Subira the princess
JF-Expert Member
- Mar 3, 2018
- 4,465
- 4,613
Hata mimi nilimskiliza alipohojiwa Wasafi nikajua huyu ni wetuHuyo Tibaijuka hayuko ccm, nielewe nje ya mistari
Ccm imegawanyika!Kuna ccm Zanzibar na ccm Tanganyika wanaomuunga mkono Lisu hadi akashinda uenyekiti chadema na ndio Tumaini la watanganyika coz ccm Zanzibar ishateka chama!Hata mimi nilimskiliza alipohojiwa Wasafi nikajua huyu ni wetu
Cjui km kaka lucas atakuelewaHuyo Tibaijuka hayuko ccm, nielewe nje ya mistari
Kwahyo hayo aliyoyaongea kwa video hayana umaana? Rejea mstari wa kwanzaProf Anna Tibaijuka
Ni mchumi mzuri sana kuliko hayo anayoyaongea.
Mwaka 2011 nikiwa udsm kwenye halfa moja siikumbuki vema na Lipumba na Lissu walikuwepo, huyu mama alipiga speech moja matata sana hata Lipumba hakuona ndani.
Halafu ilikuwa ni speech full Kiingereza. Ndipo nikaanza kumvulia kofia
Yana maana ila siyachukulii kwa uzito, maana yanasemwa sana bila action.Kwahyo hayo aliyoyaongea kwa video hayana umaana? Rejea mstari wa kwanza
Luka ni msukuleCjui km kaka lucas atakuelewa
Wanayumbishwa na watu wadogowadogo sanaHahahahaaa, nyumbu bwana. Kesho anaweza kwenda kuchukua nafasi ya kugombea uraisi akapewa halafu baada ya oktoba 25 ambapo mama la mamama atajipatia ushindi wa 98% atarudi alikotoka. Kwakweli unyumbuni Kuna kazi!!
UMmebadili makalio kua kichwaHahahahaaa, nyumbu bwana. Kesho anaweza kwenda kuchukua nafasi ya kugombea uraisi akapewa halafu baada ya oktoba 25 ambapo mama la mamama atajipatia ushindi wa 98% atarudi alikotoka. Kwakweli unyumbuni Kuna kazi!!
Tangu lini chawa wakawa smart au hujui maana ya kuwa smart?