Ushauri kuhusu Subaru Forestar

Ushauri kuhusu Subaru Forestar

Uanaume wako ndo unapimwa hapa, kama kila kitu analosema mwanamke wewe unatekeleza sasa nani kaolewa hapo? Vitu vingine lazima uwe na maamuzi yako, pia mnatakiwa mshauriane, mjadiliane na mufikie maamuzi basing on arguments. Ni ujinga mtu kusema napenda hiki kitu bila grounds. Gari lenyewe halina hata shepu, huyo mwanamke naye ana shida kwenye ubongo wake

Nimeshindwa kushangaa!!
 

Attachments

  • 1407513316818.jpg
    1407513316818.jpg
    29.1 KB · Views: 611
you are not and you never being serious , mkeo n mshamba kiasi gani mpaka atake subaru. it seems like you dont know the really brands people do drive. nilitegemea angetaka 520i if you know what i mean
 
View attachment 176084Jamani mimi nina mke wangu nampenda sana toka tumeowana ni miaka 7 sasa ,tulianza na maisha magumu sana tunamshukuru mungu amefungua riziki leo tuna maisha mazuri sana, tumefanikiwa kujenga nyumba 4na kupata watoto 3 ukweli tuna mshukuru mungu,pia tumefungua biashara nyingi tu ingawa bado ni wafanyakazi wa serikali ya tanzania ,licha ya gari ya ofisini kwa upande wangu namiliki toyota landcruser v8 mali yangu binafsi hapo ndipo nae mke wangu nilipoamua kumnunulia gari yake ya kutembelea sasa toka nimemnunulia iyo gari aina ya toyota RAV4, amelisusa na halitaki kabisa yeye anataka SUBARU FORESTAR TURBO STI ambayo iyo juu pichani mimi nimemkatalia hii gari kwanza inakimbia sana pia linakula mafuta sana hebu nisaidieni maana hata unyumba sipati nina wiki sasa!!

nina wasi wasi kama hapa lengo ni،kuomba ushauri!!!!!

unahisi lengo ni nini

kukamata nyumba ndogo zinazoshobokea wasifu

Hapa ngoja niwaite miss chagga, Madame B, Evelyn Salt wajaribu bahati yao.

Wanaweza bahatika kununuliwa treni au helikopta kama ya Ndesamburo ili kukabiliana na foleni za Daslam.
 
Last edited by a moderator:
nina wasi wasi kama hapa lengo ni،kuomba ushauri!!!!!

Teh teh yaani acha tu.....

wahaya bhana mmezidi mbwembwe.

Hizo ni mbwembwe na misifa!

Jasiri haachi asili....

Jamani jamani jamani....... Mwenzenu ana mihela lakini hataki kumnunulia mkewe gari inayokula mafuta sana...... Wife kasusa kusukuma RAV 4 isije ikamletea kansa ya makalio bureeee.

Nyie endeleeni tu kubanana kwenye vibajaji.
 
Wahaya bwana mtu una v8 miradi kibao halafu unahofia mafuta ambayo tofauti na hiyo rav 4 ni ndogo sana punguza kupenda misifa kwa mtu mwenye uwezo kama uliyemwongelea kwenye uzi wako hawezi kushindwa kumudu subaru
 
My LOVE yu a so intelijenti ndio maana nakupendaga. Biashara matangazo
Thank you very much my love. I love you sana.

Nikununulie bajaji nawe utese hapa Makambako?
 
View attachment 176084Jamani mimi nina mke wangu nampenda sana toka tumeowana ni miaka 7 sasa ,tulianza na maisha magumu sana tunamshukuru mungu amefungua riziki leo tuna maisha mazuri sana, tumefanikiwa kujenga nyumba 4na kupata watoto 3 ukweli tuna mshukuru mungu,pia tumefungua biashara nyingi tu ingawa bado ni wafanyakazi wa serikali ya tanzania ,licha ya gari ya ofisini kwa upande wangu namiliki toyota landcruser v8 mali yangu binafsi hapo ndipo nae mke wangu nilipoamua kumnunulia gari yake ya kutembelea sasa toka nimemnunulia iyo gari aina ya toyota RAV4, amelisusa na halitaki kabisa yeye anataka SUBARU FORESTAR TURBO STI ambayo iyo juu pichani mimi nimemkatalia hii gari kwanza inakimbia sana pia linakula mafuta sana hebu nisaidieni maana hata unyumba sipati nina wiki sasa!!

Kama ni mchezaji basi nakufananisha na Gaucho wa kipindi kile, kwa jinsi ulivyowasilisha Thread yako kwa manjonjo kibaaaao!
 
kukamata nyumba ndogo zinazoshobokea wasifu

Maelezo yote aliyoyatoa mdau ni kama vile anajitangaza nini anacho,lakini huyu anaonekana amepata vijisenti anataka kununua gari lake la kwanza na anaomba ushauri ili amiliki hii subaru.Achana nalo kijana unayeanza maisha,litakufirisi kwa mafuta halafu very delicate ingawa mwendo linamudu.
 
Hongera mkuu kwa kututangazia mali zako...vp ile chopa yako bado inaruka?
 
Back
Top Bottom