Ushauri: King'amuzi cha mrembo kimenitisha

Ushauri: King'amuzi cha mrembo kimenitisha

shika adabu yako wewe, arusha kuna quality products

Sio arusha ni hapo karatu mbulu hydom, kifupi ni hao wenzetu wa kimbulu. Hiyo kitu ni marufuku kuwa nayo. Yaani wanaweka mbali na watoto.
 
itabidi nitafuta mngoni ati
Atakua mngoni tu usishangae ni mila za watu izo wanavutwa wakiwa wadogo ili kumfanya apate raha during sex ni kitu cha kawaida kwa wanawake wa kingoni.
 
kwi kwi kwi sungura1980 mbona kuna wengine hadi zimepinda!!!!!!!!!!!! basi tu sie wenzenu tuna vifua vya kuhifadhi mambo. tukiweka picha hapa hamchelewi kusema wanawake watu wabaya sana. kwani mna jema nyie

Uwiiiiiii,basi basi yaishie hapa!Kumbe ndo maana Tangopori kwa mara ya kwanza amesema picha isiwekwe!Sipati picha DEMBA ukija na utafiti wako na kumwaga hapa ushahidi wanaume tutakimbia humu!
 
Last edited by a moderator:
kila mtu ameumbwa kivyake mkuu,after all ndoa sio migegedo pekee,jiulize umeumia kutokana na umbile lake hilo?ulimpendea nini?ana sifa zifaazo kuwa mke ndani ya nyumba na kujenga familia?na kama ulimpenda kikweli ukiwa na ndoto za kujenga familia pamoja naye hapo baadaye na si kwa ajili ya tamaa zako tu za kimwili nadhani hiyo si sababu ya kumwacha mtarajiwa wako,huenda hata wewe una mapungufu mwilini mwako uliyoumbiwa nayo na sidhani kama utafurahi kuachwa na mtu umpendaye kwa ajili ya kasoro hzio so think twice mkuu.

Kiukweli akimwacha kwa sababu hiyo mbona ana kazi? kwa sababu kila binadamu ana kasoro yake na nyingine hutokea hata wakati safari ya ndoa iko katikati huko(hujafa hujaumbika-means we still change as long as we live). Seriously mtu anaachwa?
 
ungesubiri hadi uoe ndo ufanye mapenzi, usiengeona tofauti yake na wengine maana usingekuwa na wakumlinganisha nae. USIZINI. Muombe Mungu akupe mke mwema anayeendana nawe kitabia na kimaumbile.
Mh! Mke anaendanaje na wewe kimaumbile ss?
 
ila weka picha mkuu..... tusija kulazimisha ni normal kumbe ni abnormal io>
tukiona picha ndio tutajua ukubwa wa tatizo.
weka picha.
Nakuhakikishia si waafrika tu. Ila unashadidia picha sasa mtoto akililia wembe mpe. Bofya
 
Atakuwa Mkerewe huyo.
Maana antenna za watoto wa kike wa Kule Nansio, uanzwa kuvutwa wangali wadogo ili baadaye wakikua wapate perfect satisfaction.
 
Wewe toka uzaliwe hadi mwezi huu 2013 DEC umeshuhudia ving'amuzi vingapi hadi ujue hiki antenna yake ndefu kuliko ya vile vya startimes/ Continental? Ila nisikubishie sana inawezekana channel zake zilikuwa hazishiki huko nyuma(zamani) akapeleka china/sangoma. Afu hawa mademu wenye kasoro kama vile magogo (kukatika hawajui eg. wachaga), mabwawa, Antena ndefu, kunuka mwisho wa game, etc huwa wanamasharti kumpata ili uingie KING uoe bila kutest mzigo, then mkaachane mbele kwa mbele, au uvumilie hivyo hivyo. Nadhani leo umejua faida za shake well b4 use. Ebu piga picha akiinama ile game ya Oldtraford mchana kweupeee!!!
 
Naamini muwazima humu JF
Najitokeza kuomba ushauri.
Mimi ni kijana wa kiume miaka 28, kwa siku za hivi karibuni nilivutiwa na dada/mrembo nikamuomba kampani badae ili aje awe mke nimeenda kama miez 7/8 baada ya hapo IKABIDI nimuombe GAME/ TUVUNJE AMRI YA 6, kwakuwa tumedumu hiyo miez 7/8 akanikubalia.

SIKU YA TUKIO, baada ya kuja kwangu kama kawaida tukaanza kushikana hatimaye tukawa watupu, SASA KILICHONITISHA HADI NIOMBE USHAURI NI KUWA ILEKUANGALIA KING'AMUZI(CRITORISIS/KINEMBE) CHAKE KILINITISHA MAANA NI KIREFU SI KAWAIDA AKIKAA KINAONEKANA KIMEGUSA SHUKA.

Nilijitajid nikpiga mzigo ila PHYSCOLOGY SIPO SAWA HATA ILE NDOTO ya kuwa aje awe mke imeaanza kutoweka
naomba ushauri kama haya ni maumbile sahihi??, maana nilikopita huko sijaona.
ahsante kwa ushauri wenu!!!
Hiv wewe ni mvulana au mwanaume? Umeishia darasa la ngapi? Mimi sitegemei m2 na akili zake timamu anakuja hapa kuanika mapungufu ya mke mtarajiwa. Wewe akili yako imekaa kipapuchi kwa sababu unasema eti "maana nilikopita huko sijaona" Tumia akili na uache kuwa kama m2 aliyepoteza mwelekeo. Mheshimmu mwezio na wewe utaheshimiwa. Acha kuyumbayumba na kama kama unamuuoa ili ukale hicho king'amuzi imekula kwako. Mke ni zaidi ya papuchi. Acha ushamba na ujali utu.
 
Naamini muwazima humu JF
Najitokeza kuomba ushauri.
Mimi ni kijana wa kiume miaka 28, kwa siku za hivi karibuni nilivutiwa na dada/mrembo nikamuomba kampani badae ili aje awe mke nimeenda kama miez 7/8 baada ya hapo IKABIDI nimuombe GAME/ TUVUNJE AMRI YA 6, kwakuwa tumedumu hiyo miez 7/8 akanikubalia.

SIKU YA TUKIO, baada ya kuja kwangu kama kawaida tukaanza kushikana hatimaye tukawa watupu, SASA KILICHONITISHA HADI NIOMBE USHAURI NI KUWA ILEKUANGALIA KING'AMUZI(CRITORISIS/KINEMBE) CHAKE KILINITISHA MAANA NI KIREFU SI KAWAIDA AKIKAA KINAONEKANA KIMEGUSA SHUKA.

Nilijitajid nikpiga mzigo ila PHYSCOLOGY SIPO SAWA HATA ILE NDOTO ya kuwa aje awe mke imeaanza kutoweka
naomba ushauri kama haya ni maumbile sahihi??, maana nilikopita huko sijaona.
ahsante kwa ushauri wenu!!!

Aisee mambo ya chumban hua hatuyaongei ovyo ,ok utakua experience zero. Anyway hao hua safi ukienda maeneo ya Bukoba, Uganda na Rwanda asilimia kubwa wapo hiv....mi nawapendaga saaaaana.
 
Back
Top Bottom