Mgongo wa paka
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 485
- 36
Acha ujinga wewe, kma tz inao wachumi km lipumba, nchemba na wengineo tz isingekuwa maskin namna hii. Nchi ni ya tatu kwa umsiki dunian, halafu we mkigoma unaandika ujinga kuwa mna wachumi, wemesaidia nini tz?. Umaskin unazidi kuongezeka halafu unaandika ulimbwende humu. Acha hizo.
jamaa umechoka kweli unaweza kuongea juu ya lipumba ongea kwa mchemba lipumba hajakaa kwenye system alikuwa mshauri tuu. Watu kama profesa hawathaminiwi hapa tz wanathamani ulaya