Ushauri: Ana mgogoro wa muda mrefu na jirani yake

Ushauri: Ana mgogoro wa muda mrefu na jirani yake

Ni hatar sana
Jamaayako ni mpuuzi na anaakili za kitoto kabisa.
Yaani jamaa yako amesahau kwamba huyo jirani ndio wataishi nae hapi kwa miaka mingi na watoto wao watacheza pamoja..
 
Ingekua ni Mimi, nadhani ningeacha walau mita mbili kutoka kwenye ukuta wa nyumba ya huyo jirani mkorofi na kisha ningeweka ukuta.
Mkuu, ubaya hua haulipwi kwa ubaya. Na kosa huwa halifutwi kwa kutenda kosa tena.
Umesema kweli ila sio wakati wote muda mwingine ili heshima iwepo unatakiwa kufanya ubaya zaidi.
 
Mkuu mimi naona yuko sahihi kuna Mabila ukipakana nao unaweza juta kununua sehemu ukasema bora upange dawa yao ni hiyo hakuna nyingine ...
Kuna wahaya hawa wakorofi sana ukipakana nao na bila kujenga fensi kila siku itakuwa mizozo na kupelekana serikali za mitaa ama mahakamani
Haha unanikumbusha jamaa flani mjaluo , tabu tupu.
 
Habari wana jamvi, jamaa amekua na mvutano wa muda mrefu na jiran yake juu ya mipaka yao ya viwanja. Kutokana na mvutano huo jamaa kaamua kujenga fensi mwisho wa kiwanja chake. Je ni sahihi kwa maamuzi haya kama inavyoonekana katika picha hizi?View attachment 1510186View attachment 1510187View attachment 1510188View attachment 1510189
Huyu aliyejenga nyumba MPAKANI KABISA ana mtatizo aidha ya kujua au kutokujua.
Taratibu za ujenzi wa nyumba ni kwamba inabidi ujenge nyumba si chini ya mita tatu kutoka mpakani.
Sasa yeye kajenga mpakani kwa hasara yake.
Wakati mwingine tunafanya mambo bila kushirikisha wataalam , haya ndio mtokeo yake.
 
Hyo anaejenga ukuta pimbi kweli Kama ni Mimi nisingeangaika ningetumia huo huo ukuta wa nyumba ya jirani nikuunganisha tu.
Ukuta ambao huujenga wewe huwezi ukaufanyia modification yoyote, mtaishia mahakamani.
Madirisha huwezi kuyaziba.
Alivyojenga ukuta wake naye mwenye nyumba hawezi kuugusa bila idhini ya mahakama.
Hapo ngoma droo, ya ubaya ubaya!
 
Mwenye nyumba nyeupe alikuwa hana nia njema na huyu mwenzake, huwezi kujenga kwenye mwisho wa mpaka
 
Back
Top Bottom