Mzito Kabwela
Platinum Member
- Nov 28, 2009
- 18,904
- 7,746
Wewe ni jipu....shule ulienda kula kashata tu?...mtu uliyereta..... wewe tahaluma....uitendei ..... unatahaluma....hisikufanye ..... Makamaba...... mahalumu....
Wewe ni jipu....shule ulienda kula kashata tu?...mtu uliyereta..... wewe tahaluma....uitendei ..... unatahaluma....hisikufanye ..... Makamaba...... mahalumu....
Nasikitika, maana naona mtu uliyereta utetezi kama ni kijana mwenzangu, ambaye hata kama umetumwa na makamba ufanye hivyo,basi wewe tahaluma yako uitendei haki hata kama inatahaluma ya sayansi kimu, hisikufanye kuwa kasuku wa wanansiasa ambao wanatuma kama Makamaba, nataka niseme wazi katika sakata hili inatakiwa iundwe tume mahalumu nipo tayari kujitolea, lazma kuna jambo hapa.
kwa hali kama hii, ni vyema tukaruhusu wenye facts na evidences zaidi washindane kwa kuziweka hadharani.
mimi ni muhanga wa haya mambo ya kukashifiana na kushambuliana hasa mitandaoni...hivyo naenda kw step sana
fisadi lowasa ana sifa ya kuwa kiongozi?
Nasikitika, maana naona mtu uliyereta utetezi kama ni kijana mwenzangu, ambaye hata kama umetumwa na makamba ufanye hivyo,basi wewe tahaluma yako uitendei haki hata kama unatahaluma ya sayansi kimu, hisikufanye kuwa kasuku wa wanansiasa ambao wanatuma kama Makamaba, nataka niseme wazi katika sakata hili inatakiwa iundwe tume mahalumu nipo tayari kujitolea, lazma kuna jambo hapa.
Hivi sheria ya mtandao hairuhusu kumshitaki huyu mtu aliyepost tuhuma hizo?Wakuu.
mtakumbuka kuwa mwaka 2013 mwishoni, bila huruma, bila kujiuliza mara mbilimbili, mitandaoni kote, vijana kwa wazee walisimama kidete kumshambulia aliyekuwa naibu katibu mkuu wa chadema kipindi hicho ndugu Zitto Kabwe kuwa amehongwa mabilioni na wanaCCM kukihujumu chama chake.
jana kukazuka mjadala kama huo ulioanzia mitandaoni humu humu kumuhusu mwanasiasa kijana mwengine January Makamba safari hii huyu akihusishwa na dada yake kutumia vibaya madaraka na kujinufaisha mpaka kufikia kiasi cha kudaiwa kumdhulumu aliyeitwa muitaliano Vincenzo Nizzolino.
leo Raia huyo wa Italia Vincenzo Cozzolino aliyesababisha mtafaruku mkubwa jana baada ya kuvujisha mazungumzo yake kwenye mitandao ya kijamii na mpenzi wake wa zamani Mwamvita Makamba amejitokeza hadharani na kuomba radhi kwa kuihusisha familia ya Makamba na ufisadi.
Katika taarifa aliyoitoa kwa vyombo vya habari leo mchana, Vincenzo amesema alifadhaika kutokana na familia ya Makamba kushindwa kumsikiliza baada ya ugomvi wao na kuongeza kuwa hakuwahi kutoa kiasi chochote cha pesa kwa January wala hakuwahi kumuomba amsaidie katika biashara zake. Pia amesikitishwa na kitendo cha Mange Kimambi kuingiza masuala ya siasa katika mtafaruku wake na Mwamvita. Kwa Habari zaidi, soma taarifa yake aliyoituma kwa Neville Meena, Mhariri Mtendaji wa Tanzania Daima hapo chini;.
ushauri.
kabla hatujahukumu, ni vema tukajiridhisha kwanza kuhusiana na tuhuma mbalimbali, hata kama tunawachukia namna gani watu waliotajwa.
wasalaam.
kaburi.Wakuu.
mtakumbuka kuwa mwaka 2013 mwishoni, bila huruma, bila kujiuliza mara mbilimbili, mitandaoni kote, vijana kwa wazee walisimama kidete kumshambulia aliyekuwa naibu katibu mkuu wa chadema kipindi hicho ndugu Zitto Kabwe kuwa amehongwa mabilioni na wanaCCM kukihujumu chama chake.
jana kukazuka mjadala kama huo ulioanzia mitandaoni humu humu kumuhusu mwanasiasa kijana mwengine January Makamba safari hii huyu akihusishwa na dada yake kutumia vibaya madaraka na kujinufaisha mpaka kufikia kiasi cha kudaiwa kumdhulumu aliyeitwa muitaliano Vincenzo Nizzolino.
leo Raia huyo wa Italia Vincenzo Cozzolino aliyesababisha mtafaruku mkubwa jana baada ya kuvujisha mazungumzo yake kwenye mitandao ya kijamii na mpenzi wake wa zamani Mwamvita Makamba amejitokeza hadharani na kuomba radhi kwa kuihusisha familia ya Makamba na ufisadi.
Katika taarifa aliyoitoa kwa vyombo vya habari leo mchana, Vincenzo amesema alifadhaika kutokana na familia ya Makamba kushindwa kumsikiliza baada ya ugomvi wao na kuongeza kuwa hakuwahi kutoa kiasi chochote cha pesa kwa January wala hakuwahi kumuomba amsaidie katika biashara zake. Pia amesikitishwa na kitendo cha Mange Kimambi kuingiza masuala ya siasa katika mtafaruku wake na Mwamvita. Kwa Habari zaidi, soma taarifa yake aliyoituma kwa Neville Meena, Mhariri Mtendaji wa Tanzania Daima hapo chini;.
ushauri.
kabla hatujahukumu, ni vema tukajiridhisha kwanza kuhusiana na tuhuma mbalimbali, hata kama tunawachukia namna gani watu waliotajwa.
wasalaam.