John Marwa
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 275
- 28
Mzee Edwin Mtei pole sana Kwa Msiba huu wa Kufiwa na Mwanao Mpendwa Chadema Igunga! Tupo pamoja na wewe kwa kipindi hiki kigumu tulijiamini sana kuchukua Igunga kumbe haikuwa riziki! Ewe Mzee Mtei waombee vijana wako hapa JF wana weweseka sana hasa siku ya leo! Post zao na thread zao hazieleweki! Eti wanadai waliibiwa kura wakati walileta watu wa kusimamia kutoka nje ya Igunga!