Sikuwemo kwenye orodha kaka!nashukuru sana, jkt hukupangwa?
Sikuwemo kwenye orodha kaka!nashukuru sana, jkt hukupangwa?
nishauri ndugu yanguHapana
Usifanye hvyo mkuu. Maisha hayako hvyo hata siku moja! Badili mtazamo kuhusu hili wazo lako!
unaomba ndio hadi nafasi tano zote zinajaa hio haina shidayaani hyo bachelor of art with education naweza kuiomba katika vyuo vitatu tu .kwa sababu sihitaji kuchagua kozi nyingne yoyote
poaSikuwemo kwenye orodha kaka!
hapana ndio nakuambia wanaifanyia marekebisho, kama wanavyofanyaga hii tumeiona miaka ya nyumaNi kweli hiyo link imewekwa hapo kwa siku kadhaa sasa, lakini swali ni je ulishawahi kudowload ikakubali ?
we kama unavigezo fanya kitu unachokipenda kutoka moyoni apply moja kwa moja. mambo ya kubadilisha kozi ya na process nyingi sio kazi ndogo na unaweza usifanikiwenishauri ndugu yangu
sasa nifanyeje
je nikichagua koz ambayo siihitaji lakini ipo ndani ya hcho chuo naweza kuchange kozi
kwa sababu naona sielewi mkuu
yaa labaratory kadhaa zipo muhasi, IT ni information technology, mambo ya kutengeneza application kibao unazoziona app store n.k, graphics design na websit creation ya ina mambo mengi for more info andika google IT carrier utaona application zakeMedical labalatory inapatkanga na kwenye vyuo vya serikari? na nieleze kdogo kuhusu IT upatkanaj wake, indadili na nini na soko lake katka ajira!
sawa nashukuru mkuuunaomba ndio hadi nafasi tano zote zinajaa hio haina shida
nashukuru kwa ushirikiano wakowe kama unavigezo fanya kitu unachokipenda kutoka moyoni apply moja kwa moja. mambo ya kubadilisha kozi ya na process nyingi sio kazi ndogo na unaweza usifanikiwe
huwezi sababu huna point 4 kwa masomo mawiliChem E BIOS E na geo D bam Nina F naomba ushauri nikasomee nn mie nshaurini bas
wanaifanyia mabadiliko usijaliok nmeshakupata
but ile iko muda sasa but ukifungua inaandika will be released soon as possible
so bado ndugu
Wadau nimepata eng D Kisw D Geo S GS F(GKL) mwaka huu form6, O/ level kisw C Geo C eng C islamic religion B Bio D Arabic lng D civics D, nimesoma guidebook ya mwaka jana nikaiona logistics and transport management inataka two Olevel passes in any subject nikajishauru mwaka huu ikitoka ivo niombe NIT je kwa masomo haya na pass hizi ntachaguliwa na vipi kuhusu ushindan wa course hii naweza kupata msaada pls?Habari ndugu na wana JF kwa ujumla.
Nimeona nianzishe huu uzi mahususi kabisa kwa wale wanaoomba vyuo vikuu kozi mbali mbali tuwape elimu na ujanja ili waweze ingia vyuo wavipendavyo.
Pia huu uzi utashauri ubora wa chuo husika kuhusu baadhi ya kozi kwani kuna baadhi ya vyuo vina sifa kadhaa katika fani wanazofundisha.
Unachopaswa kufanya ewe unaeomba chuo utaleta matokeo yako yote ili tuyachambue ndio tukupe ushauri, pia kwa vyuo vyenye ushindani kwa kozi fulani hawa hadi matokeo ya form four wanaangalia so usiwe na hofu relax tutakushauri na hakika utashinda mapema wala hutapoteza kitu na pia uwashauri na wenzio walio karibu wapitie huu uzi ili wajifunze zaidi.
Kumbuka ufaulu wako ndo unaamua yote unapoomba kozi angalia ufaulu wako na ushindani kama idadi ni kubwa sana ya waliiomba na wewe una matokeo hafifu badilisha haraka.
Pia ni vyema kufanya maamuzi sahihi ukitegemea eti utahama chuo ni ngumu na hizi habari zinaingiliana na mkopo hivyo basi utaweza kuja kupata mkopo mwaka wa pili.
Hivyo basi jandae vizuri usiwe mbishi sikiliza ushauri wetu vizuri na sisi tumepita huko.
Pia wenzetu mliosoma diploma tunaweza wasaidia mawili matatu.
Karibuni sana.
make sure that u r vt certain of of wht u r saying bcoz nowadays theft is rampantly increasing!! so, mark my words,!!!Kwa wadogo zangu mliomaliza kidato cha sita na wa kidato cha nne mnaohitaji info kuhusu vyuo vya china(kozi,ada na admission process) kwa mwaka 2016 ninaweza kuwasaidia na i can help with admission process too.tuwasiliane kupitia +8613065131363 whatsapp only.na kwa wale form six au diploma waliokosa saifa za kujiunga na shahada tuwasiliane nikushauri cha kufanya.Karibuni huduma inatolewa bure
ndio huwezi omba kozi moja mara mbili kwa chuo kimoja hiyo haifai. unaweza omba kozi mbili kwa vyuo viwili tuu na usizidishe.sawa nashukuru mkuu
kwani naskia koz moja unaomba kwa chuo kimoja
hapo ndipo nilipo kosa wapi pa kuanzia
Mkuu sijaelewamake sure that u r vt certain of of wht u r saying bcoz nowadays theft is rampantly increasing!! so, mark my words,!!!
nenda elimu, udomNina divisheni 1 pointi 9,mchepuo HGE nina C zote, kozi gani inanifaa?