Ushauri: King'amuzi cha mrembo kimenitisha

Ushauri: King'amuzi cha mrembo kimenitisha

!
!
hiyo ngoma kwetu inaitwa kisantula,kuna ngoma huwa watu wanacheza halafu huwa kinavutwa hivi kwa juu. Yaani huko kama demu akiamua kukubania anaifunika tu papuchi na hicho kidude wewe unakuwa unaishia juu juu tu hahahahahahah nouma sana hiyo
 
hahahahhahh! yaani kiukweli JF na jamiif ni km PETE NA KIDOLE maana Napata raha sana humu kha! hahahahahahahaha!!!!!!!!!!!!!!!!mh!
 
Last edited by a moderator:
hayo ni maumbile normal.. Tena kitamu balaa hahahaha wengine wanachanganyikiwaga navyo mkuu! Lol lol
anyway ukimuacha atajisikia vibaya , ndoa ni zaidi ya pu*s*yy...


Umeongea ukweli mtupu Swts. Hata mimi hivo virefu navizimia sana...nikikiona huwa nahisi kuchanganyikiwa...ni kitamu sana. Namshangaa sana jamaa yangu yeye hakitaki. Ama kweli binadamau wote sio sawa--one man's meat is another person's poison. Kusema kweli kama ingewezeakana, ningeweza kufanya 'barter trade' na huyu mwenye mali.
 
Kwa nyege hao balaa. Hata ugonge VP fasta tu zinarudi. Hiyo antena kila saa inaguswa na Chupi inaamsha Hisia. Wana burudani sana na ni rahisi kuwaamshia Hisia kupitia hako kadude.

swadakta!!!!
 
Mpeleke kwa ngariba fasta akipunguze sasa kikisimama hicho si atakugeuza wewe ale kabang
 
hapa siji ku comment hadi iwekwe picha!!kila mtu na muono wake unaweza sema kikubwa kwa mwingine kikawa kidogo

mbona tayari usha-comment? kwani hapo umefanya nini?
 
nenda kaulizie kabila moja ipo katika kisiwa cha ukerewe wanaitwa wakerewe! utapata data za wanawake wa huko ambazo zitabadili maamuzi yako kuhusu huyo dada! bahati hiyo eti.
 
Hahaaa hivyo ni vile vinavyoweza kurecord vipindi, kugandisha picha na ku rewind. Ni ving'amuzi vinavyotafutwa sana mjini. Bahati mbaya ni adimu sana kupatikana na anayekipata kamwe hakiachii.

Hivyo kijana badala ya kusikitika ni vyema ungemshukuru mungu na jifunze kutumia hizo functionality nilizozitaja hapo juu. Ukitumia kwa kuangalia tu ststion kama vile uko na startimes utakywa hukitendei haki.
Well said ......Bravo bravo!! Njoo katalunya hapa Ugonge bia mbili mkuu...it is friday anyhow
 
dah! nawatafuta sana hao! Plz, plz, plz mkuu niunganishe in case of anything btn you! plz, plz,plz nifanyie huo mpango! Yaani nkimpata huyo na akiwa na tabia za uelekeo 3month haipiti natangaza ndoa asiee!
 
Umeongea ukweli mtupu Swts. Hata mimi hivo virefu navizimia sana...nikikiona huwa nahisi kuchanganyikiwa...ni kitamu sana. Namshangaa sana jamaa yangu yeye hakitaki. Ama kweli binadamau wote sio sawa--one man's meat is another person's poison. Kusema kweli kama ingewezeakana, ningeweza kufanya 'barter trade' na huyu mwenye mali.
Ww mkali, mkuu, nilidhan matatzo nmezoea vile vya kutafuta had kimejificha kidogo, sasa hk kipo nje kbsa
 
Naamini muwazima humu JF
Najitokeza kuomba ushauri.
Mimi ni kijana wa kiume miaka 28, kwa siku za hivi karibuni nilivutiwa na dada/mrembo nikamuomba kampani badae ili aje awe mke nimeenda kama miez 7/8 baada ya hapo IKABIDI nimuombe GAME/ TUVUNJE AMRI YA 6, kwakuwa tumedumu hiyo miez 7/8 akanikubalia.

SIKU YA TUKIO, baada ya kuja kwangu kama kawaida tukaanza kushikana hatimaye tukawa watupu, SASA KILICHONITISHA HADI NIOMBE USHAURI NI KUWA ILEKUANGALIA KING'AMUZI(CRITORISIS/KINEMBE) CHAKE KILINITISHA MAANA NI KIREFU SI KAWAIDA AKIKAA KINAONEKANA KIMEGUSA SHUKA.

Nilijitajid nikpiga mzigo ila PHYSCOLOGY SIPO SAWA HATA ILE NDOTO ya kuwa aje awe mke imeaanza kutoweka
naomba ushauri kama haya ni maumbile sahihi??, maana nilikopita huko sijaona.
ahsante kwa ushauri wenu!!!

Weka picha tafadhali
 
Nashindwa nikushaurije bestito
vijana wa siku hizi mmejaaa tamaa sana yani kwenu nyie
mnaona fahari ngono na sio mambo ya maana
sasa wewe kilichokupeleka kumtumikia mwenzio na
kushangaa umbile lake ndo nini unaona Mungu amekosea kumuumba\
hivyo au unaona Mungu aliweka mawe hapo badala mfano wake?

Kwanini vijana wa siku hizi mnapenda ngono zembe kiasi hicho?
kwani kutulia na kusubiri mpaka wakati wake ufike uliona ni dhambi?
au una ukengeufu wa kutumika bila kujijua wewe ni nani?
kwani ukisubiri mpaka NDOA unashindwa nini? Itabidi
tuweke muktadha hapa naona vijana mnatumika sana nyakati hizi
 
Back
Top Bottom