Hiyo mishahara wanayolipwa ni midogo bado unataka ipunguzwe? je, ukiambiwa huyo anayelipwa milioni 10 kiuhalisia alitakiwa alipwe milioni 40 utasemaje, sisi bado hatulipi mishahara bali tunalipa kitu kinachofanana na mshahara, toa roho mbaya acha watu walipwe kulingana na elimu zao na taaluma walizozihangaikia kwa muda mrefu.