Ushauri : Display ya samsung A7-2015

Ushauri : Display ya samsung A7-2015

kamasultra

Member
Joined
Mar 10, 2018
Posts
44
Reaction score
35
Wasalaam , kuna hii simu yangu tajwa hapo juu ilianguka na kufa display nimekiweka tu ndani kwa mda sasa. Nataka kuifufua nimejaribu kupita kkoo bei nimetajiwa 280k mpaka 300k hapo ikijumuisha na ufundi. kwa maoni yangu nimeona ni risk kuitengeneza kwa gharama hio na isirudi kama awali. naomba ushauri /msaada.

1. Je gharama hizo ni sahihi au walitaka kunilamba

2.Je naweza pata display used kwa bei rafiki?

3. Je nikiitengeneza itarudi vizuri kama mwanzo au niachane na wazo hili

Nawasilisha
 
hailipi mkuu, hio bei ukiongeza kidogo si unapata a7 nyengine? na pia kibongo bongo unaweza ukaekewa touch ukigusa inakuwa haina accuracy compare na original.

labda uskilizie hio used, tembelea kwa mafundi
 
Wasalaam , kuna hii simu yangu tajwa hapo juu ilianguka na kufa display nimekiweka tu ndani kwa mda sasa .Nataka kuifufua nimejaribu kupita kkoo bei nimetajiwa 280k mpaka 300k hapo ikijumuisha na ufundi . kwa maoni yangu nimeona ni risk kuitengeneza kwa gharama hio na isirudi kama awali . naomba ushauri /msaada.
1. Je gharama hizo ni sahihi au walitaka kunilamba
2.Je naweza pata display used kwa bei rafiki?
3. Je nikiitengeneza itarudi vizuri kama mwanzo au niachane na wazo hili

Nawasilisha
Mkuu hebu nipe comment ya hio simu nataka me mwenyewe nikaichukue hyo A-5 ya 2017 vipi ni nzuri kweli mkuu?
 
hailipi mkuu, hio bei ukiongeza kidogo si unapata a7 nyengine? na pia kibongo bongo unaweza ukaekewa touch ukigusa inakuwa haina accuracy compare na original.

labda uskilizie hio used, tembelea kwa mafundi
Nashukuru boss
 
Mkuu hebu nipe comment ya hio simu nataka me mwenyewe nikaichukue hyo A-5 ya 2017 vipi ni nzuri kweli mkuu?
Inategemea na budget yako ikoje ila simu iko poa sana . kama vyuma havijakaza sana chukua a7 2017 iko vizuri zaidi
 
Mkuu hebu nipe comment ya hio simu nataka me mwenyewe nikaichukue hyo A-5 ya 2017 vipi ni nzuri kweli mkuu?
hizi A series za 2017 zimetulia sana mkuu, kama alivyosema mdau hapo juu tatizo ni bei, zinauzwa ghali sana.

kama unaipata kwa bei nzuri ichukue.
 
hizi A series za 2017 zimetulia sana mkuu, kama alivyosema mdau hapo juu tatizo ni bei, zinauzwa ghali sana.

kama unaipata kwa bei nzuri ichukue.
Sawa Mkuu ngoja nijichange nazikubali sana Samsung hasa hizi A series maana nataka zenye Fm radio na uwezo wa kurecord
 
Back
Top Bottom