Ushauri kuhusu ku-apply vyuo vikuu 2016/2017

Ushauri kuhusu ku-apply vyuo vikuu 2016/2017

hivi kuna kujitapa hapa. Pole hakuna aliyejitapa. na kwa kushauri kwa ukali hvyo nafikiri siuhitaji tena ,. na sio mimi bali ni ndugu yangu mie nilikuwa 4 points!! . kama kuomba ushauri ni kujitapa basi kaaa na ushauri wako!! don'nt need it
 
uandishi wa habari bana mimi sijui tenda zao na maslahi yao ila ukiwa superstar ukiweza kuteka watu kama akina millard ayo na jeri muro basi wewe kila kituo cha tv au redio utaitwa ila ndugu kama utakua mtu wa kawaida tuu sijui.
kuna watangazaji kama dj fetty, mamy babie n.k wanasakwa kinoma ila sasa ni mpaka uwe na ladha ya kipekee. kwa kweli sina uelewa sana na kozi za sananaa. labda angalia waamu wa arts zanzibar wanahitajika? serikali ya huko bado inahitaji watu?
mfani kwetu bara wakimu wa arts hawahitajiki serikali imejitosheleza na kuna watu kama miaka miwili mfululizo walisoma ualimu wa masomo ya sanaa saivi hawana ajira hawajui waende wapi.
so best nakushauri unapochagua kitu angalia na future yake, maeneo yaliyokuzungua, uhitaji wake na ushindani wa watu waliosoma hiyo kitu.
sina la kukushauri vizuri kikubwa pitia comments mbali mbali humu ndani na uhakika utajifunza mengi
Zanzibar lzm uwe muunguja only ndo upate ajira ata uwe na high grade
 
watu wana division one za nguvu huko we wajitapa na two?? acha kujiskia jione wa kawaida kwa hiyo two yako muhas, udsm, udom , hupati labda kcmc na bugando huko unaweza pata
na kama ana hela ya mawazo ada zao na expense za vyuo hivyo hawez. dogo atulie asione kafika,
 
ila mnapoitwa pm muwe makini msije lizwa na wanjanja wa MUJINI, maana hapa wengine sio wema!!!
 
hivi kuna kujitapa hapa. Pole hakuna aliyejitapa. na kwa kushauri kwa ukali hvyo nafikiri siuhitaji tena ,. na sio mimi bali ni ndugu yangu mie nilikuwa 4 points!! . kama kuomba ushauri ni kujitapa basi kaaa na ushauri wako!! don'nt need it
mbona watanzania hampendi huambiwa ukweli. hayo maelezo yako hapo juu inaonyesha unaringa kabisa.
pia hujaombwa uje uombe ushari kwenye huu uzi sisi tunataka watu wenye nia ya dhati ya kusoma. majivuno yako baki nayo moyoni huku hadi 1 za 3 zipo wala humtishi mtu humu, we vipi
 
ila mnapoitwa pm muwe makini msije lizwa na wanjanja wa MUJINI, maana hapa wengine sio wema!!!
Teh nimecheka sana,unakuta mtu anakwambia ukitaka ushauli zaidi njoo PM sasa najiuliza huko pm anamshauli nini,ambacho hawezi kukiweka hapa na wengine wakanufaika?.
 
Ndugu naomba kuuliza kuhusu diploma ya ualimu huwa zipo vp
vipo vyuo kibao kama marangu teacher college kilimanjaro.
kleruu teacher college iringa. yani vipo vingi sijapata tuu mda wa kuvitafuta.
you just google.
sijajua wana join vipi ila angalia vyuo husika sasa vinapatikana mtandaoni humo.
kama ni direct entry au nacte utajua
 
Mkuu inamaana siruhusiwi kutoa maoni yangu kwa sababu "mimi ni diploma" ?
sijamaanisha hvyo,unawakatsha tamaa wenzako wanaotaka kujua,utakuta mwingne hata simu yenye internet hakuna na utakuta hata internet yenyewe inasumbua ,hvyo anakuja hapa kutaka msaada lakin ndugu yangu wew unamkatsha tamaa
kila mtu ana vision lakn kuna vkwazo vya kuifkia vision yako ,lakin sio kwamba hajui asomee nini chuo kikuu,inawezekana hata wewe baada ya kumaliza form four ulitaman kwenda advance lakin alama hazkutosha ukaenda diploma ili tu ufkie malengo yako
.hvyo sio wote wanaoenda vyuo vkuu now kwa koz za matakwa yao.
keep in your mind
na sorry kwa lugha niliyotumia kama imekukera
 
Teh nimecheka sana,unakuta mtu anakwambia ukitaka ushauli zaidi njoo PM sasa najiuliza huko pm anamshauli nini,ambacho hawezi kukiweka hapa na wengine wakanufaika?.
umeonaee
 
Back
Top Bottom