Tanganian
JF-Expert Member
- Jan 27, 2025
- 4,942
- 8,593
Hapo unakosea sana , nahisi haijawahi kutokea kwa upande wako ..Mwanamke hata kama dada yako anaweza kuishi na mwanaume hata wewe usimjue mpaka wazazi wenu..Ukijua akili ya mwanamke basi hautopata tabu ,90% wanawake hawaolewi kwa vile ni wajinga.
Mwanamke hajaolewa ila kashaziniwa vya kutosha kama sio uthenge wao ni nini? Mtu linazqa linaona liko sawa kabisa! Hapo ukimwambia utasikia '' Unapenda kuhukumu watu ''
Dada yangu mmoja , mtoto wa shangazi naye ni mthenge huyo .. Kazalishwa watoto wawili na yule mume wanahama kila mkoa hata kwao hajulikani...Yaani Wanawake ni wajinga sana ,wakiwa na msimamo basi watakuwa wanaolewa kila siku. Mumewe nilimuona fb anaonekana alishakuwa na ndoa huko nyumaa kwa vile ana Mtoto mkubwa zaidi ya hao wawili aliozaa na huyo sister...AkianA kupigwa basi kwisha maana ni thenge halina akili kabisa.
Mwanamke hajaolewa ila kashaziniwa vya kutosha kama sio uthenge wao ni nini? Mtu linazqa linaona liko sawa kabisa! Hapo ukimwambia utasikia '' Unapenda kuhukumu watu ''
Dada yangu mmoja , mtoto wa shangazi naye ni mthenge huyo .. Kazalishwa watoto wawili na yule mume wanahama kila mkoa hata kwao hajulikani...Yaani Wanawake ni wajinga sana ,wakiwa na msimamo basi watakuwa wanaolewa kila siku. Mumewe nilimuona fb anaonekana alishakuwa na ndoa huko nyumaa kwa vile ana Mtoto mkubwa zaidi ya hao wawili aliozaa na huyo sister...AkianA kupigwa basi kwisha maana ni thenge halina akili kabisa.