Ushauri: Adhabu gani inamfaa mtu huyu

Ushauri: Adhabu gani inamfaa mtu huyu

Status
Not open for further replies.
dada mzuri miss chaga naona bado unampango wa kuendelea na malipizi siwez kukukataza manake najua ndicho ulichopanga.

jua kwamba sheria za nchi nazo huangalia wewe kama raia wajibu wako ni upi sidhan kama unawajibu wa kumdhuru yyte yule no matter kakukosea nini.

namkumbuka baba mmoja aliwah kubakwa yani alifededwa kisa katoka na mke wa mtu. mumewe alimwandalia watu 8 wakamfanya na yeye hadi hamu yao ikaisha lkn mwisho wa siku baba alowaita watu kubaka nae akatiwa hatiani na mpaka leo kesi inaendelea.

sijui wewe utajihakikishiaje haya hayatakupata lkn labda utumie njia ya boxer hii ni nzuri zaid na hainaga ushahidi lakin lazima kweli umpate mtu anayeweza kuendesha hiyo boxer sio mtu bora mtu.

mwisho kabisa kama utataka kemikali ambayo hauta baki hata mfupa wala unywele wa kufanyia DNA niambie mimi nitakutengenezea bureee maabara kwangu. nakuhakikishia hautabaki hata mfupa wake kweli atayeyuka na kuwa kama maji. am serious sitaniii.

unamaanisha huyu jamaa watu8 ?
 
sawa mkuu ila wanaue nyie si sawa

Nope wanaume wote hawapo sawa, kama wanawake msivyokuwa sawa, pole kwa masaibu yalokukuta bidada maana mshenzi huyo amekuletea matatzo ya kisaikolojia TAFUTA mwanasaikolojia akusaidie maana usipoangalia hali hii itakutesa maisha yako yote, kwa mara nyingine pole sana.
 
Hahah punguza povu. tuambie ulibakwaje kwa hiari?

Teh teh teh teh!

Eti mkuu. Mi makosa yangu nini kumuuliza huyu dada Smile kabakwaje kwa hiari!
Kwi kwi kwi!

Naona jazba moja kwa moja!
 
Last edited by a moderator:
alinibaka kwa sababu nilikuwa sitaki kufanya..niliingia room kucheki movie tu

Sasa vipi unasema umebakwa kwa hiari!
Kubakwa ni kulazimishwa tendo bila hiari!!
Aisee mi nilikuwa nadhani kichina tu ndio kigumu! Kumbe kibongo pia!?
Duuhhh!
 
Haya DADA AKE NA MBWA..... sasa we sijui ni JIBWA???

Sikiliza, huyo MJINGA alikutenda vibaya sana,,, hata mimi kama ndio ningekua nimevaa hiyo character yako ningefikiria kwa haraka haraka kum UFOSARO, ila kaa chini na ufikirie vizuri
Nini matokeo ya matendo yako baada ya kumuua au kufanya unyama wowote.?
Nini nafasi yako kama mwanamke ambae unatakiwa uje ulee wanao katika maadili fulani.?
Ukipata Majibu mazuri ya hayo maswali basi utakua na jibu zuri la ADHABU GHANI UUMPE HUYO FIRAUNI.

Pole sana DADA WA VI MBWA.
 
Kwanza sisi wanaume sio mbwa.Pili,mfanye atubu makosa yake na kisha umsamehe.Au tatu ukishindwa kumfanya atubu na kisha ukamsamehe,mpangie mkakati wa kumshughulikia lakn sio kumuua.Ila kama wewe ni muumini safi,KISASI CHA MUNGU NDIO MWISHO WA YOTE!
 
Ww Magnificent acha kuchafua kabila za watu, we ma bint wa kichagga wamekufanya nn...

Mkuu
Mimi siwachafui...hata wao wenyewe wanajijua....wanapenda sana kutukana!
Kwa wanaowafahamu vizuri watu hawa najua wataniunga mkono!
 
Nope wanaume wote hawapo sawa, kama wanawake msivyokuwa sawa, pole kwa masaibu yalokukuta bidada maana mshenzi huyo amekuletea matatzo ya kisaikolojia TAFUTA mwanasaikolojia akusaidie maana usipoangalia hali hii itakutesa maisha yako yote, kwa mara nyingine pole sana.

asante mkuu nitafanyia kazi
 
kila wema au ubaya unaotendeka malipo ni hapahapa duniani,kisasi muachie MUNGU dear.
 
M.bw.a tena jibwa Mwenyewe kwanza.... then pole kama ni kweli... maana huna hata adabu maana baba yako pia ni mwanaume... Kubakwa ni ajali kama zingine tu na ukifuatilia ni pengine nchii hii tu yaweza kuwa na matukio machache ila South africa kila Dakika Mwanamke anabakwa... na ni jambo la kawaida tu... Ishi kitawa kama husikii hamu ya Mwanaume... au Kamshitaki baba yako mkubwa na sio kutukana jamii nzima hadi Yesu Mwanaume
 
Pole sanaa mtoto wa lijibwa maana km wanaume wote ni Mbwa basi baba yako naye ni mbwa..ushauri ushakuwa mkubwa mtafute siku umpe penz la kiutuuzima baada ya hapo muulize umelizika? akikujibu ndiyo mwambie ulifanya makosa kulizalimisha kufanya mapenz na wewe nikiwa mdogo ungesubiri nikue nikupe km nilivyokufanyia leo nahakika atajutia maishani mwake kuliko umfanyie jambo baya maandiko yanasema "akupigaye shavu la kushoto mgeuziye nalakulia"
 
hahahaaaa nimecheka maana nimezoea kuona avatar ya mbwa kwenye userneme yako sasa leo naona umemrudishia tusi mtoa mada na umeondoa avatar ya mbwa akiwa kakunja 4 na umeweka picha halisi hehehehehehehe
Kumbe we ndo washawasha good day.
ndiye mimi,salama lakini mrembo? kanistua kweli na lile tusi lake ikanibidi nibadilishe avatar haraka iwezekanavyo.
Nalog off
 
Dah! Kwanza pole,sasa wanaume sisi mbwa inakuaje unaomba ushauro kwa mbwa?
 
ki saikolojia haupo sawa...
unahitaji counselling yako wewe na mpenzi ambaye utakua nae tayari kumweleza tatizo lako,,ili naye anajua jinsi gani ya kuku handle,,,
afu wewe itakua mmachame...ova
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom