Patriot
JF-Expert Member
- Feb 11, 2008
- 5,698
- 4,693
dubu,
Unapokuwa Mbunge, unakuwa ni wa wote jimboni; CCM, CHADEMA, CUF, TLP, nk. Sasa wewe mbunge ukienda jimboni unataka uzungumze na wanaCDM tu! That can't be!
Hebu eleza waliokuwa wanashangilia ni akina nani au walitumwa na nani? Laumu vurugu na Polisi kushindwa kuwadhibiti lakini pia sikuona vurugu. Wananchi hawalazimiki kumsikiliza anayewahutubia. Polisi hawezi kulazimisha watu kumsikiliza Mbowe.
Unapokuwa Mbunge, unakuwa ni wa wote jimboni; CCM, CHADEMA, CUF, TLP, nk. Sasa wewe mbunge ukienda jimboni unataka uzungumze na wanaCDM tu! That can't be!
Hebu eleza waliokuwa wanashangilia ni akina nani au walitumwa na nani? Laumu vurugu na Polisi kushindwa kuwadhibiti lakini pia sikuona vurugu. Wananchi hawalazimiki kumsikiliza anayewahutubia. Polisi hawezi kulazimisha watu kumsikiliza Mbowe.