POle sana
miss chaga kwa uliyokutana nayo kwenye maisha yako. Napenda nikushauri kigodo tuu ama niongezee aliyoyasema
Watu 8 hapo juu.
Kwanza kabisa natambua kwamba ulikosewa sana kiasi cha kudhalilishwa kijinsia, matokeo ya dhalili hii ni uchungu uliojaa moyyoni mwako ambao hadi leo upo na hauwez kutoka kwa siku moja.
Napenda nikwambie kwamba kwanza usiwatukane wanaume wooote kwa sababu ya kosa la mwanaume mmoja, manake hata wewe naamin utataman kuolewa, na kuzaaa watoto wa jinsia zote hivyo s jambo jema kuwatusi wote.
kuna jambo moja ambalo mimi huwa naona ni msaada sana kwangu pale ninapoudhiwa ama ninapotendwa jambo ovu kabisa (ingawa sijafikia kwako) na jambo hili mimi nililijenga katika mtazamo tofauti kabisa na wengine. Katika kila uovu anaonitendea mtu huwa nayaona mafanikio kupitia uovu wake. sijui kwann niko hivyo lkn niliona hii ni njia rahisi sana ya kunifanya mimi kuish kwa amani na furaha duniani.
Leo hii sikwambii kwamba ishi na huyo baba umpende as if hajawah kukukosea hapana, na pia huwez kujua ni wangapi ambao ni ndugu ama mabinti a kazi anawamiza kwa tabia yake hii. ningekuwa mimi ningetaka sasa kumfanya ajute kwa makosa yake. Ni busara sana kwa mtu mwovu kumfanya ajute kwa makosa yake na atambue kwamba kweli alikosea.
njia ya kufanya omba wazee wa ukoo waitishe kikao na usisitize unataka awepo yaani aje kweny hicho kikao. note usiseme mwanzoni shida yako ni nini hapana unaweza kufake kwamba unataka kumleta mchumba home najua watu watakuja na shara shamra shamra kibao. wewe mbele ya ukoo unasema wazi pasi kufisha jambo lolote lile na unasema kwamba nia yako wewe ni kutaka kumfanya aache tabia yake mbaya. Mungu yupo atakutetea lkn utakuwa mpaka hapo umesha mwadhibu vya kutosha na hao wapambe wake wote wataishiwa nguvu. sema ukiwa strong, usiyeogopa watu panapo ukwel. usitake kuonewa huruma ila taka ujumbe ufike kwake na kumfanya ajute makosa yake. tena mtishie mwambie kwamba ingawa alikutenda miaka iliyopita ila uchungu bado upo na kwa sasa umekwenda kushtaki kisheria manake ushahidi upo na unajua wewe ulipouweka ushahidi wako.
najua lazima akili itawakaa sawa hao ndugu zako wote na najua watataka sasa kukuomba mambo yasiende kwenye sheria lkn wewe uwe mkavu na jasiri kwamba unataka alipe dhambi alkutendea wewe. tena usikubali kudiscuss sana na watu juu ya hili yaani unakuwa wewe kama wewe.
Pia kwasababu wewe unayoshida tayari kisaikolojia huwez kuona raha ya mapenzi mpaka uchungu ulioubebea uondoke. ni kwa njia hii pekee uchungu unaweza kukuisha na hapo ukaanza kufurahia maisha ya mapenzi. toa kwanza uchungu nafsini mwako kwa njia ambayo haivunji sheria za nchi na ambayo itakufanya uwe na amani milele.
Kila la heri mamito.
NB WAZEE WA KICHAGA WANASIFIKA SANA KUTEMBEA NA MABINTI ZAO SIJUI NI KWANINI