Hii nzuri sana. Lakini kwa kuwa jeshi letu ndio tegemea la chama pendwa hili haliwezi kukubalika kamwe.Kabisa iwe kama USA kamera anaivaa police inachukuwa sauti na video up to 8 hrs
Hii nzuri sana. Lakini kwa kuwa jeshi letu ndio tegemea la chama pendwa hili haliwezi kukubalika kamwe.Kabisa iwe kama USA kamera anaivaa police inachukuwa sauti na video up to 8 hrs
Hakuna sababu ya kurecord, zifungwe CCTV camera mpaka mahabusu na maeneo yote ya polisiIGP Ukitamani uwajibikaji na uwazi kwa jeshi lako we tangaza kwa vyombo vya habari kuruhuri matumizi ta teknolojia yaan Raia waruhusiwe kurekodi matukio ya polisi akiwa katika kazi zake hata ndani ya kituo cha polisi
Na iwe ni sheria na pia marufuku kumkataza raia kurekodi matukio hata ndani ya kituo cha polisi.
hakika utapata jeshi ambalo litakuwa na nidhamu ya hali ya juu!
matukio ya polisi kunyanyasa raia hasa kama amepishana nae lugha kidogo ni mengi sana!
polisi wanabambika kesi watu na kuna walio jela kwa sababu ya maamuzi ya hawa polisi wetu
kuna matukio hasa ya kuuana polisi kwa polisi kutokana na unyanyasaji wa wenyewe kwa wenyewe!
IGP ukitaman uwajibikaji wewe tangaza uwazi tu
Kule USA zinasaidia sana , Alafu sio Bei sanaHii nzuri sana. Lakini kwa kuwa jeshi letu ndio tegemea la chama pendwa hili haliwezi kukubalika kamwe.
Huku Afrika haiwezekani maana majeshi ndio yenye mamlakaKule USA zinasaidia sana , Alafu sio Bei sana
Duuh we hufaiNikikuta polisi anapigana na jambazi, namsaidia jambazi tumuue polisi. Halafu namshauri jambazi aache uharifu. Akifanya uhalifu namuitia mwizi.
Maeneo nyeti yapi, vituo vya polisi au?Ni hatari kurekodi maeneo nyeti bro
Na polis huwa hawawezi tu kuanza kupiga bila kumletea ukinzaniKupiga ni iwapo umekataa kutoa ushirikiano, sio hiyo ya kupiga ili kumtia mtu hofu akiri kosa ambalo hajatenda, ama kujiwekea mazingira ya kupata rushwa. Kwasasa polisi wetu wanachojua ni kupiga tu pindi wanapokamata mtuhumiwa jambo ambalo si sahihi.
wengi wao ni wakorofi tu ukiwa ndani huko!Na polis huwa hawawezi tu kuanza kupiga bila kumletea ukinzani