Ushahidi wa orodha ya matukio aliyotabiri Nabii wa Wasabato Hellen G White ambayo kamwe hayakutokea

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Mar 8, 2020
2,406
5,031
Wadau hamjamboni nyote?

Nawaletea tabiri mbalimbali zilitolewa na Muasisi wa Kanisa la Waadventista Wasabato Duniani Nabii mke Hellen G White ambazo kamwe hazikutimia kama ilivyotarajiwa.

Nimeweka na nukuu kutoka maandiko yake mbalimbali kwa ajili ya rejea yenu.

Kama yupo mtu miongoni mwenu au aliye muumini wa Kanisa la Waadventista Wasabato anayeona kuwa nukuu zilizowasilishwa haziko sahihi basi awe huru kutoa ufafanuzi.

1.
Alitoa unabii kuwa mji Mtakatifu wa Yerusalemu hautajengwa tena, Early Writings, p. 75 -

Unabii huo haukuwa kweli kwani mji wa Yerusalemu ulijengwa miaka mingi baadaye

2. Alitoa unabii kuwa nchi ya Uingereza itashambulia Marekani wakati wa vita vya wenyewe kwa wenyewe lakini unabii huo haukutimia kamwe - Testimonies, Vol. 1, uk. 259. -

3. Alitabiri kuwa Yesu Kristo angeejea duniani kabla ya biashara ya Utumwa haujakomeshwa - Early Writings, pp 35.

Unabii huo haukutimia kwani Biashara ya Utumwa ilikomeshwa duniani mwaka 1864 na Yesu Kristo hakurudi

4. Alitabiri kuwa Waadventista Wasabato ambao wangekuwa hai mwaka 1856 wangeshuhudia Yesu Kristo akirudi - Testimonies for the Church, vol. 1, ukurasa wa 131-132

Unabii huo haukutimia na hao Wasabato hao wote walishafariki dunia bila kushuhudia tukio hilo waliloahidiwa

5. Alidai kumuona Enoko aliishia kwenye sayari ya Jupiter na Saturn - Early Writings, pp. 39-40.

Hii siyo kweli hakuna binadamu anayeishi kwenye hizo sayari


Kwa mujibu wa kitabu cha Kumbukumbu la torati 20:18-22

Lakini nabii atakayenena neno kwa kujikinai kwa jina langu, ambalo sikumwagiza kulinena, aatakayenena katika jina la miungu mingine, nabii yule atakufa.
Kumbukumbu la Torati 18:20-22


Karibuni tujadili
 
Wadau hamjamboni nyote?

Nawaletea tabiri mbalimbali zilitolewa na Muasisi wa Kanisa la Waadventista Wasabato Duniani Nabii mke Hellen G White ambazo kamwe hazikutimia kama ilivyotarajiwa.

Nimeweka na nukuu kutoka maandiko yake mbalimbali kwa ajili ya rejea yenu.

Kama yupo mtu miongoni mwenu anayeona kuwa nukuu zilizowasilishwa haziko sawa basi awe huru kujieleza

1.
Alitoa unabii kuwa mji Mtakatifu wa Yerusalemu hautajengwa tena, Early Writings, p. 75 -

Unabii huo haukuwa kweli kwani mji wa Yerusalemu ulijengwa miaka mingi baadaye

2. Alitoa unabii kuwa nchi ya Uingereza itashambulia Marekani wakati wa vita vya wenyewe kwa wenyewe lakini unabii huo haukutimia kamwe - Testimonies, Vol. 1, uk. 259. -

3. Alitabiri kuwa Yesu Kristo angeejea duniani kabla ya biashara ya Utumwa haujakomeshwa - Early Writings, pp 35.

Unabii huo haukutimia kwani Biashara ya Utumwa ilikomeshwa duniani mwaka 1864 na Yesu Kristo hakurudi

4. Alitabiri kuwa Waadventista Wasabato ambao wangekuwa hai mwaka 1856 wangeshuhudia Yesu Kristo akirudi - Testimonies for the Church, vol. 1, ukurasa wa 131-132

Unabii huo haukutimia na hao Wasabato hao wote walishafariki dunia bila kushuhudia tukio hilo waliloahidiwa

5. Alidai kumuona Enoko aliishia kwenye sayari ya Jupiter na Saturn - Early Writings, pp. 39-40.

Hii siyo kweli hakuna binadamu anayeishi kwenye hizo sayari


Kwa mujibu wa kitabu cha Kumbukumbu la torati 20:18-22

Lakini nabii atakayenena neno kwa kujikinai kwa jina langu, ambalo sikumwagiza kulinena, aatakayenena katika jina la miungu mingine, nabii yule atakufa.
Kumbukumbu la Torati 18:20-22


Karibuni tujadili
Kwanza ELLEN g White hakuanzisha kanisa la Wasabato . alilikuta aka join
Before alikuwa muumini wa babtist na alibatiziwa huko, then akakutana na waumini wa kisabato waliokuwa wakihubiri kuhusu sabato akawaelewa akajoin nao
 
Kwanza ELLEN g White hakuanzisha kanisa la Wasabato . alilikuta aka join
Before alikuwa muumini wa babtist na alibatiziwa huko, then akakutana na waumini wa kisabato waliokuwa wakihubiri kuhusu sabato akawaelewa akajoin nao
Hellen G White ni Muasisi Mkuu wa Kanisa la Waadventista Wasabato Duniani. Hakuna Kanisa la Wasabato ( SDA) bila Hellen G White. Yeye ndiyo Msingi/ nguzo kuu ya Kanisa hilo na bila kumuamini yeye pamoja na mafundisho yake huwezi kukubaliwa kuwa mshiriki wa Kanisa hilo.
 
Kwaki gezo kipi na evidence ipi
Kum. 18:22 - Ellen anaonyesha dalili za Nabii wa Uongo ambaye hajatumwa na Mungu maana yale aliyoyatolea unabii kama hizo points alizoandika mleta mada hayakuwahi kutokea . Amewatapeli nyie kondoo wake .
 
Back
Top Bottom