Ushauri kuhusu Subaru Forestar

Ushauri kuhusu Subaru Forestar

Nimlete vp tena kaka mbona sikuelewi au unataka kumuoa , haaaaaa wewe umuwezi ana ghalama sana pia waukweliiiii

kumbe ni 'ghalama' tu !mimi nilidhani gharama,wewe mlete tukusaidie kumnunulia subaru kama hiyo hapo juu na mafuta ya mwaka mzima
 
kumbe ni 'ghalama' tu !mimi nilidhani gharama,wewe mlete tukusaidie kumnunulia subaru kama hiyo hapo juu na mafuta ya mwaka mzima
pumbavuuuu zako wewe hata bitto ya laki 6 hauna itaweza subaru mordel2013 we mbuzi kweli tambua vizuri kwa helaaaaa na mimi nipo usa river huku site njooo
 
pumbavuuuu zako wewe hata bitto ya laki 6 hauna itaweza subaru mordel2013 we mbuzi kweli tambua vizuri kwa helaaaaa na mimi nipo usa river huku site njooo

Punguza jazba wewe mbwiga mlete tukusaidie...unatishia na site ya uswazini huko Usariver,mvua ikinyesha ni bwawa tupu !we kweli ni mburula ....halafu inaonekana una mambo ya kizee mno>>
 
Punguza jazba wewe mbwiga mlete tukusaidie...unatishia na site ya uswazini huko Usariver,mvua ikinyesha ni bwawa tupu !we kweli ni mburula ....halafu inaonekana una mambo ya kizee mno>>
we unaonekana ni mtu kwanza negative thinker pili unaonekana ni mtu maskini sana infact sio zungumzi na watu wapuuzi kama wewe mnaofahamu jf ukubwani bahada ya kupata michina yenu njoo huku site uone vitu kipapa wewe!!! Unaweza ukakaa center ukawa na maisha ya kimaskini ni sawa na kukaa kijijini kwanza wenye pesa tunataka utulivu sio vulugu nenda monduli mtazame mzeemzima anakaa wapiii kima mweusi wewe
 
Kama una Land Cruiser V8, sidhani kama mafuta ya Subaru Forester yatakushinda.
 
View attachment 176084

Jamani mimi nina mke wangu nampenda sana toka tumeowana ni miaka 7 sasa ,tulianza na maisha magumu sana tunamshukuru mungu amefungua riziki leo tuna maisha mazuri sana.

Tumefanikiwa kujenga nyumba 4 na kupata watoto 3 ukweli tuna mshukuru mungu,pia tumefungua biashara nyingi tu ingawa bado ni wafanyakazi wa serikali ya Tanzania.

Licha ya gari ya ofisini kwa upande wangu namiliki toyota landcruser v8 mali yangu binafsi hapo ndipo nae mke wangu nilipoamua kumnunulia gari yake ya kutembelea sasa toka nimemnunulia iyo gari aina ya toyota RAV4, amelisusa na halitaki kabisa yeye anataka SUBARU FORESTAR TURBO STI ambayo iyo juu pichani mimi nimemkatalia hii gari kwanza inakimbia sana pia linakula mafuta sana hebu nisaidieni maana hata unyumba sipati nina wiki sasa.

kwan jf imepitisha sheria ya kila mtu kutaja mali zake au ni mbwembwe tu?
 
Ok boss nitumie picha ya hiyo gari ikiwa imepark kwako niione ilivyo
sasa hayo ndio maneno kumbe kuongea unajua ila usije ukawa jambazi kesho naenda arusha asubuhi na v8 langu nitakutumia nikiwa arusha sorry kijana
 
nina wasi wasi kama hapa lengo ni،kuomba ushauri!!!!!

ana V8 alaf anasema subaru forester inabwia mafuta, eh eh eh kumbe waelewa mmemuelewa vizuri lengo la mada hii!!
 
Back
Top Bottom