA UHAKIKA BAADA YA MIAKA MICHACHE VIWANJA VYETU VYA NDEGE VITAGEUKA KUWA PARKING LOTS ZA NDEGE MBOVU ZA ATCL NA NCHI ITAPATA HASARA YA MATRILIONI.

Ni matumaini yangu kuwa utafanyia kazi ushauri huu kwa ajili ya kuboresha utendaji na matokeo ya mashirika yetu ya Umma.

Asante.
Ukishaa binafsisha bandari kuna siku magaidi yata inport hata vifaru bila state machinery kuju kuna siku watu wata inport heroin kontena kwa kontena kupitia hapo
 
Pongezi nyingi kwa jitihada unazofanya za kuongoza nchi yetu na kurudisha hali nzuri ya mahusiano na uongozi wa kidemokrasia na kisheria. Najua una mambo mengi ila nitaandika kwa kifupi kabisa ushauri wangu walau kwa jambo moja tu kwa leo.

Ni kuhusu shirika la ndege ATCL. Ukweli unaojulikana na wachache kuwa hali ya ATCL sio nzuri. Shirika hili linaendeshwa kwa kulazimisha sana, shirika halina bussiness plan nzuri, wataalamu wazuri; watu wenye ujuzi, weledi na nia thabiti ya kufanya biashara. Wengi waliopo kwenye nafasi za uongozi au utendaji ATCL ni watu wa kuletwa au kwa maneno mengine ni wale waliopewa nafasi hizo kama zawadi. Hili jambo ni hatari mno kwa maendeleo ya shirika hili.

Ushauri: Mheshimiwa rais ni vigumu mno kuweza kuendesha ATCL ikawa na mafanikio wakati bado ATCL ni shirika linalomilikiwa na serikali 100%. Hili likiendelea, tutegemee hasara kila mwaka, na itafika mahali itakuwa kero kwako na utaishia kumbana CAG katika report zake kama ilivyokuwa awamu iliyopita, ukweli ulifichwa! Biashara ya ndege ni moja kati ya biashara ngumu sana duniani! Ninashauri ubinafsishe ATCL mara moja. Serikali imiliki share tu kwa ubia na mashirika na watu binafsi. Fanya ubia na wenzetu kutoka nchi zilizoendelea na zenye mafanikio katika sector ya usafiri wa anga.

Mashirika ya ndege kutoka nchi zilizoendelea kama British Airways, American Airlines, KLM, Lufthansa, South African Airways, etc yote ni ubia wa serikali na secta binafsi. Tena mara nyingi share za serikali ni chini ya 40%.

Ushauri wangu mheshimiwa rais, fanya kwa ATCL kama unavyotaka kufanya kwa Bandari, binafsisha ATCL Ili kuongeza ufanisi. Biashara ya ndege ni ngumu sana na inahitaji umakini na weledi mkubwa sana wa kiuongozi, management, utafutaji wa masoko, ujuzi mkuwa wa biashara, na uchukuaji wa maamuzi sahihi. Huwezi kuwapata watu hawa bila kushirikiana na watu kutoka nchi zilizofanikiwa katika secta ya usafiri wa anga. Kama tunavyohitaji ujuzi kutoka nje ya nchi katika kujenga madaraja makubwa, majumba makubwa, reli, bandari, mifumo ya mawasiliano, n.k., hivyo hivyo tunahitaji ujuzi kutoka nje ili tufanikiwe ATCL.

Pia mheshimiwa fikiria kubinafsisha mashirika mengine kama TTCL, TRC na mengineyo ili nayo yasife kibudu. Kwa wenzetu walioendelea kama Marekani, Ulaya, n.k. serikali imeacha uendeshaji wa biashara ufanywe kwa sehemu kubwa sana, >90% na secta binafsi. Hapa kwetu bado serikali inang'ang'ania kufanya biashara kwa hasara kwasababu ni rahisi kuendelea kubaki madarakani hata kama makosa yale yale yanajirudia kila mwaka.

TUSIPO BINAFSISHA ATCL AU KUSHIRIKIANA NA WALIOFANIKIWA KWENYE AVIATION INDUSTRY NINA UHAKIKA BAADA YA MIAKA MICHACHE VIWANJA VYETU VYA NDEGE VITAGEUKA KUWA PARKING LOTS ZA NDEGE MBOVU ZA ATCL NA NCHI ITAPATA HASARA YA MATRILIONI.

Ni matumaini yangu kuwa utafanyia kazi ushauri huu kwa ajili ya kuboresha utendaji na matokeo ya mashirika yetu ya Umma.

Asante.
Ushauri gani wa ovyo tu. Hawa ndio wanatamani serikali ibinafsishe kila shirika ili wawe wakala au washirika kuyauza na kupisha uwekezaji wa nje.
Mtoa mada mwenyewe anakiri usafiri wa ndege ni mgumu sasa anafikiri kwa nini si kila nchi wanamiliki watu binafsi ila serikali inawekeza. Isitoshe mashirika ya ndege kupata hasara sio jambo la ajabu.
Huduma ya usafiri wa ndege reli na hata maji vinachangia kukua sekta zingine kwa hivyo kwa hatua tuliopo ya maendeleo ni vigumu kupata wawekezaji watakaoweza kutoa huduma ya kutosha kibiasha bila kudumaza maendeleo ya wananchi ambao ndio inatakiwa wawe walengwa kupata maendeleo. Linalotakiwa ni kuona mashirika yanaendeshwa kwa tija na ikibidi hazina inachangia lengo likiwa hatimae yajiendeshe yenyewe na kuchangia mapato ya hazina.
Shida inakuja pale anapokuja kiongozi mwenye kulea wapigaji wa mali ya umma. Badala ya usimamizi madhubuti wa mali na mapato ya umma anawaambia vigogo kila mmoja ale kwa urefu wa kamba yake ya malisho. Hapo lazima tija ipotee na ubadhilifu kuibuka.
 
Ukishaa binafsisha bandari kuna siku magaidi yata inport hata vifaru bila state machinery kuju kuna siku watu wata inport heroin kontena kwa kontena kupitia hapo
Kubinafsisha kuna vipengele vya kukubaliana e.g. inspection of all goods, good allowed/not allowed, n.k. Kubinafsisha hakumaanishi kutoa shirika na kuliacha mikononi mwa wengine, ni kugawana majukumu ya uendeshaji na usimamizi.
 
Tuanzie nyumba nyeupe kwanza halafu twende TTCL, ATCL na wengine
 
ATCL, ifanyiwe mchakato wa ubinafsishaji ili umiliki wa kampuni uwe kati ya mwekezaji wa kimkakati-55% Serikali-25%, private sector na watu binafsi-20%.
 
Ukishaa binafsisha bandari kuna siku magaidi yata inport hata vifaru bila state machinery kuju kuna siku watu wata inport heroin kontena kwa kontena kupitia hapo
Why tupo negative hivi? Kwamba taasisi ikiwa chini ya kampuni binafsi basi automatically magaidi wataitumia? Mbona huongelei bandari ya Sasa ambayo Kila siku Makinikia yalipita kinyemela, madawa ya kulevya yalipita, magendo yalipita n.k ufisadi au rushwa huwa ni kotekote sio mpaka iwe private sector. Ila tofauti ni kwamba watu binafsi wanatafuta faida so kazi kazi kuliko TTCL au ATCL ambao wanategemea ruzuku ya serikali so wazalishe au wasizalishe mishahara ipo
 
Ushauri gani wa ovyo tu. Hawa ndio wanatamani serikali ibinafsishe kila shirika ili wawe wakala au washirika kuyauza na kupisha uwekezaji wa nje.
Mtoa mada mwenyewe anakiri usafiri wa ndege ni mgumu sasa anafikiri kwa nini si kila nchi wanamiliki watu binafsi ila serikali inawekeza. Isitoshe mashirika ya ndege kupata hasara sio jambo la ajabu.
Huduma ya usafiri wa ndege reli na hata maji vinachangia kukua sekta zingine kwa hivyo kwa hatua tuliopo ya maendeleo ni vigumu kupata wawekezaji watakaoweza kutoa huduma ya kutosha kibiasha bila kudumaza maendeleo ya wananchi ambao ndio inatakiwa wawe walengwa kupata maendeleo. Linalotakiwa ni kuona mashirika yanaendeshwa kwa tija na ikibidi hazina inachangia lengo likiwa hatimae yajiendeshe yenyewe na kuchangia mapato ya hazina.
Shida inakuja pale anapokuja kiongozi mwenye kulea wapigaji wa mali ya umma. Badala ya usimamizi madhubuti wa mali na mapato ya umma anawaambia vigogo kila mmoja ale kwa urefu wa kamba yake ya malisho. Hapo lazima tija ipotee na ubadhilifu kuibuka.
Angalia historia ya nchi yetu na nchi nyingine zilizoendelea wanafanyeje. Reli zetu tulirithi kwa wakoloni reli ya kati, reli ya kaskazini na zilichechemea hadi leo bado unaona haziendi. Reli ya kaskazini illikufa tu bila hata sababu. Imekuja kuchimbuliwa ardhini juzi lakini kisiasa tu ni kwamba hakuna cha maana kwa infrustructure kubwa kama ile ya maelfu ya kilometer inaachwa kufa?!

Shirika la ndege tangu zamani limekuwa likiendeshwa kwa kodi ya maskini wa Tanzania. Ni makosa makubwa! Nchi zilizoendela hazimiliki mashirika makubwa 100%, hata Marekani, Uingereza, Ujerumani, Japan, etc. Serikali inakuwa ubia na makampuni binafsi. Wewe bado una ile akili ya kitoto ya kufikiri kubinafsisha makampuni ya serikali ni kuyauza?
 
Pongezi nyingi kwa jitihada unazofanya za kuongoza nchi yetu na kurudisha hali nzuri ya mahusiano na uongozi wa kidemokrasia na kisheria. Najua una mambo mengi ila nitaandika kwa kifupi kabisa ushauri wangu walau kwa jambo moja tu kwa leo.

Ni kuhusu shirika la ndege ATCL. Ukweli unaojulikana na wachache kuwa hali ya ATCL sio nzuri. Shirika hili linaendeshwa kwa kulazimisha sana, shirika halina bussiness plan nzuri, wataalamu wazuri; watu wenye ujuzi, weledi na nia thabiti ya kufanya biashara. Wengi waliopo kwenye nafasi za uongozi au utendaji ATCL ni watu wa kuletwa au kwa maneno mengine ni wale waliopewa nafasi hizo kama zawadi. Hili jambo ni hatari mno kwa maendeleo ya shirika hili.

Ushauri: Mheshimiwa rais ni vigumu mno kuweza kuendesha ATCL ikawa na mafanikio wakati bado ATCL ni shirika linalomilikiwa na serikali 100%. Hili likiendelea, tutegemee hasara kila mwaka, na itafika mahali itakuwa kero kwako na utaishia kumbana CAG katika report zake kama ilivyokuwa awamu iliyopita, ukweli ulifichwa! Biashara ya ndege ni moja kati ya biashara ngumu sana duniani! Ninashauri ubinafsishe ATCL mara moja. Serikali imiliki share tu kwa ubia na mashirika na watu binafsi. Fanya ubia na wenzetu kutoka nchi zilizoendelea na zenye mafanikio katika sector ya usafiri wa anga.

Mashirika ya ndege kutoka nchi zilizoendelea kama British Airways, American Airlines, KLM, Lufthansa, South African Airways, etc yote ni ubia wa serikali na secta binafsi. Tena mara nyingi share za serikali ni chini ya 40%.

Ushauri wangu mheshimiwa rais, fanya kwa ATCL kama unavyotaka kufanya kwa Bandari, binafsisha ATCL Ili kuongeza ufanisi. Biashara ya ndege ni ngumu sana na inahitaji umakini na weledi mkubwa sana wa kiuongozi, management, utafutaji wa masoko, ujuzi mkuwa wa biashara, na uchukuaji wa maamuzi sahihi. Huwezi kuwapata watu hawa bila kushirikiana na watu kutoka nchi zilizofanikiwa katika secta ya usafiri wa anga. Kama tunavyohitaji ujuzi kutoka nje ya nchi katika kujenga madaraja makubwa, majumba makubwa, reli, bandari, mifumo ya mawasiliano, n.k., hivyo hivyo tunahitaji ujuzi kutoka nje ili tufanikiwe ATCL.

Pia mheshimiwa fikiria kubinafsisha mashirika mengine kama TTCL, TRC na mengineyo ili nayo yasife kibudu. Kwa wenzetu walioendelea kama Marekani, Ulaya, n.k. serikali imeacha uendeshaji wa biashara ufanywe kwa sehemu kubwa sana, >90% na secta binafsi. Hapa kwetu bado serikali inang'ang'ania kufanya biashara kwa hasara kwasababu ni rahisi kuendelea kubaki madarakani hata kama makosa yale yale yanajirudia kila mwaka.

TUSIPO BINAFSISHA ATCL AU KUSHIRIKIANA NA WALIOFANIKIWA KWENYE AVIATION INDUSTRY NINA UHAKIKA BAADA YA MIAKA MICHACHE VIWANJA VYETU VYA NDEGE VITAGEUKA KUWA PARKING LOTS ZA NDEGE MBOVU ZA ATCL NA NCHI ITAPATA HASARA YA MATRILIONI.

Ni matumaini yangu kuwa utafanyia kazi ushauri huu kwa ajili ya kuboresha utendaji na matokeo ya mashirika yetu ya Umma.

Asante.
Hasara ya ATCL inachangiwa na serikali kuingiza siasa ktk biashara, ATCL haiko huru kufanya biashara, ndege inaweza kucheleweshwa kuondoka kumsubiri kiongozi/waziri ambaye ama amechelewa kwa uzembe wake au ametakiwa ghafla kusafiri.

Kwa tabia hii ya kuingiliwa na wanasiasa na siasa ATCL haitaweza kufikia ufanisi unaokusudiwa.

Vv
 
Mashirika mengi ya umma yamekiwa mzigo mzito kwa wananchi maana yanaendeshwa na ruzuku toka serikali kuu yaani imekuwa ni bora punda afe mzigo ufike,ufike muda serikali iache kufanya biashara ili kunusuru pesa ya umma
 
Back
Top Bottom