yusufu hezron
Member
- Jan 2, 2012
- 88
- 20
Tafadhali mnisaidie kuhusu hii gari kwani naitaka kuinunua na kama kuna MTU anayo na bado ni nzima basi anambie
Tafadhali naomba kuwasilisha
Tafadhali naomba kuwasilisha
Ulaji wa mafuta na uimara wa gari lenyewe tafadhali msaada wakoUshauri kuhusu nn.. Hebu kuwa specific... Unaulizia uimara au ulaji mafuta au comfortability.... Kuwa specific unaulizia nn
Kuna bwana mmoja ananiambia Kuwa ile gari ni six ila ina 1980cc sasa ndo nataka kujua uhalisia uliopo kwenye ulaji wa mafuta kwa kuzingatia hivo vigezokwa ulaji wa mafuta halifai km upo mijini linabwia kuliko
unataka uimara gani maana kwenye rough road halifai
kwa show za barabarani na watoto labda maana ukitoka disco waweza ficha hadi watu 8
tafuta gari lingine
Ahsante kwa ushauri wako mkubwa6 cylinders ile zipo za 2.0L na 2.5L. Kusema kweli kwa mjini tusiwe wanafiki inabwia wese, ukiwa wa mafuta ya buku 10 10 sikushauri. Kuna mshkaji hapa kazini anauza 6M ila naona mwezi wa 3 huu kimya.
Pros:
Comfortability
Stable barabarani
Nzuri sana masafa marefu
Spare kibao
Roho ya paka
Cons:
Wese mjini ova tank limevuja
Rough road some how sio friendly
Yaani unanihamaaisha aiseeeNi gari nzuri mafuta ya elf kumi kwa dar unatumia kms 50 huku ukitumia ac usidanganywe kuwa ni gari mbaya
Huyo jamaaa anaeuza naweza kupata mawasiliano take?6 cylinders ile zipo za 2.0L na 2.5L. Kusema kweli kwa mjini tusiwe wanafiki inabwia wese, ukiwa wa mafuta ya buku 10 10 sikushauri. Kuna mshkaji hapa kazini anauza 6M ila naona mwezi wa 3 huu kimya.
Pros:
Comfortability
Stable barabarani
Nzuri sana masafa marefu
Spare kibao
Roho ya paka
Cons:
Wese mjini ova tank limevuja
Rough road some how sio friendly
Weka picha mzeeeLete picha tuione
UongoNi gari nzuri mafuta ya elf kumi kwa dar unatumia kms 50 huku ukitumia ac usidanganywe kuwa ni gari mbaya
NI UONGO KABISAUnajibu kuwa uongo kwa kuwa unayo na umehakikisha au unajibu kwa kusikia maneno ya vijiweni