Ushauri kuhusu ku-apply vyuo vikuu 2016/2017

Ushauri kuhusu ku-apply vyuo vikuu 2016/2017

Jaman wadau nina mdgo wang mwngne yy pia kasoma CBG ambapo ana D² za bio en chem pia C ya geo kam yule mwanzo en kashatuma maombi ambapo
1-kaeka md archbishop james
2-kaeka pharmacy st.john
3-kaeka medcal.lab bugando
4-kaeka md kairuki
5-pharmc bugando
So kaniomba ushaul na mm cjui nimwambie nn so wakuu nambieni aache hivo hivo ama afanye editing mapema na kam anafanya editing ajaze nn
cdhani kama atapata
 
msaada...nna division 2 ya 12 form six PCB phys E Chem D na bio C name form four nlikuwa na div 1 ya 17 nmeapply chuo KCMC kozi ya prosthetics & orthotics na competition kiujumla ni applicants 22 wakati admission capacity ni 15 je nnaweza kupata nafasi au nbadilishe machaguo?!...
Utapata umeweka priority ya ngapi
 
vipi mkuu Mimi Nina DDD Kwenye physics, chemistry na biology Nina S kwenye BAM na F kwenye GS nitakuwa na cut of point ya ngapi na course gani unanishauri kusoma na doctor of medicine itakubali?
udaktar inawezekana kama competition sio kubwa but kama mlifaulu wengi MD ni ngumu
 
samahani kwa maswali mengi kaka....vipi kuhusu course ya physiotherapy kuna ndugu yangu kaomba hapo KCMC na kwenye gb wameandika capacity ni watu 30 na competition ilokuwepo ni watu 55 vipi idadi ya wanafunzi kwa course hiyo?
 
samahani kwa maswali mengi kaka....vipi kuhusu course ya physiotherapy kuna ndugu yangu kaomba hapo KCMC na kwenye gb wameandika capacity ni watu 30 na competition ilokuwepo ni watu 55 vipi idadi ya wanafunzi kwa course hiyo?
first year walikua almost 49 so kama kafaulu fresh watamchukua
 
samahani kwa maswali mengi kaka....vipi kuhusu course ya physiotherapy kuna ndugu yangu kaomba hapo KCMC na kwenye gb wameandika capacity ni watu 30 na competition ilokuwepo ni watu 55 vipi idadi ya wanafunzi kwa course hiyo?
hao 55 si walioweka 1st choice tu, anaezaenda ata wa 5th choice kama kafaulu na nne zake za juu zimegoma na yule aliyeweka 1st akabaki
 
hao 55 si walioweka 1st choice tu, anaezaenda ata wa 5th choice kama kafaulu na nne zake za juu zimegoma na yule aliyeweka 1st akabaki
mfano kama ikitokea walioweka first choice wote wana two na wale walioweka 2nd na 3rd choise wana ONE na first choice zao zimegoma je wale wenye two wataachwa wabebwe wale wenye one au?
 
mfano kama ikitokea walioweka first choice wote wana two na wale walioweka 2nd na 3rd choise wana ONE na first choice zao zimegoma je wale wenye two wataachwa wabebwe wale wenye one au?
lazima wapewe, kikubwa ni ufaulu ndo TCU wanaangalia, priority ni vision ya muombaji tu anayowapa TCU kama mwongozo waanze hapa kwenda pale ambayo wataijaji kwa matokea ya muombaji.
 
mwanafunzi aliyefaulu akiachwa akachukuliwa mwingine aliye na ufaulu wa kawaida na wote wapo kwenye round na coz sawa, anahaki ya kuwashtaki TCU
 
mwanafunzi aliyefaulu akiachwa akachukuliwa mwingine aliye na ufaulu wa kawaida na wote wapo kwenye round na coz sawa, anahaki ya kuwashtaki TCU
Jambo gum hilo.
Na ata kama ukiachwa lazma watatoa sabab ya kuachwa kwako.
Cha umuhmu umefaulu ondoa was was utasoma tu elim ya juu.
Nmejarbu kufikr tu mkuu.
 
Wakuu samahani nahitaji ushauri wenu katika hizi kozi nina gpa ya 3.9 diploma ya account toka TIA, nime apply hivi udsm bcom-accounting,udsm bcom-finance,tia-accounting,ardhi-science in accounting & finance. Kwa udsm wanatak o'level uwe na c ya b-maths sasa mimi sikupata C wakuu nilipata C ya book-keeping, ila nina B+ ya bussiness maths and statistics ya diploma! je hapo mtazamo wenu naweza pata chuo wapi wakuu?. Ahsanteh
 
Habari ndugu na wana JF kwa ujumla.

Nimeona nianzishe huu uzi mahususi kabisa kwa wale wanaoomba vyuo vikuu kozi mbali mbali tuwape elimu na ujanja ili waweze ingia vyuo wavipendavyo.

Pia huu uzi utashauri ubora wa chuo husika kuhusu baadhi ya kozi kwani kuna baadhi ya vyuo vina sifa kadhaa katika fani wanazofundisha.

Unachopaswa kufanya ewe unaeomba chuo utaleta matokeo yako yote ili tuyachambue ndio tukupe ushauri, pia kwa vyuo vyenye ushindani kwa kozi fulani hawa hadi matokeo ya form four wanaangalia so usiwe na hofu relax tutakushauri na hakika utashinda mapema wala hutapoteza kitu na pia uwashauri na wenzio walio karibu wapitie huu uzi ili wajifunze zaidi.

Kumbuka ufaulu wako ndo unaamua yote unapoomba kozi angalia ufaulu wako na ushindani kama idadi ni kubwa sana ya waliiomba na wewe una matokeo hafifu badilisha haraka.

Pia ni vyema kufanya maamuzi sahihi ukitegemea eti utahama chuo ni ngumu na hizi habari zinaingiliana na mkopo hivyo basi utaweza kuja kupata mkopo mwaka wa pili.

Hivyo basi jandae vizuri usiwe mbishi sikiliza ushauri wetu vizuri na sisi tumepita huko.

Pia wenzetu mliosoma diploma tunaweza wasaidia mawili matatu.
Karibuni sana.
Mkuu samahani nahitaji ushauri wenu katika hizi kozi nina gpa ya 3.9 diploma ya account toka TIA, nime apply hivi udsm bcom-accounting,udsm bcom-finance,tia-accounting,ardhi-science in accounting & finance. Kwa udsm wanatak o'level uwe na c ya b-maths sasa mimi sikupata C ya hilo somo bali nilipata C ya book-keeping wakuu ila nina B+ ya bussiness maths and statistics ya diploma! je hapo mtazamo wenu naweza pata chuo wapi wakuu?. Ahsanteh
 
lazima wapewe, kikubwa ni ufaulu ndo TCU wanaangalia, priority ni vision ya muombaji tu anayowapa TCU kama mwongozo waanze hapa kwenda pale ambayo wataijaji kwa matokea ya muombaji.
Umenena vizur mkuu inaonekana unawaelewa sana TCU....!
 
Back
Top Bottom