Ushamba bwana! Siku zote najua "thread" ni uzi...

Ushamba bwana! Siku zote najua "thread" ni uzi...

Bongologo

Member
Joined
Apr 14, 2012
Posts
20
Reaction score
1
Kumbe hata mkusanyiko wa haya maneno ninayoandika hapa unaitwa hivyo. Well, It's the case of "New Kid in the Block".
 
Duh Jumapili njema na Karibu sana Chit Chat
 
Kumbe hata mkusanyiko wa haya maneno ninayoandika hapa unaitwa hivyo. Well, It's the case of "New Kid in the Block".

sio kweli!ulichoandika wewe ni topic,au mada!ulipoanza si ulibonyeza kitufe "new topic"?ndio jina lake hilo

inakuwa thread pale sisi pamoja na wewe tunapochangia kama hivi!kitu kinarefuka kama uzi ndio maana ikaitwa thread!

hi ndio kusema kwamba wasingeweka option ya sisi kuchangia basi hichohicho ulichoandika kamwe kisingeitwa thread!
 
Wapi condom zinauzwa? Nataka kula nyama muda huu.
 
Back
Top Bottom