Mkuu kama hujaipata bado nicheki DMHabari wakuu,
Naomba ushauri Wa Mark 11 grande GX 110 wanja yenye engine ya 1G beams 2000 ulaji wa mafuta na pia kama mtu anayo ya 2004 namba D iliyo nyooka tuwasiliane
BeiMkuu kama hujaipata bado nicheki DM
9.5m negotiable
Hizo rim zake zinapatikana wapi kiongoziMachine hii hapa, leteni hela.View attachment 2868502
Kwanini imeitwa wanjaMark 11 grande GX 110 wanja
Cheki kwa jamaa wanaouza rims used, au nenda pale kwenye ofisi za Beforward unaweza agiza used toka Japan.Hizo rim zake zinapatikana wapi kiongozi
Asante sana kiongoziCheki kwa jamaa wanaouza rims used, au nenda pale kwenye ofisi za Beforward unaweza agiza used toka Japan.
Maana hizi wanazouza kama mpya za Kichina nyingi hazina viwango, ukigonga hata jiwe tu zinapinda.Asante sana kiongozi
Ni kweli nimeingia hasara sana na hizo za kichinaMaana hizi wanazouza kama mpya za Kichina nyingi hazina viwango, ukigonga hata jiwe tu zinapinda.
Yes, nyingi ni za hovyo sanaa. Next time ukitaka rims za ukweli usiwe na haraka, kama huna budget ya kuagiza basi tembelea wale jamaa wanaouza spare used haswa kule shaurimoyo wale wanaokatakata magari, huwa wanakuwa na used ambazo ni OG zimevuliwa toka kwenye magari mengine au pia wao wanaleta toka Dubai.Ni kweli nimeingia hasara sana na hizo za kichina
Asante sana Mkuu baraka kwakoYes, nyingi ni za hovyo sanaa. Next time ukitaka rims za ukweli usiwe na haraka, kama huna budget ya kuagiza basi tembelea wale jamaa wanaouza spare used haswa kule shaurimoyo wale wanaokatakata magari, huwa wanakuwa na used ambazo ni OG zimevuliwa toka kwenye magari mengine au pia wao wanaleta toka Dubai.