CLES B
JF-Expert Member
- Jul 7, 2013
- 731
- 455
Zinakuwa na cc200 ..upande wa engine ni gari yenye nguvu kwa safari.ila kwa mjini Mafuta huwa tanki linavuja.Rough road si gari imara vile na kama ni rough road basi engine isiwe vvti..iwe ni 1G kavuKuna bwana mmoja ananiambia Kuwa ile gari ni six ila ina 1980cc sasa ndo nataka kujua uhalisia uliopo kwenye ulaji wa mafuta kwa kuzingatia hivo vigezo