Ninakushukuru sana umeniunga mkono kumlaani/laumuNa unaandika eti
1. Kupigwa mara moja
2. Kugombezwa mbele ya watoto na dada wa kazi
3. Kununiwa mwezi
Ni mambo ya kawaida?
Yanakuwaje mambo ya kawaida haya?? Unajua aibu ya kugombezwa mbele ya wanao...unajua trauma watakazokua nazo hao watoto.....na huyo dada wa kazi hatamheshimu huyo mama nakuhakikishia.
Kwanza mwanaume unamnuniaje mkeo mwezi mzima!! I don't get it at all
Mkuu naona una kisirani kama mtoto wa kike, wap nimesema Uzi ufutwe?Vipi uzi unafutwa saa ngapi?
Kwasasa nipo tayari nishakamilisha nilichokitaka wanaweza wakafuta sasa.
ExactlyHii ilitakiwa iwe comment kwenye uzi wake na siyo kuwa uzi mwingine
Kabisa mkuu, vinginevyo huu ni ukuda sasaUmeona ukiandika kama comment hatoisoma so umeandika kama mada?
Mods Naomba muipeleke Hii Mada iwe kama comment huko kwenye uzi husika 😎
Uwe na siku njema bossUsipende kupangia nyuzi za wanaume zifutwe au zipelekwe wapi mkuu.
Kujitia umuhimu kwenye maisha ya wengine yasiyomhusu 😂Ka
Kabisa mkuu, vinginevyo huu ni ukuda sasa
Matokeo ya uzinifu makubwa yanampata mwanamke , mwanamke ni muhanga so yeye mwenyewe atumie akili... Mwanaume anaendeshwa na tamaa za ngono ila anajua yupi sahihi wa kuoa.Mjinga zaidi ni mwanaume....
Wakati unatomba ulijua manii zinamwqgikia wapi?
Angekuwa mataifa mengine huyo child support ingemshukia kama mvua....
Usually shemeji yako huwezi ukamfuata wewe kumuuliza habari za hatma ya dada yako hilo huulizwa dada mwenyewe na jibu atakalokupa dada ndilo sahihi as longer as ataonekana ameridhia,na wewe kama kaka mtu hutakuwa na cha kumbadilisha kama yeye anaona uhusiano huo una pumzi bado (kitu ninachohisi Perry,au ndugu yeyote alifanya)Hilo swali ulilo uliza mwenye jibu ni Perry.
Sijui kama walimfuata jamaa kuhusu hatma na dada yake. Nimeuliza kwenye uzi hajajibu.
Sioni kama ni dalili za kiburi maana mwanamke kaeleza sababu za kuondoka ambazo kaka mtu kaziona za kawaida...jibu nalopata huyu mwanamke hana mtetezi yeyote.
Nadhani kuna tofauti ya kukaa kimya na kununa labda niambiwe kama ni vitu viwili vyenye maana sawa...na Hawa wanunaji wanamidomo saana hasa wakijua mwanamke hana mtetezi.....
Wote wazinifu mwanamke na mwanaume.Matokeo ya uzinifu makubwa yanampata mwanamke , mwanamke ni muhanga so yeye mwenyewe atumie akili... Mwanaume anaendeshwa na tamaa za ngono ila anajua yupi sahihi wa kuoa.
Kakubali vip kuzaa watoto wote hao bila ya ndoa ? Anatumika kama mke bila ya ndoa miaka yote hiyo.Wote wazinifu mwanamke na mwanaume.
Kwasababu mwanamke ndiye anabeba mimba haina maana hajazini.....
Matokeo ya uzinifu wake ndiyo hayo anmpiga mkewe, hajui watoto wake ndani y mwezi mzima wanakula nini..
Kaka kumbuka tunaongelea mwanaume mwenye watoto watatu, aliyekaa mwezi asijue wanakula nini, anayempiga mke na kumdhalilisha mbele ya watoto wake.Usually shemeji yako huwezi ukamfuata wewe kumuuliza habari za hatma ya dada yako hilo huulizwa dada mwenyewe na jibu atakalokupa dada ndilo sahihi as longer as ataonekana ameridhia,na wewe kama kaka mtu hutakuwa na cha kumbadilisha kama yeye anaona uhusiano huo una pumzi bado (kitu ninachohisi Perry,au ndugu yeyote alifanya)
Kaziona za kawaida kwa sababu yeye ni mtu mzima anawajua wanawake,utasema labda kupigwa?tena mara moja?hakuweka sababu za nini kilisababisha akapigwa (haitegemewi mwanamke kuwa muwazi ktk hili hata kama chanzo cha kupigwa alikuwa yeye) pia alisema dada yake alikuwa hapati shida kwa shemeji yake,kama hakuwa akipata shida kilichomhamisha ni nini?akikosea asikanywe?nakazia kusema kwa case mezani siyo Perry wala shemeji yake wenye kosa kosa analo huyo dada kusikiliza ushauri wa hovyo kutoka kwa ndugu wa hovyo.
Yeye mwanaume kakubalije kuzaa hao watoto wote na aliyezaa naye anamdhalilisha mbele yao.Kakubali vip kuzaa watoto wote hao bila ya ndoa ? Anatumika kama mke bila ya ndoa miaka yote hiyo.
Hili umeliamini?Ninakushukuru sana umeniunga mkono kumlaani/laumu
Eti kupigwa sio hoja?
Kununiwa na mume mwezi sio tatizo?