hahaha nakwambia hawana tofauti Chadema tofauti Chadema kwenye matukio ndio nitoke vipi?Dar raha hadi basi.....full wapenda matukio, yawe ya raha au karaha kwao furaha
hahaha nakwambia hawana tofauti Chadema tofauti Chadema kwenye matukio ndio nitoke vipi?
Kweli disco limeingiliwa na mmasai,ukitaka siasa fungua lango la mbele then chumba cha tatu kulia ingia!!
Atakuta kibao kimeandikwa Stress Zone