Kuna aliyechokwa kabla ya miaka mitano na anawafukuza uwanachama wote wanaotaka kugombea urais kwenye chama chake.amechokwa aachie ngazi
Hakika......umeneno vema......Siasa ni kama mbio za magari maarufu kama FORMULA ONE (F1). Yule bingwa mtetezi au aliyeshinda mbio zilizopita uanzia mstari wa mbele kuliko wote, anapewa upendeleo na wale wengine kushinda ni Ngumu Sana, ndio maana mabingwa uendelea kushinda mpaka wanastaafu..same in politics, mwenye Dola ana advantage kubwa mno, kumshinda inabidi utumie nguvu na mbinu za ziada..
Mmeaibika mchana kweupeeee,aibu yenu!Mbona mnaleta picha za baada ya tukio ndugu msitake watu waendelee kuwaamin Hao wote baada ya mkutano walirufisha kad za chadema na kujiunga ccm boss mkubali tu mlipokosea mkiwa mnakosea alafu mnakuja kujisafisha umu mnawauz watu wengine walio baki wanao jua ukweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu mzee Kikwete alikuwa na maneno ya busara sana, mengi aliyoyasema wakati ule ilikuwa ngumu kuelewa maana yake. Baada ya miaka kadhaa ndio twaja tambua maana yake.
hizi picha za ngono sio mahala pake pelekeni MMU
Muulize sugu kule Mbeya...Mikutano ya hadhara kwa mbunge katika jimbo lake haijapigwa marufuku. Usijtekenye.
Sent using Jamii Forums mobile app
oMadogo wa CCM wamebunguliwa bongo wanachojali anaewatuma kawapa mlo wa siku hiyo basi
Sent using Jamii Forums mobile app