Wazo Langu
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 1,381
- 842
Tumewaza kitu kimoja.Maelezo yote aliyoyatoa mdau ni kama vile anajitangaza nini anacho,lakini huyu anaonekana amepata vijisenti anataka kununua gari lake la kwanza na anaomba ushauri ili amiliki hii subaru.Achana nalo kijana unayeanza maisha,litakufirisi kwa mafuta halafu very delicate ingawa mwendo linamudu.
Huyu anataka maoni ya wengine kuhusu Subaru.
hizo nyingine mbwembwe tu