Mpeleke india mkuu.
Wewe ndugu yangu usiwe mvivu wa kufikiri---huyo ndiye mzuri wa kuoa na kuhondomola. Hiyo kitu yake inasaidia sana kumuweka sawa kunako 6 by 6. Si umeona jinsi anavyojituma? Muoe huyo huyo mkuu, usimuache.
Mademu wa arusha wengi wamekatwa hiyo kitu, maeneo hayo kwao ni bongw ya kovu chalii angu...! Kwahiyo kama haupendi hiyo kitu nenda arusha
Naamini muwazima humu JF
Najitokeza kuomba ushauri.
Mimi ni kijana wa kiume miaka 28, kwa siku za hivi karibuni nilivutiwa na dada/mrembo nikamuomba kampani badae ili aje awe mke nimeenda kama miez 7/8 baada ya hapo IKABIDI nimuombe GAME/ TUVUNJE AMRI YA 6, kwakuwa tumedumu hiyo miez 7/8 akanikubalia.
SIKU YA TUKIO, baada ya kuja kwangu kama kawaida tukaanza kushikana hatimaye tukawa watupu, SASA KILICHONITISHA HADI NIOMBE USHAURI NI KUWA ILEKUANGALIA KING'AMUZI(CRITORISIS/KINEMBE) CHAKE KILINITISHA MAANA NI KIREFU SI KAWAIDA AKIKAA KINAONEKANA KIMEGUSA SHUKA.
Nilijitajid nikpiga mzigo ila PHYSCOLOGY SIPO SAWA HATA ILE NDOTO ya kuwa aje awe mke imeaanza kutoweka
naomba ushauri kama haya ni maumbile sahihi??, maana nilikopita huko sijaona.
ahsante kwa ushauri wenu!!!
Naamini muwazima humu JF
Najitokeza kuomba ushauri.
Mimi ni kijana wa kiume miaka 28, kwa siku za hivi karibuni nilivutiwa na dada/mrembo nikamuomba kampani badae ili aje awe mke nimeenda kama miez 7/8 baada ya hapo IKABIDI nimuombe GAME/ TUVUNJE AMRI YA 6, kwakuwa tumedumu hiyo miez 7/8 akanikubalia.
SIKU YA TUKIO, baada ya kuja kwangu kama kawaida tukaanza kushikana hatimaye tukawa watupu, SASA KILICHONITISHA HADI NIOMBE USHAURI NI KUWA ILEKUANGALIA KING'AMUZI(CRITORISIS/KINEMBE) CHAKE KILINITISHA MAANA NI KIREFU SI KAWAIDA AKIKAA KINAONEKANA KIMEGUSA SHUKA.
Nilijitajid nikpiga mzigo ila PHYSCOLOGY SIPO SAWA HATA ILE NDOTO ya kuwa aje awe mke imeaanza kutoweka
naomba ushauri kama haya ni maumbile sahihi??, maana nilikopita huko sijaona.
ahsante kwa ushauri wenu!!!
Hahaha watu wanavitafuta hvo virefu ww unaogopa kwel kwenye miti hakuna wajenz nimeamin
Haaahaaa, ucniambie mm nmezoea vile vilivojificha ndan kdogo sasa hiki kinaonekana had nje kama 1nch, duh kimenitisha kumbe ndo dhahabu
Wengine huwa wanavivuta,kwahiyo vinaongezeka urefu.
au alitumia dawa za waganga wa kienyeji wakakosea wakampa za kuongeza ukubwa wa uume ndo kikatokeza?
hahaha you made my night
Mademu wa arusha wengi wamekatwa hiyo kitu, maeneo hayo kwao ni bongw ya kovu chalii angu...! Kwahiyo kama haupendi hiyo kitu nenda arusha
hili ni jipya kabisa ndo nasikia,FGM inaaply sana Arusha!mmhh labda
Haaahaaa, ucniambie mm nmezoea vile vilivojificha ndan kdogo sasa hiki kinaonekana had nje kama 1nch, duh kimenitisha kumbe ndo dhahabu
ingekuwa kuna uwezekanao wa kubadilishana ningempa huyu wa kwangu anipe wa kwake--ndiye angemfaa (kwa vigezo anavyotaka).