God'sBeliever
JF-Expert Member
- Sep 1, 2015
- 5,788
- 3,062
- Thread starter
- #121
unaruhusiwa kabisa ni wewe tuu wala usijali.lakini koz moja kwa vyuo vi2 tofauti naruhusiwa!
NB usinichoke kwa maswali yangu.
ila ni mwiko kuomba kozi moja zaidi ya mara mbili kwa chuo kimoja kwanza system haitakuruhusu