Ushahidi tuhuma za January Makamba

Ushahidi tuhuma za January Makamba

Nasikitika, maana naona mtu uliyereta utetezi kama ni kijana mwenzangu, ambaye hata kama umetumwa na makamba ufanye hivyo,basi wewe tahaluma yako uitendei haki hata kama inatahaluma ya sayansi kimu, hisikufanye kuwa kasuku wa wanansiasa ambao wanatuma kama Makamaba, nataka niseme wazi katika sakata hili inatakiwa iundwe tume mahalumu nipo tayari kujitolea, lazma kuna jambo hapa.

I see unakazi ngumu ya kujifunza kiswahili....!!!!!
 
kwa hali kama hii, ni vyema tukaruhusu wenye facts na evidences zaidi washindane kwa kuziweka hadharani.
mimi ni muhanga wa haya mambo ya kukashifiana na kushambuliana hasa mitandaoni...hivyo naenda kw step sana

Acha kutufanya watoto..we mfate Mhe. ukachukue ujira wako
 
fisadi lowasa ana sifa ya kuwa kiongozi?

Hivi ndani ya CCM hakuna MAFISADI???Hao wezi wa mali za umma wameletwa na Lowassa??Waliokwapua ESCROW Lowassa yumo??

Kama UFISADI siyo sifa ya kuwa kiongozi basi Chenge,Anna Tibaijuka na wengine ndani ya CCM hata ubunge wasingeupata,lakini sababu ndani ya CCM UFISADI na ULAJI rushwa ipo ndani ya ILANI ya uchaguzi,usimsingizie Lowassa.

Wanasema usimtendee mtu kitu usichopenda kutendewa wewe,kama ambavyo hupendi wengine pamoja na wewe muitwe MAFISADI basi usimnyooshee kidole mtu ambaye hata kukujibu hata kujibu.

Kamuulize Mr.Dhaifu aliyekwepuea PESA za ESCROW ni nani??
 
Nasikitika, maana naona mtu uliyereta utetezi kama ni kijana mwenzangu, ambaye hata kama umetumwa na makamba ufanye hivyo,basi wewe tahaluma yako uitendei haki hata kama unatahaluma ya sayansi kimu, hisikufanye kuwa kasuku wa wanansiasa ambao wanatuma kama Makamaba, nataka niseme wazi katika sakata hili inatakiwa iundwe tume mahalumu nipo tayari kujitolea, lazma kuna jambo hapa.

Kweli kiswahili ni kigumu!
Taaluma= Tahaluma
Maalum= Mahalumu

Mmmmmmmh, kazi kwelikweli!
 
Wakuu.
mtakumbuka kuwa mwaka 2013 mwishoni, bila huruma, bila kujiuliza mara mbilimbili, mitandaoni kote, vijana kwa wazee walisimama kidete kumshambulia aliyekuwa naibu katibu mkuu wa chadema kipindi hicho ndugu Zitto Kabwe kuwa amehongwa mabilioni na wanaCCM kukihujumu chama chake.

jana kukazuka mjadala kama huo ulioanzia mitandaoni humu humu kumuhusu mwanasiasa kijana mwengine January Makamba safari hii huyu akihusishwa na dada yake kutumia vibaya madaraka na kujinufaisha mpaka kufikia kiasi cha kudaiwa kumdhulumu aliyeitwa muitaliano Vincenzo Nizzolino.

leo Raia huyo wa Italia Vincenzo Cozzolino aliyesababisha mtafaruku mkubwa jana baada ya kuvujisha mazungumzo yake kwenye mitandao ya kijamii na mpenzi wake wa zamani Mwamvita Makamba amejitokeza hadharani na kuomba radhi kwa kuihusisha familia ya Makamba na ufisadi.

Katika taarifa aliyoitoa kwa vyombo vya habari leo mchana, Vincenzo amesema alifadhaika kutokana na familia ya Makamba kushindwa kumsikiliza baada ya ugomvi wao na kuongeza kuwa hakuwahi kutoa kiasi chochote cha pesa kwa January wala hakuwahi kumuomba amsaidie katika biashara zake. Pia amesikitishwa na kitendo cha Mange Kimambi kuingiza masuala ya siasa katika mtafaruku wake na Mwamvita. Kwa Habari zaidi, soma taarifa yake aliyoituma kwa Neville Meena, Mhariri Mtendaji wa Tanzania Daima hapo chini;.

ushauri.
kabla hatujahukumu, ni vema tukajiridhisha kwanza kuhusiana na tuhuma mbalimbali, hata kama tunawachukia namna gani watu waliotajwa.
wasalaam.
Hivi sheria ya mtandao hairuhusu kumshitaki huyu mtu aliyepost tuhuma hizo?
Story za kusafishana tungeziacha ziishie serikali ya awamu ya nne,hii
inayoitwa "hapa kazi tu" sheria iliyotumika kubomolea wanaoishi mabondeni
na hapa itumike kwa mleta tuhuma.Vinginevyo umma utaamini kile
kilichosemwa na mleta tuhuma.Ni mahakama pekee itaisafisha familia
ya makamba kwa kuthibitisha ushahidi wa mleta tuhuma kuwa ni wa kughushi
vinginevyo tunaamini ni ukweli mtupu,sheria hipo na ni msumeno.

Huyo muitaliano anaweza kuogopa kufutiwa kibali cha kuingia hapa nchini
endapo atashindana na samaki wakubwa,hivyo maneno yake
hayawezi kufuta tuhuma kirahisi hivyo.Ni maoni yangu lakini.
 
ina itaj huwe na akili za mwendawazimu kumtetea marope kwa hili na kama mnadai chuki sawa sikatai ila wakati mwingind chuki zina faida maana huwez weka wazi machafu ya mtu unayempenda.. ila kikubwa tujue ni kwel au sio kwel? me swala la mzungu kujifanya anaomba radhi kwangu haliniingia akili hata kidogo mana wakat analalama twiter sizan kama alikuwa kalewa na pili swala kama hili sio la kitoto huwez weka hazarani kashfa za uongo coz kuna maakama na sheria za mitandaoni tena kubwa kama hili yeye marope kama kasingiziwa kuna mahakama aende huko full stop... mtoa mada samahani ila naona unakula ujira wa bure kwa marope huna la kumsaidia
 
Morally kijana huyu ni mfilisi. Anasimulöia jinsi dada yake anavyohanishana na wanaume, sijui matapeli, sijui wanafanyaje, n.k. Dada akihongwa naye anapata mgao! Morally, terribly dead!
 
Wakuu.
mtakumbuka kuwa mwaka 2013 mwishoni, bila huruma, bila kujiuliza mara mbilimbili, mitandaoni kote, vijana kwa wazee walisimama kidete kumshambulia aliyekuwa naibu katibu mkuu wa chadema kipindi hicho ndugu Zitto Kabwe kuwa amehongwa mabilioni na wanaCCM kukihujumu chama chake.

jana kukazuka mjadala kama huo ulioanzia mitandaoni humu humu kumuhusu mwanasiasa kijana mwengine January Makamba safari hii huyu akihusishwa na dada yake kutumia vibaya madaraka na kujinufaisha mpaka kufikia kiasi cha kudaiwa kumdhulumu aliyeitwa muitaliano Vincenzo Nizzolino.

leo Raia huyo wa Italia Vincenzo Cozzolino aliyesababisha mtafaruku mkubwa jana baada ya kuvujisha mazungumzo yake kwenye mitandao ya kijamii na mpenzi wake wa zamani Mwamvita Makamba amejitokeza hadharani na kuomba radhi kwa kuihusisha familia ya Makamba na ufisadi.

Katika taarifa aliyoitoa kwa vyombo vya habari leo mchana, Vincenzo amesema alifadhaika kutokana na familia ya Makamba kushindwa kumsikiliza baada ya ugomvi wao na kuongeza kuwa hakuwahi kutoa kiasi chochote cha pesa kwa January wala hakuwahi kumuomba amsaidie katika biashara zake. Pia amesikitishwa na kitendo cha Mange Kimambi kuingiza masuala ya siasa katika mtafaruku wake na Mwamvita. Kwa Habari zaidi, soma taarifa yake aliyoituma kwa Neville Meena, Mhariri Mtendaji wa Tanzania Daima hapo chini;.

ushauri.
kabla hatujahukumu, ni vema tukajiridhisha kwanza kuhusiana na tuhuma mbalimbali, hata kama tunawachukia namna gani watu waliotajwa.
wasalaam.
kaburi.
 
Back
Top Bottom