Mtemi mpambalioto
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 3,261
- 7,396
IGP Ukitamani uwajibikaji na uwazi kwa jeshi lako we tangaza kwa vyombo vya habari kuruhuri matumizi ta teknolojia yaan Raia waruhusiwe kurekodi matukio ya polisi akiwa katika kazi zake hata ndani ya kituo cha polisi
Na iwe ni sheria na pia marufuku kumkataza raia kurekodi matukio hata ndani ya kituo cha polisi.
hakika utapata jeshi ambalo litakuwa na nidhamu ya hali ya juu!
matukio ya polisi kunyanyasa raia hasa kama amepishana nae lugha kidogo ni mengi sana!
polisi wanabambika kesi watu na kuna walio jela kwa sababu ya maamuzi ya hawa polisi wetu
kuna matukio hasa ya kuuana polisi kwa polisi kutokana na unyanyasaji wa wenyewe kwa wenyewe!
IGP ukitaman uwajibikaji wewe tangaza uwazi tu
Na iwe ni sheria na pia marufuku kumkataza raia kurekodi matukio hata ndani ya kituo cha polisi.
hakika utapata jeshi ambalo litakuwa na nidhamu ya hali ya juu!
matukio ya polisi kunyanyasa raia hasa kama amepishana nae lugha kidogo ni mengi sana!
polisi wanabambika kesi watu na kuna walio jela kwa sababu ya maamuzi ya hawa polisi wetu
kuna matukio hasa ya kuuana polisi kwa polisi kutokana na unyanyasaji wa wenyewe kwa wenyewe!
IGP ukitaman uwajibikaji wewe tangaza uwazi tu