Ushauri kwa IGP: Ukitaka uwazi katika uwajibikaji wa Polisi ruhusu wawe wanarekodiwa na Raia hata ndani ya kituo cha polisi

Mtemi mpambalioto

JF-Expert Member
Aug 23, 2015
3,261
7,396
IGP Ukitamani uwajibikaji na uwazi kwa jeshi lako we tangaza kwa vyombo vya habari kuruhuri matumizi ta teknolojia yaan Raia waruhusiwe kurekodi matukio ya polisi akiwa katika kazi zake hata ndani ya kituo cha polisi

Na iwe ni sheria na pia marufuku kumkataza raia kurekodi matukio hata ndani ya kituo cha polisi.

hakika utapata jeshi ambalo litakuwa na nidhamu ya hali ya juu!

matukio ya polisi kunyanyasa raia hasa kama amepishana nae lugha kidogo ni mengi sana!
polisi wanabambika kesi watu na kuna walio jela kwa sababu ya maamuzi ya hawa polisi wetu

kuna matukio hasa ya kuuana polisi kwa polisi kutokana na unyanyasaji wa wenyewe kwa wenyewe!

IGP ukitaman uwajibikaji wewe tangaza uwazi tu
 
camera za infinix na tecno hazitasaidia chochote kama watendewa hawajawa tayari kuwa chini ya utawala wa sheria.

bado utapigwa kama ng'ombe mbele ya hizo camera,kama utajichanganya.
 
IGP Ukitamani uwajibikaji na uwazi kwa jeshi lako we tangaza kwa vyombo vya habari kuruhuri matumizi ta teknolojia yaan Raia waruhusiwe kurekodi matukio ya polisi akiwa katika kazi zake hata ndani ya kituo cha polisi

Na iwe ni sheria na pia marufuku kumkataza raia kurekodi matukio hata ndani ya kituo cha polisi.

hakika utapata jeshi ambalo litakuwa na nidhamu ya hali ya juu!

matukio ya polisi kunyanyasa raia hasa kama amepishana nae lugha kidogo ni mengi sana!
polisi wanabambika kesi watu na kuna walio jela kwa sababu ya maamuzi ya hawa polisi wetu

kuna matukio hasa ya kuuana polisi kwa polisi kutokana na unyanyasaji wa wenyewe kwa wenyewe!

IGP ukitaman uwajibikaji wewe tangaza uwazi tu
Kabisa iwe kama USA kamera anaivaa police inachukuwa sauti na video up to 8 hrs
 

Attachments

  • B2EF2312-9B10-410A-84A8-B34A35A6D8B2.png
    B2EF2312-9B10-410A-84A8-B34A35A6D8B2.png
    13.2 KB · Views: 6
  • CC6FE8F1-70A6-41EA-B0AF-2BC4FDB6A658.jpeg
    CC6FE8F1-70A6-41EA-B0AF-2BC4FDB6A658.jpeg
    5.8 KB · Views: 7
  • 8BE281D8-C388-41D3-972E-084AE46A5510.jpeg
    8BE281D8-C388-41D3-972E-084AE46A5510.jpeg
    5.6 KB · Views: 7
  • 56ECC22E-285E-41FD-A8D7-57B4C8F16F07.jpeg
    56ECC22E-285E-41FD-A8D7-57B4C8F16F07.jpeg
    7.7 KB · Views: 7
  • 77F77A5C-B350-4586-B152-5BFD9EA159A1.jpeg
    77F77A5C-B350-4586-B152-5BFD9EA159A1.jpeg
    6.8 KB · Views: 6
  • 901C5F64-01CE-4A98-A798-2027DB2FC07F.png
    901C5F64-01CE-4A98-A798-2027DB2FC07F.png
    22.1 KB · Views: 7
Awavalishe mapolisi wake camera, matukio yote ya kijinga jinga yatamalizika kabisa.
 
Sasa mafunzo ya kupiga yanafaida gani? Ok

Kupiga ni iwapo umekataa kutoa ushirikiano, sio hiyo ya kupiga ili kumtia mtu hofu akiri kosa ambalo hajatenda, ama kujiwekea mazingira ya kupata rushwa. Kwasasa polisi wetu wanachojua ni kupiga tu pindi wanapokamata mtuhumiwa jambo ambalo si sahihi.
 
Actually sio IGP aruhusu bali sheria irekebishwe kuweka hilo kama hitaji na haki muhimu za kiraia.
 
Njia pekee ya kulifanya jeshi hilo liwajibike na kufuata sheria na kwa kuanzisha idara ndani ya polisi inayosimamia utendaji wao.
Kule majuu wanaita Internal affairs department.
Idara hii inaogopwa sana na askari wasio waadilifu kwa inawachunguza mienendo yao, na hawana huruma kabisa hawa watu.
 
Wakiruhusu mchukue vides vituoni itahatarisha usalama wa Taifa, magaidi watatumia hizo video kupata ramani ya kituo na madhaifu ili waijie silaha zinazotunzwa kituoni
 
IGP Ukitamani uwajibikaji na uwazi kwa jeshi lako we tangaza kwa vyombo vya habari kuruhuri matumizi ta teknolojia yaan Raia waruhusiwe kurekodi matukio ya polisi akiwa katika kazi zake hata ndani ya kituo cha polisi
Hilo haliwezekani. Nashauri waweke CCTV kamera vituo vyote vya polisi
 
Wakiruhusu mchukue vides vituoni itahatarisha usalama wa Taifa, magaidi watatumia hizo video kupata ramani ya kituo na madhaifu ili waijie silaha zinazotunzwa kituoni
Kwani hata sasa vituo vya polisi viko mafichoni hata magaidi wasijue vilipo?
 
Back
Top Bottom