FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,881
- 109,188
Alikua anafanya utafiti kwanza badala ya kuropoka kama wafanyavyo baadhi ya wanaMAGAMBA.
Kama ni hivyo "amechelewa jamvini karamu imeshaliwa".
Alikua anafanya utafiti kwanza badala ya kuropoka kama wafanyavyo baadhi ya wanaMAGAMBA.
Kunaukweli ndani yake ndiyo maana CCM kwa kutumia wagaganga wa jadi walileta mvua Igunga siku ya kura ili alama hizo zionekane. Badala ya kuwapeleka waganga hao huko kwenye bwawa la Mtera ili tupate umeme wa kutosha CCM inawatumia siku ya uchaguzi.
Jamani hamna namna yeyote ya kupiga kura bila ya karatasi? Mi ningetamani iwepo ki2 kama ubao ambao ukiingia kwenye chumba unabonya kwenye ki2fe palengwa na majibu yanatoka muda huo huo yani ukitoka nje m2 unajua we ni wa ngapi kwa kuipigia chama fulani kura. Jama hilo haliwezekani?
Jamani hili jini mahaba FaixaFoxy ni la hatari sana!Hodari sana wewe wa kuvumbuwa mambo, ulikuwa wapi mpaka uchaguzi wa Igunga umekwisha? Unanchekesha.
Hodari sana wewe wa kuvumbuwa mambo, ulikuwa wapi mpaka uchaguzi wa Igunga umekwisha? Unanchekesha.