nizakale
JF-Expert Member
- Oct 23, 2019
- 4,029
- 2,902
Kwani huo ulikuwa mkutano wa CHADEMA ? Huo ulikuwa kutano wa mbunge na wananchi wake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wacha kujitoa ufahamu wewe!!
Hayo yakitokea kwenye mkutano wa ccm polisi watakuwa upande gani?
Use your brain
Sent using Jamii Forums mobile app