Kinachoshangaza ni kwamba baada ya utata huu; CAF Haijatoa VAR views za angle mbalimbali kwa spidi tofauti ili kuhakikishia umma kuwa uamuzi ulikuwa ni halali au vipi: yaani ile clip fupi waliyotoa ndiyo final. Lakini niliangalia BeIn TV ikiliangalia bao hilo kutokea angles tofauti na kutamatisha kuwa lilikuwa golo halali.Jana Yanga haikustahili kuishia hatua ya robo, ile goli ni halali kabisa na ushahidi wa video ni huu hapa. Mpira ulivuka mstari wa goal line kwa zaidi ya asilimia 100 kisha uka rebound tena.
mtasema yote leo.Kinachoshangaza ni kwamba baada ya utata huu; CAF Haijatoa VAR views za angle mbalimbali kwa spidi tofauti ili kuhakikishia umma kuwa uamuzi ulikuwa ni halali au vipi: yaani ile clip fupi waliyotoa ndiyo final. Lakini niliangalia BeIn TV ikiliangalia bao hilo kutokea angles tofauti na kutamatisha kuwa lilikuwa golo halali.
Hili linahitaji semina kubwa sana kwa timu za Tanzania katika hili swala la kumlazimisha mwamuzi kwenda kujiridhisha. Unajua kabisa ile inaweza kuwa ndio mechi ya mwisho katika msimu huu kwanini wachezaji kadhaa wasimzonge refa mpaka aende kuangalia na yeye hata akikupa kadi sawa ila mechi isichezwe hadi akaangalie. Hapo ndipo waarabu wanatupitia kujiona sisi ni wanyonge. Wachezaji pia walizingua hapoKosa walilolifanya Yanga ni kuendelea kucheza. Walitakiwa kugomea mchezo mpaka refarii aende kwenye VAR.
Wangekuwa Waarabu wangemzonga refa mpaka angeenda kwenye VAR na hata wangekuwa tayari kulimwa kadi.
Ilipaswa kuwa goli ndio maana ikatokea. Soo hata kama mamelodi walikuwa wafunge wangefunga tu hata baada ya goli la yanga kukataliwaJamani mkubali kushindwa na maisha yaendelee how sure are you kuwa ingefungwa hilo goli mamelode wasingewafunga na nyie zaidi ya moja? Yani ingekua hivii..hilo goli lingeingiaa mngevimba kichwa mngejiachia yangeweza kurudi magoli hata 5 kwa zile kosa kosa zao..
Timu yangu yanga tunaamini sana kwenye fair play sometimes inatuponza nilishangaa hata tulivyofika south tukapanda basi tuliloandaliwa na mwwnyeji hivi kwa figisu za soka la afrika unaweza kweli kukubali usafiri uliopewa na mwenyeji wako.!Kosa walilolifanya Yanga ni kuendelea kucheza. Walitakiwa kugomea mchezo mpaka refarii aende kwenye VAR.
Wangekuwa Waarabu wangemzonga refa mpaka angeenda kwenye VAR na hata wangekuwa tayari kulimwa kadi.
Ilivyorudiwa mara moja tu nililuka kwenye kiti kama kichaa nilijua mpira unapelekwa kati baada ya refa kukataa niliishiwa nguvu ghafla nilitulia chini kama dakika 20 hivi nikiwa dizaini kama sijielewi elewi vileTangu Jana azam tv waliporudia baada ya. Ki kufumua ile shoot tulishangilia tukijua Mpira unawekwa Kati lakini hii ndiyo afrika siwezi kushangaa , haki unanyimwa asubuhi na mapema .