Ushauri: Chadema jaribuni kumtumia Prof Lipumba kutengeneza Bajeti Mbadala.

mkigoma

JF-Expert Member
Jul 26, 2011
1,180
309
kutokana na aibu iliyotufika kambi ya upinzani katika kikao cha bajeti kilichomalizika jana, kwa kutengeneza bajeti mbovu na isiyoeleweka, mpaka wabunge wa CCM kuifananisha na bajeti ya Harusi, hii inaonesha kuwa kambi ya upinzani bado hatujajipanga kuongoza serikali na ilhali kambi ya upinzani tunao wachumi wazuri mf. Prof Lipumba kulikuwa na ugumu gani kumshirikisha katika kuandaa Bajeti mbadala? au ndio ubinafsi ule ule unaofanywa na ccm dhidi ya kutowashirikisha wapinzani, Prof kahigi kalisema hili wakati akichangia, serikali inaona ugumu gani kumtumia Prof Lipumba? na upinzani nasi tunafanya yale yale, je? kwa hali hii watanzani tutapata Maendeleo?
 
Kama CCM mnamuona Prof Lipumba ana mchango wa maana kwanini hamkumtumia kuandaa bajeti yenu? Imelazimu rais Kikwete kupiga kambi Dodoma ili bajeti ipite kwa sababu ni bajeti mbovu. Kwa miaka miwili mfululizo mmeandaa bajeti inayopingana na mpango wenu wa maandaleo kwa miaka 5. Sasa kuna bajeti 2 tu zimebaki kufikia 2015. (Sihesabu bajeti ya mwaka 2015 kwa sababu haitasaidia kitu). CCM wamejifunga goli wenyewe.
 
Kama CCM mnamuona Prof Lipumba ana mchango wa maana kwanini hamkumtumia kuandaa bajeti yenu? Imelazimu rais Kikwete kupiga kambi Dodoma ili bajeti ipite kwa sababu ni bajeti mbovu. Kwa miaka miwili mfululizo mmeandaa bajeti inayopingana na mpango wenu wa maandaleo kwa miaka 5. Sasa kuna bajeti 2 tu zimebaki kufikia 2015. (Sihesabu bajeti ya mwaka 2015 kwa sababu haitasaidia kitu). CCM wamejifunga goli wenyewe.

FJM

Kwa hiyo Prof Lipumba hawezi kutoa msaada wowote kwa Chadema? Wakati mwingine ukiangalia unaona hakuna tofauti kati ya Chadema na CCM wote wamejaa ubinafsi, uwezi kumtumia Lema au Sugu kwenye kuandaa bajeti ukamuacha Prof Lipumba.
 
Last edited by a moderator:
kutokana na aibu iliyotufika kambi ya upinzani katika kikao cha bajeti kilichomalizika jana, kwa kutengeneza bajeti mbovu na isiyoeleweka, mpaka wabunge wa CCM kuifananisha na bajeti ya Harusi, hii inaonesha kuwa kambi ya upinzani bado hatujajipanga kuongoza serikali na ilhali kambi ya upinzani tunao wachumi wazuri mf. Prof Lipumba kulikuwa na ugumu gani kumshirikisha katika kuandaa Bajeti mbadala? au ndio ubinafsi ule ule unaofanywa na ccm dhidi ya kutowashirikisha wapinzani, Prof kahigi kalisema hili wakati akichangia, serikali inaona ugumu gani kumtumia Prof Lipumba? na upinzani nasi tunafanya yale yale, je? kwa hali hii watanzani tutapata Maendeleo?

ZITTO KABWE akichukua kitu kama ni Chake haambiliki anakifanya ni cha faida yake

sifa iwe yake sio ya CHAMA CHAKE NI YEYE... MTU kama yeye ni wa kumuogopa sana;

akitawala Nchi ataishia kuwa Dikteta sababu anapenda Sifa zimuangukie yeye

kuliko ya Wote wanaofanya kazi na yeye...
 
ZITTO KABWE akichukua kitu kama ni Chake haambiliki anakifanya ni cha faida yake

sifa iwe yake sio ya CHAMA CHAKE NI YEYE... MTU kama yeye ni wa kumuogopa sana;

akitawala Nchi ataishia kuwa Dikteta sababu anapenda Sifa zimuangukie yeye

kuliko ya Wote wanaofanya kazi na yeye...

Duh.....Nimecheka vibaya. Hapa siwezi kutoa comment nisije nikaonekana nina hila bure!
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Acha ujinga wewe, kma tz inao wachumi km lipumba, nchemba na wengineo tz isingekuwa maskin namna hii. Nchi ni ya tatu kwa umsiki dunian, halafu we mkigoma unaandika ujinga kuwa mna wachumi, wemesaidia nini tz?. Umaskin unazidi kuongezeka halafu unaandika ulimbwende humu. Acha hizo.
 
ZITTO KABWE akichukua kitu kama ni Chake haambiliki anakifanya ni cha faida yake

sifa iwe yake sio ya CHAMA CHAKE NI YEYE... MTU kama yeye ni wa kumuogopa sana;

akitawala Nchi ataishia kuwa Dikteta sababu anapenda Sifa zimuangukie yeye

kuliko ya Wote wanaofanya kazi na yeye...
Siyo ubinafsi tu mkuu, tatizo langu pia liko kwenye zile "A" za Finance wanazodai walizipata pale UDSM, huenda sasa zimezeeka.
 
Duh! sikuaua Prof. Lipumba ana reputation mbaya kwa baadhi ya watu, nilijua Lipumba anakubalika kote bana kumbe sio.
 
ZITTO KABWE akichukua kitu kama ni Chake haambiliki anakifanya ni cha faida yake

sifa iwe yake sio ya CHAMA CHAKE NI YEYE... MTU kama yeye ni wa kumuogopa sana;

akitawala Nchi ataishia kuwa Dikteta sababu anapenda Sifa zimuangukie yeye

kuliko ya Wote wanaofanya kazi na yeye...

point of collection.

Kama chadema walimwacha Zitto pekee aandae maoni ya upinzani hali ya kuwa wanajua naye ni binadam, sishangai kuona makosa yaliyojitokeza. Ila tuwaze kama walimwacha afanye hivyo angeunga mkono 100% ingekuaje?
Tunaotoa mada tutofautishe maoni ya upinzani juu ya bajeti na bajeti kamili kwani hata wat so called bajeti ya upinzani ingekuwa nzuri namna gani isingetumika badala ya ya serikali. Je, zile nzuri za cuf 2005-2010 waliwahi kuzisema nzuri wazitumie?
 
utapata tu unalotafuta, ukumbi huu!!!!!

kutokana na aibu iliyotufika kambi ya upinzani katika kikao cha bajeti kilichomalizika jana, kwa kutengeneza bajeti mbovu na isiyoeleweka, mpaka wabunge wa CCM kuifananisha na bajeti ya Harusi, hii inaonesha kuwa kambi ya upinzani bado hatujajipanga kuongoza serikali na ilhali kambi ya upinzani tunao wachumi wazuri mf. Prof Lipumba kulikuwa na ugumu gani kumshirikisha katika kuandaa Bajeti mbadala? au ndio ubinafsi ule ule unaofanywa na ccm dhidi ya kutowashirikisha wapinzani, Prof kahigi kalisema hili wakati akichangia, serikali inaona ugumu gani kumtumia Prof Lipumba? na upinzani nasi tunafanya yale yale, je? kwa hali hii watanzani tutapata Maendeleo?
 
Siyo ubinafsi tu mkuu, tatizo langu pia liko kwenye zile "A" za Finance wanazodai walizipata pale UDSM, huenda sasa zimezeeka.

Kuwa na A sio majibu ya kuandika BAJETI YA SERIKALI; Inahitaji Ushirikiano wa Wanauchumi kwenye Nyanja Mbalimbali

Na Pia Unajua kuwa na Akili za Darasani sio lazima zikuweke Mbele katika Mapigano katika Maisha? Unaona Ukiwa

Shule Mwenye Akili Mara nyingi huwa ni watu wanaojitenga; lakini, kwa BAJETI inahitaji Ushirikiano wa taaluma kufanya

Bajeti kuwa BORA na Nzuri na hapo yeye hana... ni umimi tu...
 
nimeleta hoja tuchangie kwa kuwa ikiwa bajeti ya upinzani ingekuwa ni kishawishi tosha kwa wanainchi kuzidi kuamini wapinzani wana uwezo, Prof Lipumba hii ni taaluma yake na ameishazishauri hata nchi za ulaya, mf. sweden, Denmark na Finland na Dunia, mtu kama ana uwezo apewe sifa zake na apewe kazi azifanye, tuache ubinafsi, na huu ubinafsi ndio unaofanya Taifa hili lisisonge mbele.
 
point of collection.

Kama chadema walimwacha Zitto pekee aandae maoni ya upinzani hali ya kuwa wanajua naye ni binadam, sishangai kuona makosa yaliyojitokeza. Ila tuwaze kama walimwacha afanye hivyo angeunga mkono 100% ingekuaje?
Tunaotoa mada tutofautishe maoni ya upinzani juu ya bajeti na bajeti kamili kwani hata wat so called bajeti ya upinzani ingekuwa nzuri namna gani isingetumika badala ya ya serikali. Je, zile nzuri za cuf 2005-2010 waliwahi kuzisema nzuri wazitumie?
Point of collection ndio point of correction? Pambaf
 
nimeleta hoja tuchangie kwa kuwa ikiwa bajeti ya upinzani ingekuwa ni kishawishi tosha kwa wanainchi kuzidi kuamini wapinzani wana uwezo, Prof Lipumba hii ni taaluma yake na ameishazishauri hata nchi za ulaya, mf. sweden, Denmark na Finland na Dunia, mtu kama ana uwezo apewe sifa zake na apewe kazi azifanye, tuache ubinafsi, na huu ubinafsi ndio unaofanya Taifa hili lisisonge mbele.
Hajawahi kushauri nchi yeyote ya ulaya zaidi ya Uganda na Tanzania kipindi cha Mwinyi
 
kutokana na aibu iliyotufika kambi ya upinzani katika kikao cha bajeti kilichomalizika jana, kwa kutengeneza bajeti mbovu na isiyoeleweka, mpaka wabunge wa CCM kuifananisha na bajeti ya Harusi, hii inaonesha kuwa kambi ya upinzani bado hatujajipanga kuongoza serikali na ilhali kambi ya upinzani tunao wachumi wazuri mf. Prof Lipumba kulikuwa na ugumu gani kumshirikisha katika kuandaa Bajeti mbadala? au ndio ubinafsi ule ule unaofanywa na ccm dhidi ya kutowashirikisha wapinzani, Prof kahigi kalisema hili wakati akichangia, serikali inaona ugumu gani kumtumia Prof Lipumba? na upinzani nasi tunafanya yale yale, je? kwa hali hii watanzani tutapata Maendeleo?

Watu wengine akili kama ya panzi. Ulishaambiwa hakuna kitu kinachoitwa BAJETI MBADALA. Kilichopo ni maoni kuihusu bajeti ya serikali. Wabunge, wasomi, wananchi, vyama vya siasa n.k wanaweza kutoa maoni yao na mapendekezo. CUF pia wanaweza kutoa maoni yao. Kama ameshindwa kukiandalia chama chake atawezaje kuwaandalia wengine?
 
nimeleta hoja tuchangie kwa kuwa ikiwa bajeti ya upinzani ingekuwa ni kishawishi tosha kwa wanainchi kuzidi kuamini wapinzani wana uwezo, Prof Lipumba hii ni taaluma yake na ameishazishauri hata nchi za ulaya, mf. sweden, Denmark na Finland na Dunia, mtu kama ana uwezo apewe sifa zake na apewe kazi azifanye, tuache ubinafsi, na huu ubinafsi ndio unaofanya Taifa hili lisisonge mbele.

kama hawaamini unayowambia hata hatakuona hamuoni,mimi nazani wana jf tusiwe mahollow head ni vikao vingapi vinavyohusu world economy anavyokwenda lipumba duniani.kama unabisha jaalia lipumba hajawah kutoka nje ya nchi vp hapo uganda amekwenda kupafom usanii ama economic planning.jee nikweli sugu na mdee wameshirikishwa ktk budget na kuachwa lipumba?na kama ndo hvyo where tz go
 
Back
Top Bottom