Ushauri: JKT kwa Mujibu wa sheria ifutwe, badala yake vijana wapelekwe VETA miezi 3 au 6

Bonde la Baraka

JF-Expert Member
Sep 22, 2016
4,580
7,938
Habari zenu wanajukwaa?

Ngoja nijikite kwenye lengo la uzi. Naishauri Serikali sasa wabadili mwelekeo katika kuelekea Serikali ya viwanda.

Vijana wanaomaliza kidato cha sita wapelekwe VETA kwa miezi 3 ili wakapate mafunzo ya awali (basic) ya ufundi mbalimbali.

Kwa kufanya hivi itasaidia kuwaandaa vijana wenye ujuzi mbalimbali mitaani. Kuna kozi nyingi tu ambazo kijana akizipata kwa miezi 3 anaweza kuamka na kujiajiri au hata kuajirika as general helper au fundi mwanafunzi.

Binafsi nimepitia JKT Mujibu wa sheria Ruvu na nilibahatika kupata ajira kupitia gamba la JKT ila wenzangu wengi wamemaliza digrii na hawana kazi mitaani.

Serikali inatumia kiasi kikubwa sana kumrecruit kijana mmoja wa jkt kwa miezi 3 au 6. Ile fedha ingetosha kumlipia ada VETA na akimaliza miezi 3 akapewa kamtaji.

Viongozi natumaini mtalitendea kazi suala hili.
 
Habari zenu wanajukwaa?

Ngoja nijikite kwenye lengo la uzi. Naishauri serikali sasa wabadili mwelekeo katika kuelekea serikali ya viwanda.
Vijana wanaomaliza kidato cha sita wapelekwe VETA kwa miezi 3 ili wakapate mafunzo ya awali (basic) ya ufundi mbalimbali.

Kwa kufanya hivi itasaidia kuwaandaa vijana wenye ujuzi mbalimbali mitaani. Kuna kozi nyingi tu ambazo kijana akizipata kwa miezi 3 anaweza kuamka na kujiajiri au hata kuajirika as general helper au fundi mwanafunzi.

Binafsi nimepitia JKT Mujibu wa sheria Ruvu na nilibahatika kupata ajira kupitia gamba la JKT ila wenzangu wengi wamemaliza digrii na hawana kazi mitaani.

Serikali inatumia kiasi kikubwa sana kumrecruit kijana mmoja wa jkt kwa miezi 3 au 6. Ile fedha ingetosha kumlipia ada VETA na akimaliza miezi 3 akapewa kamtaji.

Viongozi natumaini mtalitendea kazi suala hili.
Niwazo zuri lakini ufundi Ni utashi wa mtu
 
Ni wazo zuri sana. Ila utejkerezaj ndo hakuna, yaan nimekuja kugundua Tanzania haina sera za mda mrefu kuanzia miaka 20 na kuendelea. Mfano mdogo huyu aliyepo anahangaika kuosha jina lake tu na anapania amalize bas ila hajui aandae vip au atengeneze sera inayoweza kusaidia baada ya miaka 10...20 mbele. Mfano kama selikari ina idadi kubwa ya wafanyakaz kias kwamba hawaajiriki hasa kwenye sekta za nesi na ualimu yanii waendelee kudaili kwa kas namna hii kwann wasibadili sera na wakawaelekeza kwenye kipaumbele kingine. Kila niwazapo Tanzania yangu machoz hunitoka.
 
Kjt tulilima kwa jembe la mkono ambalo hata kabla ya kwenda huko jkt tulikua tunajua kuyatumia hasa wale tuliosoma shule za serikali msingi hadi kidato haya majembe tunayajua sana, makwanja sijui kotama yote tunayajua. Juzi nimepewa trekta nitest kulima aseee limenishinda nikakumbuka kule jkt kuna matrekta lakin wadereva walikua wanajeshi wenyewe hata wale wa kujitolea sijui service men walikua hawapewi kuendesha matrekta.

Malori na magari mengine kule yapo sana tu lakini wote tulioenda tukiwa hatujui kuendesha magari tulirudi na ujinga wetu hivyohivyo.

Kuna makuku kule yapo manguruwe na mang,mbe kibao lakini hatukufundishwa la maana kuhusu ufugaji badala yake tukawa wasafisha mabanda ya mifugo hiyo!!!

Nimekaa jkt miezi 3 lakini bunduki niliigusa kwa mda wa dakika zisizozidi 15!!!

Uzalendo niliofundishwa siukumbuki maana muda wote ni mchakamchaka kule.

Mtoa maada wazo lako walicheki asee
 
Kwa maoni yako hujakosea lakini hakuna nchi duniani ambayo inampeleka kijana wake kwenye kujitolea bure bure bila kuwa mtizamo wa mbeleni. Kuhusu kupelekwa veta si kila mtu akili yake ina mwamko wa ufundi.
 
Kjt tulilima kwa jembe la mkono ambalo hata kabla ya kwenda huko jkt tulikua tunajua kuyatumia hasa wale tuliosoma shule za serikali msingi hadi kidato haya majembe tunayajua sana, makwanja sijui kotama yote tunayajua. Juzi nimepewa trekta nitest kulima aseee limenishinda nikakumbuka kule jkt kuna matrekta lakin wadereva walikua wanajeshi wenyewe hata wale wa kujitolea sijui service men walikua hawapewi kuendesha matrekta.

Malori na magari mengine kule yapo sana tu lakini wote tulioenda tukiwa hatujui kuendesha magari tulirudi na ujinga wetu hivyohivyo.

Kuna makuku kule yapo manguruwe na mang,mbe kibao lakini hatukufundishwa la maana kuhusu ufugaji badala yake tukawa wasafisha mabanda ya mifugo hiyo!!!

Nimekaa jkt miezi 3 lakini bunduki niliigusa kwa mda wa dakika zisizozidi 15!!!

Uzalendo niliofundishwa siukumbuki maana muda wote ni mchakamchaka kule.

Mtoa maada wazo lako walicheki asee
Mbona waliwabania sana kwenye mambo ya silaha hususani bunduki?
Sisi tulizichezea sana guns mpaka kero ingawa hazina faida kwa mtu ambaye hafanyi kazi inayompasa kushika bunduki.
 
B
Habari zenu wanajukwaa?

Ngoja nijikite kwenye lengo la uzi. Naishauri serikali sasa wabadili mwelekeo katika kuelekea serikali ya viwanda.
Vijana wanaomaliza kidato cha sita wapelekwe VETA kwa miezi 3 ili wakapate mafunzo ya awali (basic) ya ufundi mbalimbali.

Kwa kufanya hivi itasaidia kuwaandaa vijana wenye ujuzi mbalimbali mitaani. Kuna kozi nyingi tu ambazo kijana akizipata kwa miezi 3 anaweza kuamka na kujiajiri au hata kuajirika as general helper au fundi mwanafunzi.

Binafsi nimepitia JKT Mujibu wa sheria Ruvu na nilibahatika kupata ajira kupitia gamba la JKT ila wenzangu wengi wamemaliza digrii na hawana kazi mitaani.

Serikali inatumia kiasi kikubwa sana kumrecruit kijana mmoja wa jkt kwa miezi 3 au 6. Ile fedha ingetosha kumlipia ada VETA na akimaliza miezi 3 akapewa kamtaji.

Viongozi natumaini mtalitendea kazi suala hili.
Brilliant idea.
 
Back
Top Bottom