kaka linabwia mafuta hiloooooo mi naona tutasumbuana kaka
agrrrrrrr misitaki bana kuchekaV8 linakunywa supu au?
hata wewe ukitaka mi nakununulia tuAise. Ana raha mkeo. Wengine ni tuitafute wenyewe hiyo chapaa mzee.
na nyie vip mmeshaona hapa kwenye pombe za kienyeji sio sehemu za kusalimiana hapa !!! Sijui jirani hamjaonana sisi inatuhusu nini!!!Sijambo...nimekukosa sana atii
Habari ya uzima wako?
Kama pesa inaruhusu mnunulie, sasa unafikiri muda gani utatumia. Kama ipo tumia
njema kabisa,nipo mdogo mdogo aiseh
kiasi tu.Naona leo umejaa tele...
wewe inakuhusu nini.na nyie vip mmeshaona hapa kwenye pombe za kienyeji sio sehemu za kusalimiana hapa !!! Sijui jirani hamjaonana sisi inatuhusu nini!!!
wewe inakuhusu nini.
husomeki ww.Potezea hiyo mamtu. Tuendelee na mtongozano wetu.
nina wasi wasi kama hapa lengo ni،kuomba ushauri!!!!!
nyie vp nadhani ni wajawazito nyie mnapeana habari za mimbamimbahusomeki ww.