Ushauri kuhusu ku-apply vyuo vikuu 2016/2017

Ushauri kuhusu ku-apply vyuo vikuu 2016/2017

Hapana

Usifanye hvyo mkuu. Maisha hayako hvyo hata siku moja! Badili mtazamo kuhusu hili wazo lako!
nishauri ndugu yangu
sasa nifanyeje
je nikichagua koz ambayo siihitaji lakini ipo ndani ya hcho chuo naweza kuchange kozi
kwa sababu naona sielewi mkuu
 
Ni kweli hiyo link imewekwa hapo kwa siku kadhaa sasa, lakini swali ni je ulishawahi kudowload ikakubali ?
hapana ndio nakuambia wanaifanyia marekebisho, kama wanavyofanyaga hii tumeiona miaka ya nyuma
 
Medical labalatory inapatkanga na kwenye vyuo vya serikari? na nieleze kdogo kuhusu IT upatkanaj wake, indadili na nini na soko lake katka ajira!
 
nishauri ndugu yangu
sasa nifanyeje
je nikichagua koz ambayo siihitaji lakini ipo ndani ya hcho chuo naweza kuchange kozi
kwa sababu naona sielewi mkuu
we kama unavigezo fanya kitu unachokipenda kutoka moyoni apply moja kwa moja. mambo ya kubadilisha kozi ya na process nyingi sio kazi ndogo na unaweza usifanikiwe
 
Medical labalatory inapatkanga na kwenye vyuo vya serikari? na nieleze kdogo kuhusu IT upatkanaj wake, indadili na nini na soko lake katka ajira!
yaa labaratory kadhaa zipo muhasi, IT ni information technology, mambo ya kutengeneza application kibao unazoziona app store n.k, graphics design na websit creation ya ina mambo mengi for more info andika google IT carrier utaona application zake
 
we kama unavigezo fanya kitu unachokipenda kutoka moyoni apply moja kwa moja. mambo ya kubadilisha kozi ya na process nyingi sio kazi ndogo na unaweza usifanikiwe
nashukuru kwa ushirikiano wako
 
medical lab inapatkana hata kwenye vyuo vya serikali? na kuhusu na IT nieleze kwa mapana inahusu na nini na inatolewa chuo gani na soko lake liko vp kwenye ajira! hv viwili vimenivutia zaidi!
 
Jmani naombeni msaada dogo yupo kijijin hata cm anataka aombe chuo lakin kwa matokeo aliopata hajui aombe chuo gani na kozi ipi atakayoweza kusoma, yeye alisoma pcm amepata math C chem E na phy E naomben msaada asije akasoma vitu visivyoeleweka. Ila yeye alitaka lab technical na kozi ambayo inahusu kusindika mazao.
 
[QUOTE="big gift, post: 16897078, member: ok nashukuru
 
Habari ndugu na wana JF kwa ujumla.

Nimeona nianzishe huu uzi mahususi kabisa kwa wale wanaoomba vyuo vikuu kozi mbali mbali tuwape elimu na ujanja ili waweze ingia vyuo wavipendavyo.

Pia huu uzi utashauri ubora wa chuo husika kuhusu baadhi ya kozi kwani kuna baadhi ya vyuo vina sifa kadhaa katika fani wanazofundisha.

Unachopaswa kufanya ewe unaeomba chuo utaleta matokeo yako yote ili tuyachambue ndio tukupe ushauri, pia kwa vyuo vyenye ushindani kwa kozi fulani hawa hadi matokeo ya form four wanaangalia so usiwe na hofu relax tutakushauri na hakika utashinda mapema wala hutapoteza kitu na pia uwashauri na wenzio walio karibu wapitie huu uzi ili wajifunze zaidi.

Kumbuka ufaulu wako ndo unaamua yote unapoomba kozi angalia ufaulu wako na ushindani kama idadi ni kubwa sana ya waliiomba na wewe una matokeo hafifu badilisha haraka.

Pia ni vyema kufanya maamuzi sahihi ukitegemea eti utahama chuo ni ngumu na hizi habari zinaingiliana na mkopo hivyo basi utaweza kuja kupata mkopo mwaka wa pili.

Hivyo basi jandae vizuri usiwe mbishi sikiliza ushauri wetu vizuri na sisi tumepita huko.

Pia wenzetu mliosoma diploma tunaweza wasaidia mawili matatu.
Karibuni sana.
Wadau nimepata eng D Kisw D Geo S GS F(GKL) mwaka huu form6, O/ level kisw C Geo C eng C islamic religion B Bio D Arabic lng D civics D, nimesoma guidebook ya mwaka jana nikaiona logistics and transport management inataka two Olevel passes in any subject nikajishauru mwaka huu ikitoka ivo niombe NIT je kwa masomo haya na pass hizi ntachaguliwa na vipi kuhusu ushindan wa course hii naweza kupata msaada pls?
 
Kwa wadogo zangu mliomaliza kidato cha sita na wa kidato cha nne mnaohitaji info kuhusu vyuo vya china(kozi,ada na admission process) kwa mwaka 2016 ninaweza kuwasaidia na i can help with admission process too.tuwasiliane kupitia +8613065131363 whatsapp only.na kwa wale form six au diploma waliokosa saifa za kujiunga na shahada tuwasiliane nikushauri cha kufanya.Karibuni huduma inatolewa bure
make sure that u r vt certain of of wht u r saying bcoz nowadays theft is rampantly increasing!! so, mark my words,!!!
 
sawa nashukuru mkuu
kwani naskia koz moja unaomba kwa chuo kimoja
hapo ndipo nilipo kosa wapi pa kuanzia
ndio huwezi omba kozi moja mara mbili kwa chuo kimoja hiyo haifai. unaweza omba kozi mbili kwa vyuo viwili tuu na usizidishe.
pia unaruhusiwa kuomba sii chini ya vyuo vitatu na pia si zaidi ya vyuo vitano
 
Back
Top Bottom