Kiti Chema
JF-Expert Member
- Oct 18, 2017
- 1,793
- 1,941
Kwa Zanziber sio! Kule kuna vitu vya bei rahisi sema tu mambo ya ushuru ndiyo yanabana sana kama vile sio nchi ya muungano bana.Niliuliza watu wawili watatu wanasema pc ni za ku order nakusubiri mzigo ukifika ndio ukachague..
Mzigo ukichukuliwa na kuwekwa dukani price yake inakuwa kubwa kusafirisha huku Dar kodi kubwa unaweza kupata faida