mgen
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 23,254
- 9,168
Napenda kuwa daktari kamanda...weweulikua unapenda kuwa nani? ulikua huna ndoto kweli?
Napenda kuwa daktari kamanda...weweulikua unapenda kuwa nani? ulikua huna ndoto kweli?
mkuu jaribu bugando, archbishop james, kairuk au kcmcNapenda kuwa daktari kamanda...
Muhimbili au udsm nisiombe?mkuu jaribu bugando, archbishop james, kairuk au kcmc
Habari ndugu na wana JF kwa ujumla.
Nimeona nianzishe huu uzi mahususi kabisa kwa wale wanaoomba vyuo vikuu kozi mbali mbali tuwape elimu na ujanja ili waweze ingia vyuo wavipendavyo.
Pia huu uzi utashauri ubora wa chuo husika kuhusu baadhi ya kozi kwani kuna baadhi ya vyuo vina sifa kadhaa katika fani wanazofundisha.
Unachopaswa kufanya ewe unaeomba chuo utaleta matokeo yako yote ili tuyachambue ndio tukupe ushauri, pia kwa vyuo vyenye ushindani kwa kozi fulani hawa hadi matokeo ya form four wanaangalia so usiwe na hofu relax tutakushauri na hakika utashinda mapema wala hutapoteza kitu na pia uwashauri na wenzio walio karibu wapitie huu uzi ili wajifunze zaidi.
Kumbuka ufaulu wako ndo unaamua yote unapoomba kozi angalia ufaulu wako na ushindani kama idadi ni kubwa sana ya waliiomba na wewe una matokeo hafifu badilisha haraka.
Pia ni vyema kufanya maamuzi sahihi ukitegemea eti utahama chuo ni ngumu na hizi habari zinaingiliana na mkopo hivyo basi utaweza kuja kupata mkopo mwaka wa pili.
Hivyo basi jandae vizuri usiwe mbishi sikiliza ushauri wetu vizuri na sisi tumepita huko.
Pia wenzetu mliosoma diploma tunaweza wasaidia mawili matatu.
Karibuni sana.
Habari ndugu na wana JF kwa ujumla.
Nimeona nianzishe huu uzi mahususi kabisa kwa wale wanaoomba vyuo vikuu kozi mbali mbali tuwape elimu na ujanja ili waweze ingia vyuo wavipendavyo.
Pia huu uzi utashauri ubora wa chuo husika kuhusu baadhi ya kozi kwani kuna baadhi ya vyuo vina sifa kadhaa katika fani wanazofundisha.
Unachopaswa kufanya ewe unaeomba chuo utaleta matokeo yako yote ili tuyachambue ndio tukupe ushauri, pia kwa vyuo vyenye ushindani kwa kozi fulani hawa hadi matokeo ya form four wanaangalia so usiwe na hofu relax tutakushauri na hakika utashinda mapema wala hutapoteza kitu na pia uwashauri na wenzio walio karibu wapitie huu uzi ili wajifunze zaidi.
Kumbuka ufaulu wako ndo unaamua yote unapoomba kozi angalia ufaulu wako na ushindani kama idadi ni kubwa sana ya waliiomba na wewe una matokeo hafifu badilisha haraka.
Pia ni vyema kufanya maamuzi sahihi ukitegemea eti utahama chuo ni ngumu na hizi habari zinaingiliana na mkopo hivyo basi utaweza kuja kupata mkopo mwaka wa pili.
Hivyo basi jandae vizuri usiwe mbishi sikiliza ushauri wetu vizuri na sisi tumepita huko.
Pia wenzetu mliosoma diploma tunaweza wasaidia mawili matatu.
Karibuni sana.
Habari ndugu na wana JF kwa ujumla.
Nimeona nianzishe huu uzi mahususi kabisa kwa wale wanaoomba vyuo vikuu kozi mbali mbali tuwape elimu na ujanja ili waweze ingia vyuo wavipendavyo.
Pia huu uzi utashauri ubora wa chuo husika kuhusu baadhi ya kozi kwani kuna baadhi ya vyuo vina sifa kadhaa katika fani wanazofundisha.
Unachopaswa kufanya ewe unaeomba chuo utaleta matokeo yako yote ili tuyachambue ndio tukupe ushauri, pia kwa vyuo vyenye ushindani kwa kozi fulani hawa hadi matokeo ya form four wanaangalia so usiwe na hofu relax tutakushauri na hakika utashinda mapema wala hutapoteza kitu na pia uwashauri na wenzio walio karibu wapitie huu uzi ili wajifunze zaidi.
Kumbuka ufaulu wako ndo unaamua yote unapoomba kozi angalia ufaulu wako na ushindani kama idadi ni kubwa sana ya waliiomba na wewe una matokeo hafifu badilisha haraka.
Pia ni vyema kufanya maamuzi sahihi ukitegemea eti utahama chuo ni ngumu na hizi habari zinaingiliana na mkopo hivyo basi utaweza kuja kupata mkopo mwaka wa pili.
Hivyo basi jandae vizuri usiwe mbishi sikiliza ushauri wetu vizuri na sisi tumepita huko.
Pia wenzetu mliosoma diploma tunaweza wasaidia mawili matatu.
Karibuni sana.
Kuna rafiki yangu alisoma HGE na anasoma hiyo course UD,yeye alikuwa na points 9
Habari ndugu na wana JF kwa ujumla.
Nimeona nianzishe huu uzi mahususi kabisa kwa wale wanaoomba vyuo vikuu kozi mbali mbali tuwape elimu na ujanja ili waweze ingia vyuo wavipendavyo.
Pia huu uzi utashauri ubora wa chuo husika kuhusu baadhi ya kozi kwani kuna baadhi ya vyuo vina sifa kadhaa katika fani wanazofundisha.
Unachopaswa kufanya ewe unaeomba chuo utaleta matokeo yako yote ili tuyachambue ndio tukupe ushauri, pia kwa vyuo vyenye ushindani kwa kozi fulani hawa hadi matokeo ya form four wanaangalia so usiwe na hofu relax tutakushauri na hakika utashinda mapema wala hutapoteza kitu na pia uwashauri na wenzio walio karibu wapitie huu uzi ili wajifunze zaidi.
Kumbuka ufaulu wako ndo unaamua yote unapoomba kozi angalia ufaulu wako na ushindani kama idadi ni kubwa sana ya waliiomba na wewe una matokeo hafifu badilisha haraka.
Pia ni vyema kufanya maamuzi sahihi ukitegemea eti utahama chuo ni ngumu na hizi habari zinaingiliana na mkopo hivyo basi utaweza kuja kupata mkopo mwaka wa pili.
Hivyo basi jandae vizuri usiwe mbishi sikiliza ushauri wetu vizuri na sisi tumepita huko.
Pia wenzetu mliosoma diploma tunaweza wasaidia mawili matatu.
Karibuni sana.
Weka pharmacy St john am sure watakuchukua,namkopo utapata 100%.wakuu pcb DCC
1.doctor of medicine kcmc
2.doctor of dental surgery muhas
3.pharmacy muhas
kuna posibility ya kuchaguliwa kweli au niweke education tyu nipunguze stress?
Mwisho wa ku apply ni lini?
ndio huko vitovu vya vijana wa kitanzania wenye uelewa mkubwa na ufaulu mkubwa ndio pekee huweza kusoma huko.Muhimbili au udsm nisiombe?
cheki vyuo vya privatewakuu pcb DCC
1.doctor of medicine kcmc
2.doctor of dental surgery muhas
3.pharmacy muhas
kuna posibility ya kuchaguliwa kweli au niweke education tyu nipunguze stress?
muhas achana nayo huwezi pata, cheki bugando kairuki, archibishop james huko naamin mambo yanaweza tiki kigumu kulingana na ufaulu wa mwaka huu pia kuna wenzio wa miaka ya nyuma hawajaapply wako homun wanaweza haribu hali ikawa mbaya zaidwakuu pcb DCC
1.doctor of medicine kcmc
2.doctor of dental surgery muhas
3.pharmacy muhas
kuna posibility ya kuchaguliwa kweli au niweke education tyu nipunguze stress?
mkuu ufaulu wako mzuri ila sijuio kwa nini ulisoma diploma.fm 4 nina two ya point 21,C c.H c.G b.K c.E b.zilizobaki zote ni d. 6 nina two ya point 11.GS s
H d.G c.Eng d.Diploma nina GS c.HTM b.GTM a.EPGC b.ERME b.CT a.Nilimalixa butimba 2005.nipe mwpngozo kabla ya trh 30/07
udsm wana mbwembwe sana za kiboya huko kwingine utapataNimeaply
Pspa-UDSM
Urban planning-ARDHI
Insurance&risk mgt-IFM
Social work-UDSM
LMV-Ardhi
Nina BDD ya HGL..je nitachaguliwa ipi kati ya hizo na ipi nzuri na sio nzuri na kuna uwezekano wa kutochaguliwa zote kati ya hizo??
Kwa ufaulu huo nisichaguliw ud? Zen o lvl nina ufaulu mzur sanaaudsm wana mbwembwe sana za kiboya huko kwingine utapata