Ushahidi tuhuma za January Makamba

Ushahidi tuhuma za January Makamba

Hivi kuna tofauti ya Zitto na Makamba? Hata aliyeleta uzi ni Mchange! Unakanusha nini wakati Makamba amekiri kupokea fedha na kumuunganisha na Waziri wa uchukuzi?
Umeona mkuu, yaani huyu kaleta post bila kutafakari facts ambazo zinasambaa tayari. Mtuhumiwa kakiri halafu huyu anakuja sijui kueleza nini?
 
Nilishawaeleza juu ya huyu Mtoto mjanja mange kimambi na umaarufu anaoutafuta hapa mjini!
 
Umeona mkuu, yaani huyu kaleta post bila kutafakari facts ambazo zinasambaa tayari. Mtuhumiwa kakiri halafu huyu anakuja sijui kueleza nini?
nani sasa, muitaliano ama mange?...
 
Maji yameshamwagika. Wananchi wa nchi hii wamshajua ukweli hatakama wakihamua kuficha is too late. Inabidi January hakubali kulikuwa na deal kwani kwenye marecord kunaonyesha dalili zote za rushwa. Fanya jambo la burasara kwa watanzania waliokupigia kura na kwa manufaa ya taifa . JANUARY HACHIA NGAZI KWANI SITHANI TUTAKUMISS SANA.
 

Mhariri? Angeweza kunyoosha vizuri kiingereza chake.
 
Hii inaweza kushusha thamani Na heshima ya wengi....
Nahisi meena hapa anatumika.....!
 
wapi mange kimambi amwage radhi
Hivi mmesoma hiyo barua inayodaiwa imetoka kwa Mu-italiano kweli? Au kiingereza kinawapiga chenga? Umesoma amekiri nini? Kwa hiyo Mange
Wakuu.
mtakumbuka kuwa mwaka 2013 mwishoni, bila huruma, bila kujiuliza mara mbilimbili, mitandaoni kote, vijana kwa wazee walisimama kidete kumshambulia aliyekuwa naibu katibu mkuu wa chadema kipindi hicho ndugu Zitto Kabwe kuwa amehongwa mabilioni na wanaCCM kukihujumu chama chake.

jana kukazuka mjadala kama huo ulioanzia mitandaoni humu humu kumuhusu mwanasiasa kijana mwengine January Makamba safari hii huyu akihusishwa na dada yake kutumia vibaya madaraka na kujinufaisha mpaka kufikia kiasi cha kudaiwa kumdhulumu aliyeitwa muitaliano Vincenzo Nizzolino.

leo Raia huyo wa Italia Vincenzo Cozzolino aliyesababisha mtafaruku mkubwa jana baada ya kuvujisha mazungumzo yake kwenye mitandao ya kijamii na mpenzi wake wa zamani Mwamvita Makamba amejitokeza hadharani na kuomba radhi kwa kuihusisha familia ya Makamba na ufisadi.

Katika taarifa aliyoitoa kwa vyombo vya habari leo mchana, Vincenzo amesema alifadhaika kutokana na familia ya Makamba kushindwa kumsikiliza baada ya ugomvi wao na kuongeza kuwa hakuwahi kutoa kiasi chochote cha pesa kwa January wala hakuwahi kumuomba amsaidie katika biashara zake. Pia amesikitishwa na kitendo cha Mange Kimambi kuingiza masuala ya siasa katika mtafaruku wake na Mwamvita. Kwa Habari zaidi, soma taarifa yake aliyoituma kwa Neville Meena, Mhariri Mtendaji wa Tanzania Daima hapo chini;.

ushauri.
kabla hatujahukumu, ni vema tukajiridhisha kwanza kuhusiana na tuhuma mbalimbali, hata kama tunawachukia namna gani watu waliotajwa.
wasalaam.
Du ni wewe mchumia tumbo umeshajiunga kwenye hili sakata?
 
Mzungu kalamba dollari
Mwitaliano ana akili sana au niseme ame-apply mbinu za kimafia. Hii imekuwa kama ransom - teka mtu unayemdai, tena mwanasiasa maarufu, kwa kudai zawadi uliyotoa kwa vile ulikuwa ukipata p...ch ya dada mtu lakini ukatemwa. Serikali inatetemeka na kukulipa 'haki yako' maana hii ilikuwa ni aibu kwa serikali. Unaambiwa kanusha. Hana cha kupoteza, amepata chake na mwanasiasa aliyetekwa sasa yuko huru.
 
Maji yameshamwagika. Wananchi wa nchi hii wamshajua ukweli hatakama wakihamua kuficha is too late. Inabidi January hakubali kulikuwa na deal kwani kwenye marecord kunaonyesha dalili zote za rushwa. Fanya jambo la burasara kwa watanzania waliokupigia kura na kwa manufaa ya taifa . JANUARY HACHIA NGAZI KWANI SITHANI TUTAKUMISS SANA.

Una facts za ziada mkuu uweke?
 
Back
Top Bottom