kizungu kimekushinda nini?.Mbona Maelezo hayalingani na alichojibu muitaliano, wewe usitufanye sisi watoto
kizungu kimekushinda nini?.Mbona Maelezo hayalingani na alichojibu muitaliano, wewe usitufanye sisi watoto
amefanyaje?.mchange??? Duuu
Season II....twangaaa photoHahahahaaaaaa Movie inaendelea.
Umeona mkuu, yaani huyu kaleta post bila kutafakari facts ambazo zinasambaa tayari. Mtuhumiwa kakiri halafu huyu anakuja sijui kueleza nini?Hivi kuna tofauti ya Zitto na Makamba? Hata aliyeleta uzi ni Mchange! Unakanusha nini wakati Makamba amekiri kupokea fedha na kumuunganisha na Waziri wa uchukuzi?
hawezi omba radhi, kuomba radhi napo ni maadili. je mange ana maadili ya kufanya hivyo?..wapi mange kimambi amwage radhi
Unatumia id yako nyingine kutetea utotokizungu kimekushinda nini?.
nani sasa, muitaliano ama mange?...Umeona mkuu, yaani huyu kaleta post bila kutafakari facts ambazo zinasambaa tayari. Mtuhumiwa kakiri halafu huyu anakuja sijui kueleza nini?
kusoma hatusomi hata picha hatuoni wakuu. au English mgogoro?...Makamba alikiri
Na mwamvita alikiri sasa HIKI NINI?
Hivi mmesoma hiyo barua inayodaiwa imetoka kwa Mu-italiano kweli? Au kiingereza kinawapiga chenga? Umesoma amekiri nini? Kwa hiyo Mangewapi mange kimambi amwage radhi
Du ni wewe mchumia tumbo umeshajiunga kwenye hili sakata?Wakuu.
mtakumbuka kuwa mwaka 2013 mwishoni, bila huruma, bila kujiuliza mara mbilimbili, mitandaoni kote, vijana kwa wazee walisimama kidete kumshambulia aliyekuwa naibu katibu mkuu wa chadema kipindi hicho ndugu Zitto Kabwe kuwa amehongwa mabilioni na wanaCCM kukihujumu chama chake.
jana kukazuka mjadala kama huo ulioanzia mitandaoni humu humu kumuhusu mwanasiasa kijana mwengine January Makamba safari hii huyu akihusishwa na dada yake kutumia vibaya madaraka na kujinufaisha mpaka kufikia kiasi cha kudaiwa kumdhulumu aliyeitwa muitaliano Vincenzo Nizzolino.
leo Raia huyo wa Italia Vincenzo Cozzolino aliyesababisha mtafaruku mkubwa jana baada ya kuvujisha mazungumzo yake kwenye mitandao ya kijamii na mpenzi wake wa zamani Mwamvita Makamba amejitokeza hadharani na kuomba radhi kwa kuihusisha familia ya Makamba na ufisadi.
Katika taarifa aliyoitoa kwa vyombo vya habari leo mchana, Vincenzo amesema alifadhaika kutokana na familia ya Makamba kushindwa kumsikiliza baada ya ugomvi wao na kuongeza kuwa hakuwahi kutoa kiasi chochote cha pesa kwa January wala hakuwahi kumuomba amsaidie katika biashara zake. Pia amesikitishwa na kitendo cha Mange Kimambi kuingiza masuala ya siasa katika mtafaruku wake na Mwamvita. Kwa Habari zaidi, soma taarifa yake aliyoituma kwa Neville Meena, Mhariri Mtendaji wa Tanzania Daima hapo chini;.
ushauri.
kabla hatujahukumu, ni vema tukajiridhisha kwanza kuhusiana na tuhuma mbalimbali, hata kama tunawachukia namna gani watu waliotajwa.
wasalaam.
Mwitaliano ana akili sana au niseme ame-apply mbinu za kimafia. Hii imekuwa kama ransom - teka mtu unayemdai, tena mwanasiasa maarufu, kwa kudai zawadi uliyotoa kwa vile ulikuwa ukipata p...ch ya dada mtu lakini ukatemwa. Serikali inatetemeka na kukulipa 'haki yako' maana hii ilikuwa ni aibu kwa serikali. Unaambiwa kanusha. Hana cha kupoteza, amepata chake na mwanasiasa aliyetekwa sasa yuko huru.Mzungu kalamba dollari
Maji yameshamwagika. Wananchi wa nchi hii wamshajua ukweli hatakama wakihamua kuficha is too late. Inabidi January hakubali kulikuwa na deal kwani kwenye marecord kunaonyesha dalili zote za rushwa. Fanya jambo la burasara kwa watanzania waliokupigia kura na kwa manufaa ya taifa . JANUARY HACHIA NGAZI KWANI SITHANI TUTAKUMISS SANA.