Ushauri: Ana mgogoro wa muda mrefu na jirani yake

Ushauri: Ana mgogoro wa muda mrefu na jirani yake

Haya mambo ya kipuuzi huwa yanasababisha mpaka watu kulogana. Ningekuwa mimi hapo ningemuachia mita 2 na ningejenga fensi yangu. Wakati mwingine shari si njema sana. Na hayakuwa malipo ya wema kitu kingine ila ni wema.

Kuna kisa kimoja cha Arusha kati ya polisi mmoja na raia walikua wanagombea mpaka. Kesi nyingi raia kashinda zote. Polisi hakukubali, akamuita mganga toka Dar es Salaam. Mganga akaenda, akauliza "unatakaj?" Polisi akajibu "nataka afe" basi babu akafanya kazi yake.....Hamad...raia alipata ajali ya gari alivunjika vunjika karibu mwili wote lakini hakufa ajalini. Akakaa hospitali kama mwezi hivi...akafa.

Sasa ujinga gani wa kuwaacha watoto wako yatima kisa meta 2 za ardhi? Kimsingi meta 2 hazitoshi chochote cha maana...labda kaburi. Tafakarini jamani kabla ya maamuzi.
 
Siyo lazima watoto kucheza pamoja.huku maeneo ya kwetu mika 8- 10 unaweza usimfahamu jirani yako.huko uswahilini ndo mnaamini hayo mambo. Waache waishi walivyochagua.hawakuzaliwa pamoja.

Jamaayako ni mpuuzi na anaakili za kitoto kabisa.
Yaani jamaa yako amesahau kwamba huyo jirani ndio wataishi nae hapo kwa miaka mingi na watoto wao watacheza pamoja..
 
Huyo anayejenga fensi anadhani ataishi milele...hana hata uungwana kidogo...hata kama waligombana vp
 
Siyo lazima watoto kucheza pamoja.huku maeneo ya kwetu mika 8- 10 unaweza usimfahamu jirani yako.huko uswahilini ndo mnaamini hayo mambo. Waache waishi walivyochagua.hawakuzaliwa pamoja.
Basi sawa
 
Kwanini auziwe mita 3 kwanini yeye wakati anajenga nyumba hakuacha hizo mita 3? Kwanini atamani eneo la mwenzake? Huyo alifanya makusudi kumaliza eneo lake ili aonewe huruma ya kuuziwa hizo mita 3.
Mkuu imeshawahi kunitokea Kama hivi. Jirani sehemu yake ya kuchimba septic tank hana akachimba eneo langu kwa jeuri kuwa tutaongea anipe hela. Nilipigiwa simu kashajenga. Mbaya zaidi hilo shimo lipo jirani na msingi wangu eneo la dining. Nilimwambia BOMOA. huku na wapi. Alibomoa na kufukia. Baada wiki nilipauza.
 
Hongera sana mkuu...
Ebu ngoja tukae pembeni sisi ambao hatuja barikiwa kujua bei ya matofali na viwanja....[emoji4][emoji4]
Lakini umenikumbu shambali...
Kwamba hata wapumbavu huwa wanazeeka.
Mkuu Dar hakuna uthibiti wa Mipango Miji kabisa, kila mtu ukiuziwa lazima uweke mpaka wako mapema, maana migogoro ni ya kifamilia asubuhi wanauza tena. utakuta uliuziwa kiwanja cha robo eka baada ya mwaka unajikuta huna kitu na hata cha kwako wameshakiuza,
Viwanja hivyo havina Hati wala Plan Deed
Hii Mii mipya na Majiji ndiyo wanadhibitiwa na Sheria za Ardhi
 
Sawa mkuu...
Ebu sasa turudi kwenye uhalisia.
Je, unadhani huo ukuta ulivyo jengwa hapo ndio suluhisho ama kichocheo cha mgogoro..??
mkuu kama unamfata jirani kwa upendo tu alafu anakujibu fanya unachoweza ungekua wewe ungefanyaje
 
mkuu kama unamfata jirani kwa upendo tu alafu anakujibu fanya unachoweza ungekua wewe ungefanyaje
uwezo tu sina, lkn km ninazo naenda jenga pengine pale nafuga wale wadudu wenye kelele, na kuku halafu aje achome moto kabisa
Hivi Viwanja havina Ramani kabisa wala havijawekwa katika mpiango Miji,
uchochoro nasaidia mengi, kuingiza na kutoa maji taka, kuzima moto km patatokea dharira
lkn wenzetu wakiona upenu tu wanauza, au kufungua kibanda umiza, duka au genge
 
Huyo jamaa wa upande wa pili aliyezibiwa dirisha ahame afuge nguruwe hapo.....
aweke na mashine ya kusaga masaa 24...
Sasa aliejenga ukutaa sioo mkorofii ila wewe mshaurii ndo mkorofi zaidiii [emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

We ni zaidi ya mafiaaa mkuu
 
mkuu utakuta jamaa amejalibu kila njia kupatana imeshindikana dawa ni hiyo kuna watu wana akili chafu sana dunia hii
Unachoongea ni sahii kuna mpuuzi mmoja mzee alimuachia njia ya kupita kuchota maji nyumbani badae akaona ni haki yake apate kichochoro katikati ya mji na kwake amefunga kila sehemu kesi iliiuma miaka 14 sio watu wazuri hao.
 
angefuga nguruwe ingekua poa sana wale jamaa kinyesi chao kinanuka alafu wana kelele balaa
 
Haya mambo ya kipuuzi huwa yanasababisha mpaka watu kulogana. Ningekuwa mimi hapo ningemuachia mita 2 na ningejenga fensi yangu. Wakati mwingine shari si njema sana. Na hayakuwa malipo ya wema kitu kingine ila ni wema.

Kuna kisa kimoja cha Arusha kati ya polisi mmoja na raia walikua wanagombea mpaka. Kesi nyingi raia kashinda zote. Polisi hakukubali, akamuita mganga toka Dar es Salaam. Mganga akaenda, akauliza "unatakaj?" Polisi akajibu "nataka afe" basi babu akafanya kazi yake.....Hamad...raia alipata ajali ya gari alivunjika vunjika karibu mwili wote lakini hakufa ajalini. Akakaa hospitali kama mwezi hivi...akafa.

Sasa ujinga gani wa kuwaacha watoto wako yatima kisa meta 2 za ardhi? Kimsingi meta 2 hazitoshi chochote cha maana...labda kaburi. Tafakarini jamani kabla ya maamuzi.
Hata kama ni mitre mia uhai ni mhimu kuliko material things
 
Mwenye nyumba nyeupe. Maana alishaomba jamaa amuuzie hata mita 3 ngoma ngum hadi wamefikia kufanyiana ubabe wa aina hio
Alikosea alidharau akiamini hela itafix shida yake ya kuongeza eneo..
Siyo kila mtu ananunulika...
Biashara hailazimishwi.

Everyday is Saturday......................... 😎
 
Haya ndio mambo ya Palestine and Israel
 
Habari wana jamvi, jamaa amekua na mvutano wa muda mrefu na jiran yake juu ya mipaka yao ya viwanja. Kutokana na mvutano huo jamaa kaamua kujenga fensi mwisho wa kiwanja chake. Je ni sahihi kwa maamuzi haya kama inavyoonekana katika picha hizi?View attachment 1510186View attachment 1510187View attachment 1510188View attachment 1510189
Dar 80% ni Squatter hayo ndio matokeo ya kununua viwanja visivyopimwa,serikali ilitakiwa ipime viwanja mapema miaka ya 90 kabda hakujajaa,dar is a dump city
 
hajafanya baya lolote...tuache kutetea UPUMBAVU, hakuna aisye jua kua kwa usalama unapojenga nyumba ni lazima kuwe na uzio...sasa mtu anajenga uzio ndani ya kiwanja chake, shida inakua wapi? huyo aliyejenga mpakani alitakiwa kuijua hiyo risk ya kufanya huo upumbavu before
 
Back
Top Bottom