Mke wakeNi Nani apo anaetaka ushauri,
Mwenye nyumba nyeupe au uyo aliejenga ukuta?
Mke wakeNi Nani apo anaetaka ushauri,
Mwenye nyumba nyeupe au uyo aliejenga ukuta?
Ingekua ni Mimi, nadhani ningeacha walau mita mbili kutoka kwenye ukuta wa nyumba ya huyo jirani mkorofi na kisha ningeweka ukuta.
Mkuu, ubaya hua haulipwi kwa ubaya. Na kosa huwa halifutwi kwa kutenda kosa tena.
😂😂😂😂😂Huyo mwenye nyumba nyeupe ndo mtata, ila atajifanya kaonewa[emoji28]
Mkuu ulishawahi kukaa karibu na mashine ya kusaga!!?Au ajenge bar na guest house
Hizi hua ni tabia za baadhi ya makabila nasikia wanalazimisha kuuziwa maeneo utake usitake unauza sasa wakat mwingine hukutana na wabishiHuyo mwenye nyeupe ni mkorofi maana alijua akijenga mpakani atamlazimisha jirani yake amuuzie
Mkuu omba yasisikukuteKama hiii nilisha ishuhudia sehem moja hatari sana
Mkuu, ebu achana na maisha ya "eti nasikia walisema"Wengine ukiwafanyia ustaarabu wanajisifu kuwa huwawezi,dawa ni hio tu!.
Mkuu, ebu achana na maisha ya "eti nasikia walisema"
Hongera sana mkuu...Ndugu, nimejaaliwa kujenga Dar, pia nina maeneo mikoa tofauti hapa tz, hasa ukanda wa pwani. Ni mhanga wa migogoro ya viwanja sio kwa kusimiliwa!. Moro Makunganya nilibahatika kununua 3/4 ya heka 2006. Now nimebak na 1/4!. So andiko langu halina "eti"
Sawa mkuu...Wengine ukiwafanyia ustaarabu wanajisifu kuwa huwawezi,dawa ni hio tu!.
Hongera sana mkuu...
Ebu ngoja tukae pembeni sisi ambao hatuja barikiwa kujua bei ya matofali na viwanja....[emoji4][emoji4]
Ohhhh....Allah akufanyie wepesi inshaallah. Tupo hapa kupeana uzoefu wa maisha kupitia visa tulivyokutana navyo, kupitia sie huenda wengine wakanufaika. "Africa humchagui jirani" omba Mungu umpate jirani mwenye hofu ya Mungu la sivyo waweza kuliuza eneo lako ukahama![emoji1787][emoji1787]
Msingi upo sema macho yako tuMbona hiyo fence haina msingi?
Huoni nguzo za support?Kwanini amejenga ukuta mrefu zaidi ya 2m namna hiyo bila kufunga beam?
Tupe kisa mkuu, ilikuwaje?Zamani nilisema nikiwa na kwangu basi nimemaliza ,ila changamoto za huyo jirani ,nilijikuta nachelewa kuhamia kwangu mpaka nilivyojenga fensi maana kila siku itakuwa vidole machoni