Ushauri kuhusu Subaru Forestar

Ushauri kuhusu Subaru Forestar

Mnunulie tu, wenzio wanawanunulia chopa hao, atakwenda kwenye chopa, huoni wanavyo pigana vikumbo?
 
We jamaa unazingua ujue...hii kamba hata juha lazima akate.
 
View attachment 176084Jamani mimi nina mke wangu nampenda sana toka tumeowana ni miaka 7 sasa ,tulianza na maisha magumu sana tunamshukuru mungu amefungua riziki leo tuna maisha mazuri sana, tumefanikiwa kujenga nyumba 4na kupata watoto 3 ukweli tuna mshukuru mungu,pia tumefungua biashara nyingi tu ingawa bado ni wafanyakazi wa serikali ya tanzania ,licha ya gari ya ofisini kwa upande wangu namiliki toyota landcruser v8 mali yangu binafsi hapo ndipo nae mke wangu nilipoamua kumnunulia gari yake ya kutembelea sasa toka nimemnunulia iyo gari aina ya toyota RAV4, amelisusa na halitaki kabisa yeye anataka SUBARU FORESTAR TURBO STI ambayo iyo juu pichani mimi nimemkatalia hii gari kwanza inakimbia sana pia linakula mafuta sana hebu nisaidieni maana hata unyumba sipati nina wiki sasa!!

Mbwembe Nyingiiii UNGESEMA TU MOJA KWA MOJA TU UNAOMBA USHAURI WA KUINUNUA HIYO GARI. ACHA KUZUNGUKA
 
Mnunulie tu!we si ndie ulienda kumchukua kwao alipokua analelewa na wazazi wake ukasema utaweza kumtunza?
 
Jamaa namkubali kwa kutunga Hadithi.
Yaani watu unawaona wote watoto humu.
Maada tuliosoma somo la Insha ni kwamba Maudhui ya Mada yasiingiliane,sasa hapo kuna mada kibaoo.Misifa Teleee.
 
Sasa hizo nyumba nne zinahusianaje na gari? Acha kutuletea Ushamba hapa jukwaani. Peleka kwenye glob za watoto wenzako
heeee kaka mara yameshakuwa hayooo matusi tena mzee
 
Back
Top Bottom